Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

Hakika mkuu mshana jr umestaarabika sana,jinsi ulivyo mjibu huyo jamaa
 
Sometimes mada chokonozi kama hizi huwatoa nyoka Shimoni..... Dunia ina mengi na chini ya mapaa ndani ya kuta nne yamejificha mengi... Ukitaka uyafahamu hutumii nguvu unatumia akili
Nikama vile unapomwaga mafuta ya taa katika shimo,kama nyoka wamo hakuna namna lazima wachomoze tuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Nikama vile unapomwaga mafuta ya taa katika shimo,kama nyoka wamo hakuna namna lazima wachomoze tuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lazima watoke hakuna namna
 
Bro kwanza asante kwa huko unakosema kusoma biblia,naomba Mungu akujalie sasa kuielewa maana hatua ya kwanza ya kuisoma yamkini umeiweza,
Skia nikuambie kitu mkuu,
Hiyo nukuu ya Ayoub haiongelei shetani kuwa na uungu,wala maana yake si kuonesha shetani ana uungu,ili kukusaidia kujua zaidi juu ya hili na maana yake tafuta vitabu rahisishi vya fafanuzi za biblia maana kuelewa we km ww inakutatiza,na si vibaya,
Halafu umeeleza jambo ambalo wala sikukataa,sikukataa mawasiliano ya Mungu na shetani,sijakataa juu ya nguvu zake,maana hata sasa wapo watu wana nguvu na hupata hata maono na mawasiliano na Mungu sasa nao unataka sema wana uungu?,
Kinachokusumbua unatumia maneno na ujuzi ule unaotumia kueleza mambo ya kidunia kueleza mambo ya MUNGU,
Lengo lako lilikuwa jema lakini namna na maneno ulotumia yamefanya iwe km unaongelea habari za ushirikina,
Narudia kusema shetani hana chembe chembe za UUNGU,nayasema haya kwa kuangalia asili yake,
Lkn km unataka tujadili kwa mapana kuhusu Shetani na Mungu sema,na leta vifungu toka BIBLIA tubadilishane elimu,
Nadhani ukae tu ujiulize kilichofanya useme shetani ana UUNGU,
Mi nadhani kurekebisha kauli haitakupunguzia sifa yako ya utaalamu,ujuzi nk mambo ambayo naona una hofu kuonekana hauna,
Hata wataalamu na wajuzi wanakosea pia
Shetani hana,hatakuwa na hajawahi kuwa na UUNGU,
 
Mshana Jr nimeipenda hii thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…