Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

[emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
We hujajua kua mada yako hii inayofundisha yeye imemharibia soko kiasi gani.ni Kama vile umerusha jiwe kichakani.ukisikia mayowe ujue like to mtu.
 
Kwani wewe popo?
Mahali kwingjne unasapoti, hapa unaonya aahhh!!!!
 
[emoji23]Dah uzi matata sana huu umetulia vizuri
 
Mzee wa KITI MOTO (sio msosi) umeleta mada nzuri saana ili wenye nia ya kufanya huo uovu wajue ni dhambi mbaya saana.
Kuna wafukuaji wa mambo ya kale wamekuta mabaki ya mifupa ya wanaume waliokumbatina ktk mji wa zamani wa Sodoma.
Hiyo dhambi mbaya kuliko mwanamme kumgeuza mke mwanaume mwenzake.
Hata kama ni mwanamke tumia njia halali ya asili acha ujinga kujichafua kimwili na kiroho!!
Unafungua milango ya kushambuliwa na shetani!!
Ahsante saana Mshana Jr MZEE WA KITI MOTO!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji116][emoji116][emoji123]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…