Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana dhambi zote ni sawa kwa imani ya Mungu mmoja na hukumu ni moja ila kwa waabudu miungu zinatofautiana uzito na adhabu
Hili lipo wazi kabisa, si wanyama tu bali hata wadudu na viumbe vingine mpaka mimea.Kuna wimbo uliimbwa na kwaya ya sauti ya Injili Arusha miaka ile ya 84/85 unasema..... Na wanyama wataangamia kwa dhambi zako ewe mwanadamu .....
Possible kuna ninyi wengine Mme evolve kutoka kwa bonobo na chimps au sijakuekewa vema ?"Bonobo chimps" pia wanazibuana na wanasagana na wao?
Kuna mtu alimuuliza Yesu ni dhambi ipi iliyokubwa kuliko nyingine. Sijui alijibiwa nini.Sasa mshana jr; kama "dhambi zote ni sawa kwa imani ya Mungu mmoja" In which asilimia kubwa tulio wengi ndivyo tunavyoamini nadhani Dini zetu kubwa karibu zote zinatufunza hivyo.
Sasa inakuwaje sisi tunazifanyia categorization? Je mzinzi ataunguzwa kwenye tanuru tofauti na huyo atendaye matendo hayo ya "kifirauni"?
Hebu wajuzi wa hizi imani endeleeni kutupa darasa hapa.
Matundu ya binadamu ni mengi. Je unapolaani matumizi ya tundu la kuzimu unahalalisha 'blowjob'?huwezi kulikwepa hili ni lazima liwepo Lakini lisibadilishwe/lisiongezewe matumizi
Hahaaa hahahaaa! Haki, naamini humu kuna majini! You are one of them!Wewe unakubaliana na huo upuuzi?
Hahaaa hahahaaa! Haki, naamini humu kuna majini! You are one of them!
Abraham aliomba endapo kungekua na watakatifu mia, Mungu akasema. asingeiangamiza miji ile, Abraham akashuka hadi watakatifu 5,still Mungu akasema asingeiangamiza, Abraham akaishia hapo, huenda angeshuka zaidi moto usingewaka... na ni mkewe Lutu ndio aliegeukaHaikushindikana mkuu,Mungu alimsikia
Amen.God forbid [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
But at the end.. He says not me...! Tena anakukana mchana kweupe
Asikudanye mtu hata wanyama hawaingiliani kinyume na maumbile,sisi binadamu mungu katupata akili ya kutambu mema na mabaya lakin tunajifanya machizView attachment 510276 Bonobo akizibulia msituni, thank god! hatuna haja ya kuziba pua..je na wao wanashawishiwa na lucifer
Against Nature? - WikipediaAsikudanye mtu hata wanyama hawaingiliani kinyume na maumbile,sisi binadamu mungu katupata akili ya kutambu mema na mabaya lakin tunajifanya machiz