Ukiamini dhana za kipuuzi kama laana na karma, unakuwa mpuuzi.
Badala ya kutafuta namna ya kutatua matatizo yako, unaanza kujilinganisha na babu yako eti kisa alipitia jambo kama lako basi ni sawa wewe kuteseka.
Unakosa uadilifu, na unakuwa fursa kwa mwamposa na waganga.