Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

tapatalk_1494792569894.jpeg
 
Nasikia kuna wengine hugegedwa na mashetani mahaba. Labda tusubiri mshana jr atupe somo hapa.
Mkuu majini yenyewe kuna sehemu nimesoma, kama alikua na mahusiano na msichana wa kawaida alafu likaja kugundua ya kuwa alishawah kishiriki kinyume na maumbile ana mwacha siku hiyo hiyo , hata kama alikua anampenda vipi,

Huo kwao ni uchafu mkuu kuliko yote
 
Wewe labda ndo mpuuzi,kama huwa unakosa cha kujifunza kwenye mada zake. Kwa mfano kwenye mada hii unadhani kasababisha tafakali kwa idadi gani ya watu wanaojihusisha na uchafu huu ambao pengine wataiona kweli wakatubu na kuuacha huu mchezo?
Kwa watu wenye imani zao, katukumbusha jambo jema sana kupitia hii maada unayoitukana.
Mkuu huyo ndio michezo yake. Achana nae
 
Kabla ya kuasi shetani alikuwa malaika mkuu wa Mungu yani ni kama kiranja mkuu ama waziri mkuu.... Kwahiyo zile chembe chembe za uungu bado anazo mpaka Leo hii....
Chooni panachukuliwa kama mlango wa kuzimu na kuna mengi ya giza hufanyika chooni na kufanikiwa sana...... Ni jambo la kushangaza mno kama ukimkuta mtu ameinama chooni anachungulia bila sababu maalum... Huyo hakosi kuwa mchawi
Mungu aliipiga dunia na mapigo mawili la moto na la maji (gharika) maji hutengeneza uhai kwahiyo hili halikuwa pigo baya sana kwakuwa pia aliandaa safina kwa wateule wake wale watakaotii sauti ya mlawi wake NUHU
Pigo la pili lilikuwa kwenye miji ya SODOMA NA GOMORA.... hapa watu waliishi kwa anasa kubwa na wakafanya yaliyo CHUKIZO KUBWA mbele zake ...Mtumishi aliyepokea maono na kuamriwa aondoke SODOMA ni Lutu na mke wake na mabinti wao wawili, kabla moto haujashuka kuangamiza wadhambi
Sharti lilikuwa moja watakapoondoka asiwepo wa kugeuka nyuma LA sivyo atageuka jiwe LA chumvi.. Mke wa Lutu "aligeuka nyuma" na neno likatimia
Mwili wa binadamu una namna yake ya kujisafisha na kutoa uchafu.. Lakini uchafu unaoheshimika sana ni kinyesi.. Uchafu huu hujengewa sehemu maalum na kuhifadhiwa vema
Iweje Leo wewe kiumbe lile tundu linalochungulia mlango wa kuzimu unataka kulitumia? Unapochutama uchi ukiwa umechanua miguu chooni unajua linaona nini huko ulikolielekeza?
Kweli watu mna guts za ajabu LAKINI Mmh haya ila msisahau nini kiliiangamiza kwa moto SODOMA na GOMORA [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Shetani hakuwa hana na hatakuwa na chembechembe za UUNGU,
usilete akili na tafsiri za vijiweni ktk mambo matakatifu,hili ndo tatizo la kulazimisha ujuvi
 
kuna documentary fulani inapinga maelezo ya biblia kuwa ule moto wa Sodoma na Gomora hukuteremshwa na Mungu bali lilikuwa tukio la kiasili tu..
 
mshana jr hili "tundu" linalochungulia mlango wa kuzimu umeliongelea kwa namna kanakwamba ni heri usiwe nalo!! maana hata kwa kutolea takamwili bado linakuwa na uhusiano uliofungamana kimazingira na kuzimu!!! Sijui kama nimekuewa vizuri!!! au nime Over zoom picture uliyoichora.
(asitokee mtu akakosea kunielewa)
huwezi kulikwepa hili ni lazima liwepo Lakini lisibadilishwe/lisiongezewe matumizi
 
Shetani hakuwa hana na hatakuwa na chembechembe za UUNGU,
usilete akili na tafsiri za vijiweni ktk mambo matakatifu,hili ndo tatizo la kulazimisha ujuvi
Usikurupuke kama hujaelewa uliza usiogope utaelimishwa.... Hebu niambie kwanini Mungu alimruhusu shetani amjaribu Ayubu.... Ukisoma kitabu cha Ayubu unaona kwamba shetani ana mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu.. Na ni Mungu huyo huyo aliyempa shetani milki ya ulimwengu
Vipi ndugu maandiko huwa unasoma ana unasomewa? Je unaelewa? Nina mifano zaidi ya kumi kuthibitisha nilichoandika SIJAKURUPUKA
 
kuna documentary fulani inapinga maelezo ya biblia kuwa ule moto wa Sodoma na Gomora hukuteremshwa na Mungu bali lilikuwa tukio la kiasili tu..
Hiyo documentary na Biblia kipi kilianza? Tambua kwanza kisayansi lazima waseme hivyo
 
Wataalam wengi wanaoelezea sababu mbambali zitakazosabaisha mwisho wa dunia (extinction ya 6) wanatoa sababu kuu 5! Mojawapo ni Binadamu anazidi kuwa mjinga (dumper)! Zamani tulitambua normal na abnormal lakini leo abnormal ni normal na watu wanashangilia! MWISHO WA DUNIA U-KARIBU!
 
Back
Top Bottom