Unabidi ku-reverse karma mkuuHi?
Mzee wangu alikula mke wa jirani yetu mapenzi yalipowanogea kamtoa kwa mumewe na kwenda kumpangia gest house jamaa alipogundua akawafata kwa lengo la kufumania na kumkataza mzee aachane na mkewe jama alipofika eneo la tukio alipigwa sana na mzee ngumi za kutosha ikabidi jamaa akimbie baada ya muda yule jamaa akaamua amuache yule mwanamke
Hili jambo na mimi nalipitia muda huu tafadhali muniombee
Mzee wako bado yuko hai?Hi?
Mzee wangu alikula mke wa jirani yetu mapenzi yalipowanogea kamtoa kwa mumewe na kwenda kumpangia gest house jamaa alipogundua akawafata kwa lengo la kufumania na kumkataza mzee aachane na mkewe jama alipofika eneo la tukio alipigwa sana na mzee ngumi za kutosha ikabidi jamaa akimbie baada ya muda yule jamaa akaamua amuache yule mwanamke
Hili jambo na mimi nalipitia muda huu tafadhali muniombee
Kama karma ndio inafanya kazi kwa uonevu namna hii basi karma haipo.Unabidi ku-reverse karma mkuu
KabisaWatu watajua utani kuna mzee mmoja kule Sinza miaka hiyoo alikua anakula sama mashoga ,vibaya mno mpaka akawa anawapangia nyumba kabisaa
Yule mzee ikifikia hatua ukipishana nae ananuka nnya tupu
KILICHOTOKEA,
kilichotokea ni kwamba yule mzee alibahatika kupata vijana watano wa kiume ila mpaka leo hii tunavyoongea yule mzee alifariki na kansa ya kibofu cha mkojo na wanae woteee ni wale mashoga wanaovaa kikike kabisaaaa
UNAYOWAFANYIA WATOTO WA WENZIO NA WAKO IPO SIKU.
Hapa mzee umetupiga kamba😅😅Yule mzee ikifikia hatua ukipishana nae ananuka nnya tupu
Kwanini biblia inasema laana inaenda hadi kizazi cha nne? Biblia ni uongo?Kama karma ndio inafanya kazi kwa uonevu namna hii basi karma haipo.
Mshkaji ana kosa gani???
Alikua anawalazimisha?Watu watajua utani kuna mzee mmoja kule Sinza miaka hiyoo alikua anakula sama mashoga ,vibaya mno mpaka akawa anawapangia nyumba kabisaa
Yule mzee ikifikia hatua ukipishana nae ananuka nnya tupu
KILICHOTOKEA,
kilichotokea ni kwamba yule mzee alibahatika kupata vijana watano wa kiume ila mpaka leo hii tunavyoongea yule mzee alifariki na kansa ya kibofu cha mkojo na wanae woteee ni wale mashoga wanaovaa kikike kabisaaaa
UNAYOWAFANYIA WATOTO WA WENZIO NA WAKO IPO SIKU.