Dhambi alioifanya mzee 2002 karma naitumikia mimi leo

Dhambi alioifanya mzee 2002 karma naitumikia mimi leo

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
Hi?
Mzee wangu alikula mke wa jirani yetu mapenzi yalipowanogea kamtoa kwa mumewe na kwenda kumpangia gest house jamaa alipogundua akawafata kwa lengo la kufumania na kumkataza mzee aachane na mkewe jama alipofika eneo la tukio alipigwa sana na mzee ngumi za kutosha ikabidi jamaa akimbie baada ya muda yule jamaa akaamua amuache yule mwanamke

Hili jambo na mimi nalipitia muda huu tafadhali muniombee
 
Hi?
Mzee wangu alikula mke wa jirani yetu mapenzi yalipowanogea kamtoa kwa mumewe na kwenda kumpangia gest house jamaa alipogundua akawafata kwa lengo la kufumania na kumkataza mzee aachane na mkewe jama alipofika eneo la tukio alipigwa sana na mzee ngumi za kutosha ikabidi jamaa akimbie baada ya muda yule jamaa akaamua amuache yule mwanamke

Hili jambo na mimi nalipitia muda huu tafadhali muniombee
Unabidi ku-reverse karma mkuu
 
Watu watajua utani kuna mzee mmoja kule Sinza miaka hiyoo alikua anakula sama mashoga ,vibaya mno mpaka akawa anawapangia nyumba kabisaa

Yule mzee ikifikia hatua ukipishana nae ananuka nnya tupu

KILICHOTOKEA,

kilichotokea ni kwamba yule mzee alibahatika kupata vijana watano wa kiume ila mpaka leo hii tunavyoongea yule mzee alifariki na kansa ya kibofu cha mkojo na wanae woteee ni wale mashoga wanaovaa kikike kabisaaaa

UNAYOWAFANYIA WATOTO WA WENZIO NA WAKO IPO SIKU.
 
Hi?
Mzee wangu alikula mke wa jirani yetu mapenzi yalipowanogea kamtoa kwa mumewe na kwenda kumpangia gest house jamaa alipogundua akawafata kwa lengo la kufumania na kumkataza mzee aachane na mkewe jama alipofika eneo la tukio alipigwa sana na mzee ngumi za kutosha ikabidi jamaa akimbie baada ya muda yule jamaa akaamua amuache yule mwanamke

Hili jambo na mimi nalipitia muda huu tafadhali muniombee
Mzee wako bado yuko hai?
 
Watu watajua utani kuna mzee mmoja kule Sinza miaka hiyoo alikua anakula sama mashoga ,vibaya mno mpaka akawa anawapangia nyumba kabisaa

Yule mzee ikifikia hatua ukipishana nae ananuka nnya tupu

KILICHOTOKEA,

kilichotokea ni kwamba yule mzee alibahatika kupata vijana watano wa kiume ila mpaka leo hii tunavyoongea yule mzee alifariki na kansa ya kibofu cha mkojo na wanae woteee ni wale mashoga wanaovaa kikike kabisaaaa

UNAYOWAFANYIA WATOTO WA WENZIO NA WAKO IPO SIKU.
Kabisa

Mzee mmoja jiraninyangu alikuqa anaoa na kuacha, si unajua watu wenye vyeo kwenye chama?

Basi yeye kawavua sana chupi wanawake wengi, anawapiga talaka anatelekeza na watoto.
Hivi tunavyoongea watoto wake wa kike watatu wote wameachwa. Wanauza K hadi wanauza Tigo kwenye hiyo hiyo nyumba ya Baba yake. Yule mzee amepata Depression kwa madhira anayoshuhudia nyumbani mwake kwa wanaye.
 
Watu watajua utani kuna mzee mmoja kule Sinza miaka hiyoo alikua anakula sama mashoga ,vibaya mno mpaka akawa anawapangia nyumba kabisaa

Yule mzee ikifikia hatua ukipishana nae ananuka nnya tupu

KILICHOTOKEA,

kilichotokea ni kwamba yule mzee alibahatika kupata vijana watano wa kiume ila mpaka leo hii tunavyoongea yule mzee alifariki na kansa ya kibofu cha mkojo na wanae woteee ni wale mashoga wanaovaa kikike kabisaaaa

UNAYOWAFANYIA WATOTO WA WENZIO NA WAKO IPO SIKU.
Alikua anawalazimisha?
 
Back
Top Bottom