Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Mkuu fuatilia wanyama hawa ambao tunashea 98%ya dna.
Kuna wimbo uliimbwa na kwaya ya sauti ya Injili Arusha miaka ile ya 84/85 unasema..... Na wanyama wataangamia kwa dhambi zako ewe mwanadamu .....
 
Sometimes mada chokonozi kama hizi huwatoa nyoka Shimoni..... Dunia ina mengi na chini ya mapaa ndani ya kuta nne yamejificha mengi... Ukitaka uyafahamu hutumii nguvu unatumia akili
Kweli kabisa, hii maada yako, naamini itaokoa wengi
 
Shetani hafai tu, hana jema ... one chance magoli ya kutosha ...
spirit of perversion ( roho ya ushapuvu ), mtu akiwa nayo hii ( matokeo yake ni ) wasagaji, gays and all kind of lust ....
Hii roho ya ushupavu ikoje ikoje na inafanya kazi na watu gani

Nisaidie hapo
 
Sorry nimekuwa interested na hapo kwenye LEVEL SABA please share if it's okay

1. Regretion - Ni hatua ambayo unamuona mtu, anakua na tabia mbovu mbovu ( tabia ambazo hakua nazo mwanzo ), mfano alikua muaminifu kwenye ndoa, but ghafla anakua mpigaji hatari.

2. Repression - Ananza kua mtu wa kulalamika lamika ( mfano, alikua anasifu uzuri na umuhimu wa uaminifu katika ndoa ), anaanza kusema negative issue juu ya ndoa

3. Supression - Unakuta hataki tena kuzungumzia uaminifu kwenye ndoa, hata kusikia

4. Depression anakosa tumaini katika maisha yake

5. Opression hapa kwenye hii hatua demons wanaanza kumuendesha anakua hana nguvu tena juu ya maamuzi yake

6. Obsession Hii hatua kama alikua na demon mmoja, sasa wanaanza unda ngome kwa huyo, kwa kua na demons za kutosha, kama leviathan akikaa sehemu anakua soround na majeshi ambayo yanakua chini yake

7. Possession Hapa huyu mtu ndio anapoteamo kabisa, demons wanakua wana manifest live na sometimes mtu mwenyewe ansjishuhudia anaucha mwili anakua totoal spiritual but demonic ...

Kuanzia hatua ya tano hadi saba hua ni ngumu sana hata kumsiaidia huyo mtu, but 4 hadi moja anaweza kusaidikiaka ki urahisi ...

Nimeeleza juu, niko mbio mbio
 
1. Regretion - Ni hatua ambayo unamuona mtu, anakua na tabia mbovu mbovu ( tabia ambazo hakua nazo mwanzo ), mfano alikua muaminifu kwenye ndoa, but ghafla anakua mpigaji hatari.

2. Repression - Ananza kua mtu wa kulalamika lamika ( mfano, alikua anasifu uzuri na umuhimu wa uaminifu katika ndoa ), anaanza kusema negative issue juu ya ndoa

3. Supression - Unakuta hataki tena kuzungumzia uaminifu kwenye ndoa, hata kusikia

4. Depression anakosa tumaini katika maisha yake

5. Opression hapa kwenye hii hatua demons wanaanza kumuendesha anakua hana nguvu tena juu ya maamuzi yake

6. Obsession Hii hatua kama alikua na demon mmoja, sasa wanaanza unda ngome kwa huyo, kwa kua na demons za kutosha, kama leviathan akikaa sehemu anakua soround na majeshi ambayo yanakua chini yake

7. Possession Hapa huyu mtu ndio anapoteamo kabisa, demons wanakua wana manifest live na sometimes mtu mwenyewe ansjishuhudia anaucha mwili anakua totoal spiritual but demonic ...

Kuanzia hatua ya tano hadi saba hua ni ngumu sana hata kumsiaidia huyo mtu, but 4 hadi moja anaweza kusaidikiaka ki urahisi ...

Nimeeleza juu, niko mbio mbio
Thanks a lot I can see the clear picture here... [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Ni tamu sana kupakuliwa au kupakua nyuma
 
Kabla ya kuasi shetani alikuwa malaika mkuu wa Mungu yani ni kama kiranja mkuu ama waziri mkuu.... Kwahiyo zile chembe chembe za uungu bado anazo mpaka Leo hii....
Chooni panachukuliwa kama mlango wa kuzimu na kuna mengi ya giza hufanyika chooni na kufanikiwa sana...... Ni jambo la kushangaza mno kama ukimkuta mtu ameinama chooni anachungulia bila sababu maalum... Huyo hakosi kuwa mchawi
Mungu aliipiga dunia na mapigo mawili la moto na la maji (gharika) maji hutengeneza uhai kwahiyo hili halikuwa pigo baya sana kwakuwa pia aliandaa safina kwa wateule wake wale watakaotii sauti ya mlawi wake NUHU
Pigo la pili lilikuwa kwenye miji ya SODOMA NA GOMORA.... hapa watu waliishi kwa anasa kubwa na wakafanya yaliyo CHUKIZO KUBWA mbele zake ...Mtumishi aliyepokea maono na kuamriwa aondoke SODOMA ni Lutu na mke wake na mabinti wao wawili, kabla moto haujashuka kuangamiza wadhambi
Sharti lilikuwa moja watakapoondoka asiwepo wa kugeuka nyuma LA sivyo atageuka jiwe LA chumvi.. Mke wa Lutu "aligeuka nyuma" na neno likatimia
Mwili wa binadamu una namna yake ya kujisafisha na kutoa uchafu.. Lakini uchafu unaoheshimika sana ni kinyesi.. Uchafu huu hujengewa sehemu maalum na kuhifadhiwa vema
Iweje Leo wewe kiumbe lile tundu linalochungulia mlango wa kuzimu unataka kulitumia? Unapochutama uchi ukiwa umechanua miguu chooni unajua linaona nini huko ulikolielekeza?
Kweli watu mna guts za ajabu LAKINI Mmh haya ila msisahau nini kiliiangamiza kwa moto SODOMA na GOMORA [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Mkuu unatafakari sana,ila uzinzi wote ni dhambi
 
Kwa kuongezea
Satan is the promoter of homosexuality.
Because those angel that came in sodoma hawakuwa was munguu.
My take Satan is the father of homosexuality
 
Back
Top Bottom