Yakobo 5:14-15
Neno: Bibilia Takatifu
14 Je, kuna mtu miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi awaite wazee wa kanisa wamwombee na kumpaka mafuta katika jina la Bwana.
15 Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa huyo na Bwana atamwinua. Kama ametenda dhambi, atasamehewa.@mfalme suleiman
Hapajasema kuhusu sadakakwahiyo hapo pamesema uende na sadaka. mnapenda pesa sana ninyi mitume na manabii.
Tatizo lako ni mtu kwenda Kwa watumishi au ni kwenda na sadaka?kwahiyo hapo pamesema uende na sadaka. mnapenda pesa sana ninyi mitume na manabii.
NAKAZIASi DHAMBI zote Hadi uende Kwa mtumishi, ni baadhi.
Mfano, huwezi kufirana, kuua au kuzini na mke wa Jirani Yako halafu ukatubu sirini, dhambi hizo hapo juu Zina mikataba na vifungo vya kipepo ambavyo lazima uhusishe Mtumishi.
kwahiyo mtumishi ndio anavunja vifungo, sio Yesu tena.Ndomana naona mnaingiwa na hamaki,
Pitia thread UPYA, Damu ya Yesu inatosha, sadaka ni moyo wa Mtu, shukrani abebayo mtu ni Kwa ajili yake mwenyewe.
SADAKA ya pesa Si lazima ikiwa huna, muhimu ni kumshirikisha Mtumishi Ili akusaidie njia na taratibu za kuvunja vifungo na mikataba Kwa baadhi ya dhambi zilizoainishwa hapo juu.
Ukisoma vizuri utaelewa.
Afadhali mtumishi umeelewa wewe!!NAKAZIA
Huu mpango ulikuwepo hata kipindi cha Waisraeli, mtenda dhambi alienda kwa wazee na makuhani kutubu ili apatanishwe na MunguMnajiiiiiiiipa presha .Nan kakwambia Mungu ana formalities za kibinadam zaid namna hii!!???
Ujue anayekuondolea hatia sio kutubu mbele za mtu. NI Holly spirit, period!!!! Hii kwenda mbele za watu imekaa kisailolojia tu ili ku bust iman yako ila hata sio lazima wala haina ukwel...
hakuna mtu anasema dhambi isiachwe, tunachokupingeni ni hiki, Yesu Kristo alikufa kwa ajili ya kuondoa dhambi, alifanyika kafara la dhambi zetu, halafu ninyi mnataka kutengeneza kafra lingine (sadaka), na hamtoi mstari hata mmoja kuback up your stories. huo mstari wa Yakobo, ndio mmeutumia sana kuhalalisha mafuta ambayo hata hivyo enzi hizo hawakuwa wanauza kama ninyi. sasaivi ukienda arusha au kimara temboni hapo kuna mitume kuwaona hadi utoe pesa, kama wangekuwa watumishi wa Mungu manake matajiri tu ndio wangehudumiwa, Yesu alisema mmepata bure toeni bure, hizo biashara mnazitoa wapi? hata mkija kusaidiana hapa tunawajua, si ndio maana mmeunda na umoja wenu wa mitume na manabii? watoto wa nyoka ninyi na baba yenu ni shetani baba wa uongo, ndio maana mafundisho yenu yote ni ya uongo kwasababu yanareflect baba yenu ibilisi. kuna siku mtalia na kusaga meno kwa kupotosha watu wengi. Mungu hajalala.Afadhali mtumishi umeelewa wewe!!
Kizazi Cha nyoka hakitaki kuambiwa kiache dhambi.
Anayevunja vifungo ni Yesu,kwahiyo mtumishi ndio anavunja vifungo, sio Yesu tena.
unachukua sadaka unaenda kumpa mtumishi akuombee usamehewe, kuimbe mtumishi mwenyewe ana yake kibao. na hata kama ungekuwa unasema uende labda peke yako unakosa ujasiri kutubu, sadaka ya nini? sadaka unanunua utakatifu, na kama sadaka ni ya moyo si uende na moyo tu bila pesa? matapeli hawa aisee.Hayo kwa mujibu wa nani
Sisi tunajua majuto ya Moyoni ndio Majuto kuu inafuta kila takataka.
Usituambie tuchukue sadaka twende kwa mtumishi afu ukute mtumishi mwenyewe mwamposa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kumbe oral sex ni dhambi π€π€π€Salaam shalom.
INTRODUCTON.
Imeandikwa, Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na haki, hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.( 1 Yoh 1:9).
Dhambi ni kutotii, kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Na Roho mtakatifu yupo kutukumbusha dhambi zetu Ili tuzitibie Ili tuendelee kuwa WATAKATIFU.
DHAMBI AMBAZO KAMWE HATIA YAKE HAITAKUONDOKA HADI USHIRIKISHE WATUMISHI WA MUNGU ILI UOMBEWE UKIAMBATISHA NA SADAKA YA UKOMBOZI NI ZIFUATAZO:
1. ZINAA NA UASHERATI.
UASHERATI ni kufanya Tendo la zinaa na mtu nje ya NDOA asiye mkeo au mumeo.
UZINZI ni kufanya tendo la uchafu, zinaa kabla ya Kuoa au Kuolewa.
Ukizini na mke wa mtu au mume wa Mtu, usijidanganye kuwa ukitubu sirini utasamehewa, HATIA itaendelea kuwepo Hadi uwatafute watumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. Watumishi Wana BUSARA ya kusuluhisha dhambi hiyo pande zote mbili Ili ufunguliwe.
