Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Tena ndogo kama ya binti mrembo Elitwege ni tamu sanaNajua kabisa ni dhambi sijui nini nini.. lakin ndogo ni tamu jamani..nisameheni bure tu. Mi nitaendelea kuipiga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ndogo kama ya binti mrembo Elitwege ni tamu sanaNajua kabisa ni dhambi sijui nini nini.. lakin ndogo ni tamu jamani..nisameheni bure tu. Mi nitaendelea kuipiga
Kuna mjamaa aliwahi mnyonya mtu kinyeoKabla ya kuasi shetani alikuwa malaika mkuu wa Mungu yani ni kama kiranja mkuu ama waziri mkuu.... Kwahiyo zile chembe chembe za uungu bado anazo mpaka Leo hii....
Chooni panachukuliwa kama mlango wa kuzimu na kuna mengi ya giza hufanyika chooni na kufanikiwa sana...... Ni jambo la kushangaza mno kama ukimkuta mtu ameinama chooni anachungulia bila sababu maalum... Huyo hakosi kuwa mchawi.
Mungu aliipiga dunia na mapigo mawili la moto na la maji (gharika) maji hutengeneza uhai kwahiyo hili halikuwa pigo baya sana kwakuwa pia aliandaa safina kwa wateule wake wale watakaotii sauti ya mlawi wake NUHU.
Pigo la pili lilikuwa kwenye miji ya SODOMA NA GOMORA.... hapa watu waliishi kwa anasa kubwa na wakafanya yaliyo CHUKIZO KUBWA mbele zake...
Mtumishi aliyepokea maono na kuamriwa aondoke SODOMA ni Lutu na mke wake na mabinti wao wawili, kabla moto haujashuka kuangamiza wadhambi
Sharti lilikuwa moja watakapoondoka asiwepo wa kugeuka nyuma LA sivyo atageuka jiwe la chumvi..Mke wa Lutu "aligeuka nyuma" na neno likatimia.
Mwili wa binadamu una namna yake ya kujisafisha na kutoa uchafu.. Lakini uchafu unaoheshimika sana ni kinyesi.. Uchafu huu hujengewa sehemu maalum na kuhifadhiwa vema.
Iweje Leo wewe kiumbe lile tundu linalochungulia mlango wa kuzimu unataka kulitumia? Unapochutama uchi ukiwa umechanua miguu chooni unajua linaona nini huko ulikolielekeza?
Kweli watu mna guts za ajabu LAKINI Mmh haya ila msisahau nini kiliiangamiza kwa moto SODOMA na GOMORA [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Hii mada inachocheaWewe labda ndo mpuuzi,kama huwa unakosa cha kujifunza kwenye mada zake. Kwa mfano kwenye mada hii unadhani kasababisha tafakali kwa idadi gani ya watu wanaojihusisha na uchafu huu ambao pengine wataiona kweli wakatubu na kuuacha huu mchezo?
Kwa watu wenye imani zao, katukumbusha jambo jema sana kupitia hii maada unayoitukana.
Huenda wanaozibua vyoo wanaona mengi,ni sawa na wanaokaa mortuary, watu wanafika kimyakimya kununua maji fulani tena kwa bei kubwa. Kuna jamaa aliambiwa awe analia chakula chooni tena cha shimo kilichokaribia kujaa, kutwa mara moja kwa mwezi. Ni katika kusaka utajiri na cheo.
Rudi hapa unaenda wapi?[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Utajiri wa Mungu upo.. Mfanowe ni ule wa Suleiman lakini kwa bahati mbaya sana ulikuwa na laana ndani yakeUmesema"utajiri halali" . Mf. Jambazi ameuwa watu wengi na akawa tajiri, mbele ya watu ni utajiri halali kwani hakuna ushahidi na pesa hainukii damu. Na ushirikina ni hivyo ilivyo, kumbuka nabii Issa alivyochukuliwa na shetani mlimani na kuonyeshwa utajiri wa dunia! Je kuna utajiri wa Mungu?
Mweee huu uzi ni wa zamani kuliko ule. Ulikuwa umeokoka na sasa ni mfuasi wa shetani. Chezea nnya weweMwambie shetani nimeokoka sitarudi tena Misiri[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Aiseee. Yaani nakwambia haya mambo ukiyapiga vita unajikuta unadumbukia humo humo. Ni bora kukaa kimya[emoji39][emoji39][emoji39][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji23][emoji23][emoji23]