PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Una manisha huyo mke wa mtu!akiwa katika harakati zake za kunyandua demu uchochoroni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una manisha huyo mke wa mtu!akiwa katika harakati zake za kunyandua demu uchochoroni
Ndiyo kiongozi. Karma ipo.Una manisha huyo mke wa mtu!
Familia ya kupigishia wake wa wengine haina cha kuombewa.Hi?
Mzee wangu alikula mke wa jirani yetu mapenzi yalipowanogea kamtoa kwa mumewe na kwenda kumpangia gest house jamaa alipogundua akawafata kwa lengo la kufumania na kumkataza mzee aachane na mkewe jama alipofika eneo la tukio alipigwa sana na mzee ngumi za kutosha ikabidi jamaa akimbie baada ya muda yule jamaa akaamua amuache yule mwanamke
Hili jambo na mimi nalipitia muda huu tafadhali muniombee
Ukiamini dhana za kipuuzi kama laana na karma, unakuwa mpuuzi.
Badala ya kutafuta namna ya kutatua matatizo yako, unaanza kujilinganisha na babu yako eti kisa alipitia jambo kama lako basi ni sawa wewe kuteseka.
Unakosa uadilifu, na unakuwa fursa kwa mwamposa na waganga.