2. USHOGA.
Ikiwa uliwahi kuwa shoga, ukaamua kuacha, kamwe usitubu sirini na kuishiwa hapo, USHOGA huambatana na mapepo na kufungwa NAFSI, mfungwa kamwe hawezi jifunguanpingu mwenyewe, unawahutaji watumishi wa Kweli Ili UOMBEWE na kuwekwa huru, sadaka ni LAZIMA Ili itolewe huko.
3. USAGAJI.
Mwanamke pia aliyewa kufanya dhambi hiyo, huwezi kufunguliwa na Utumwa na HATIA hiyo pekeako Kwa kutubu sirini, nenda Kwa watumishi wa Kweli, Ukiwa na sadaka ya Ukombozi.
4. PUNYETO/ KUJICHUA.
Ikiwa uliwahi kujichua, ukaamua kuacha, unahitaji kwenda Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi Ili ufunguliwe, Mpiga PUNYETO ni mfungwa, ni mke au mume wa Roho chafu katika Ulimwengu wa Roho, hivyo kufunguliwa ni LAZIMA utoe sadaka, uvunje NDOA chafu hiyo ya kiroho na hati ya NDOA chafu ya kiroho iondolewe, usipofanya hivyo, unajidanganya. Mbinguni huingii ng'o!!
Neno Hilo hapo juu ni ROHO. Amen.
5.MWANAMKE KUOA MWANAMKE/MWANAUME KUOA MWANAUME MWENZIE.
Kutubu dhambi hii sirini bila watumishi wa Mungu ni kujidanganya. Chukua sadaka, nenda Kwa mtumishi, Sema Kweli Ili UOMBEWE na kufunguliwa, NDOA haramu ivunjwe na ufungwa wako kiroho uondolewe. Amen.
6. ORAL SEX.
Ikiwa uliwahi kushiriki oral sex, kunyonya au kuramba Kwa mdomo sehemu za Siri za mwanamke au Mwanaume na ukatambua ni DHAMBI, ukaacha, Bado u kifungoni.
Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli wa Mungu ufunguliwe na Mungu.
7. ABORTION./ UTOAJI MIMBA/ KUFUNGA UZAZI/ KUTUMIA VIDONGE VYA KUPANGA UZAZI.
Kimbia haraka Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli ,beba sadaka kulingana na uwezo wako, UOMBEWE ufunguliwe.
Ukipuuza Utakataliwa GETI la Mbinguni.
9. IKIWA ULIWAHI TUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KIKE.
Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli UOMBEWE na kufunguliwa.
10. MAUAJI.
Ikiwa uliwahi kuua bila kukusudia ,ukahukumiwa JELA ukatoka, ikiwa uliua Kwa Siri na hukubainika, ikiwa ulishiriki kuua, usijidanganye kuwa unaweza kutubu sirini, HATIA Ili ikuondoke uwe na Amani, Tafuta kiongozi wa Mungu wa Kweli mwenye BUSARA za Mungu, akuongoze Cha kufanya, utoe pia sadaka ya Ukombozi.
11. IBADA ZA SANAMU, KUSHIRIKI IBADA ZA WAFU NA KUTOA SADAKA KWA MIZIMU KIMILA NK NK.
Kushiriki Ibada za KIMILA na Kutoa sadaka Kwa Roho za kishetani za Mababu, ni DHAMBI pia, ni kufungwa ni Utumwa ambao huwezi kujifungua pekeako.
Ukiamua kuacha na kuokoka, hatua inayofuata ni kushirikisha watumishi kukusaidia kukutenga na madhabahu hizo.
Sadaka ni LAZIMA, sababu, Ulimwengu wa Nuru na Giza sadaka ni inevitable. Amen
HITIMISHO.
Dhambi nilizotaja hapo juu, ni baadhi tu ya dhambi ambazo huwezi tubu pekeako, zimetajwa sawasawa na Ruhusa ya Roho mtakatifu Kwa mtumishi wake sawasawa na ufunuo wake apendavyo.
NB: Si DHAMBI zote zinahitaji kuona mtumishi wa Kweli kukusaidia kufunguliwa pingu za dhambi, ni baadhi ya dhambi ambazo Zina vifungo na attachment na maagano ya kipepo na kishetani.
Mungu awabariki.
Source: Nabii Justine Ibrahim.
Amen.
kwanini iwe shauri yangu? kama kitu cha muhimu ni lazima ukifanye, kama sadaka ni ya muhimu lazima ufanye, cha muhimu hapa ni wekeni mistari inayosema twende na sadaka kuombewa msamaha wa dhambi ili tujadili hapa. ama la, ninyi ni uzao wa nyoka na matapeli wa injili.Anayevunja vifungo ni Yesu,
Mtumishi anamwongiza mtu aliyefungwa katika baadhi tu ya dhambi zilizotajwa hapo juu ambazo kamwe, huwezi kujifungua pekeako sirini.
Ikiwa unaona hutaki kubeba sadaka ya shukurani, hiyo ni shauri Yako.
Yesu aliwaponya WAKOMA 10, mmoja tu ndiye alirudi kushukuru.
Kushukuru ni sadaka, Yesu mwenyewe aliuliza, waliponywa kumi, wengine tisa wako wapi?
Yesu hakukataza sadaka, ikiwa unampenda Mungu, shukrani ni lazima,
Sijui unaelewa? Mimi ni mtumishi wa Mungu.
Amen
Mtumishi nawe hujaelewa dhima ya thread.Hizo dini za kutubishana ni dini za agano la kale na no matokeo ya ukosefu wa maarifa.
sasa huo mstari umeuleta wa nini hapo we nabii wa uongo?Hapajasema kuhusu sadaka