Kweli kabisa dhambi ni mtazamo Tu, wa jamii husika kutokana na tamaduni zao.
Mfano Roman Catholic Church wanakataza ndoa za wake wengi wanasema ni unyanyasaji wa kijinsia Kwa mwanamke,
Lakini wanakubali ndoa za jinsia moja.
Huku Afrika 👆 wakisema ni kinyuma na maadili za Ki Afrika