Dhambi ni mtazamo.

Dhambi ni mtazamo.

Dhambi sio mtazamo. Mtazamo upo kwenye taratibu za kijamii ila Dhambi ni Dhambi katika mfumo wa kidini. Biblia ikisema usiue, Muumini yoyote wa Kikristo awapo popote pale hapaswi kuua. Huwezi ukawa mkristo kisha ukasema kwa mtazamo wangu kuua sio dhambi.

HAKUNA MTAZAMO BINAFSI KATIKA DHAMBI.
KWANI DINI NI NINI? MKUU
 
Kweli kabisa dhambi ni mtazamo Tu, wa jamii husika kutokana na tamaduni zao.

Mfano Roman Catholic Church wanakataza ndoa za wake wengi wanasema ni unyanyasaji wa kijinsia Kwa mwanamke,

Lakini wanakubali ndoa za jinsia moja.
Huku Afrika 👆 wakisema ni kinyuma na maadili za Ki Afrika
🚮
 
Back
Top Bottom