Dhambi alioifanya mzee 2002 karma naitumikia mimi leo

Chai
 
Huenda huyo mzee alikuwa na hormones za ushoga ambazo hao watoto walizirithi.
 
Hii imetokea pia kwa mkuu mmoja wa madini.

Alivyojua mwanae ni chakula alipaniki, binafsi nilishangaa anapaniki nini sasa!

Siamini katika Karma tho!
 
Umegongewa na umepigwa...usikubali mzee pambana usiwe mnyonge
 
Endeleen kuleta hizi shuhuda za karma labda watu watapunguza tabia mbovu.
 
Mzee alizingua
 
Kwa hiyo umekula kichapo cha mbwa Koko na demu kakupiga chini. Unahitaji starfish akusaidie kusafisha nyota yako
 
Uko upande wa kupigwa au kupiga ili ninapokutaja kwenye maombi nijue nazungumza ninišŸ˜…nisije kuulizwa nikashindwa kujibu.
 
Kuna Mzee alikuwa anaishi na mkewe safi tu. Akamchukua mshikaji waishi nae. Mshikaji akatembea na mke wa Mzee kama haitoshi wakatoroka kwenda mkoani. Mzee alilia sana. Mwisho akachana nao waendelee na maisha Yao. Mwaka jana Desemba jamaa akiwa katika harakati zake za kunyandua demu uchochoroni wahuni wakampiga X za wembe mwili mzima. Katoka hospital jicho moja haoni vizuri. Karma ipo.
 
Aseee kmmmke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…