PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Inaumiza SanaKikokotoo hiki kimebuniwa baada ya mifuko kukopwa sana na serikali, serikali kushindwa kupeleka makato ya watumishi wao kwenye mifuko na mifuko kuanzisha miradi yenye hasara. Dhambi hizi alizianzisha Kikwete. Magufuli alilikuta sakata, alipotaka kuhoji nadhani alionyeshwa gharama za uchaguzi zilizomuingiza madarakani, kimyaaaa!!! Lakini kwa hasira alikisikimamisha kikokotoo Cha 25% na kuwafukuza viongozi wa mifuko na kuitaifisha baadhi ya miradi ya mifuko. Lakini haya yote hayamsaidii mstaafu ambae alipunjwa mshahara na Sasa anapunjwa mafao yake.
Hali ya mifuko kuwa mbaya sio tatizo kutoka kwa Mungu, ni watu waliolisababisha. Adhabu ya hilo haiwezi kulipwa na wastaafu waliotimiza wajibu wao kwa mifuko.Mm nadhani serikali imeamua kufanya hivi sababu ya hali ya mifuko yetu haiwezi kujiendesha na ilikuwa inafilisika.
Pia ilikosa pesa za kuwalipa wastaafu wengi.
Ingawa sioni mfumo huu mpya wa kikokotoo km utabadilishwa hivi karibuni sanasana watakuwa wanaongeza hizo percent kulingana na hali za mifuko husika.
NB. Madhara ya hiki kikokotoo cha sasa ni ufisadi na rushwa kwa wafanyakazi kuongezeka sana maan wote wanajua kabisa hata wakistaafu kiinua mgongo vyao havitawatosheleza hivyo wataforce kupata pesa mapema ili wajipange na maisha yao mapema.
Ukifa yanakoma mara mojaNikweli ukalipwa hiyo 33%, baada ya mwaka ukifa yale malipo ya kila mwezi nayo yanakoma?
Wabunge wangeondolewa posho za vikao, kwa kuwa pale wawapo bungeni ndiyo huwa wanafanya kazi zao za msingi. Ulipwaji wa posho hii ndiyo sababu kubwa ambayo inapelekea kupatikana kwa wabunge wengi ambao hawana uwezo wa kuishauri, kuisimamia, na hata kuiwajibisha serikali.Mishahara ya watumishi ni midogo saaana kuliko huduma/jasho wanayoitoa kipindi chote Cha ujana wao. Mishahara ya watumishi haiwatodhi kuishi, kuSomesha, na kujenga nyumba. Kima Cha chini ni mfanyakazi ni shilingi 4000 kwa siku nzima wakati kule Marekani ni dollar 8 (TSH 18,400) kwa saa TU. Hii inasababisha mtumishi ashindwe kuishi kwa mshahara lakini akatwe hela kidogo sana kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Wastanni wa Umri wa kuishi (life expectancy) wa mtanzania ni miaka 55 tu lakini kikokotoo kinamtaka mstaafu anaestaafu akiwa na miaka 60 apewe 33% TU ya hivyo vijisenti vyake alivyokatwa kisha nyingine apewe kila mwezi kama mshahara. Kama ni kweli Wastanni wa Umri wa kuishi ni huu Ina maana aliyekuja na Wazo la kikotoo hiki alidhamilia kuiba fedha za marehemu. Yaana kwa takwimu hizi za umri wa kustaafu ni kwamba watumishi wengi watakufa miaka michache kabla ya kustaafu na wengine watakufa ndani ya miaka 2 baada ya kustaafu. Maana yake wataziacha fedha zao za mafao na kubakia serikalini na kwenye mifuko au kuliwa na wategemezi ambalo sio kusudi la mfanyakazi. Hii ni dhambi kubwa sana inayoonekana kwa macho, masikio na moyoni kuliko Ile dhambi ya baada ya kufa ambayo hijulikani kama IPO au haipo.
Hii Ina maana kuwa wastaafu watakaaoishi hadi miaka 80 ni asilimia ndogo sana kiasi Cha kustahili kuhalalisha kikokotoo Cha 33%. Yaani huyu mtumishi ameibiwa mshahara halafu anaibiwa mafao yake pia.
Badala ya kutoa elimu kwa watumishi namna ya kujiandaa na kustaafu na namna ya kutumia mafao yake ya kustaafu mnaona njiaa pekee ni kumuwekea hela zake. Hii sio sawa, ni dhuluma mbaya sana.
Lakini pia huwa ninajiuliza kwani wale wastaafu wengine kutoka kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi na biashara ambao ndio wengi sana huwa wanawekewa hela zao na nani wapi? Kwani hawa hawaadhiliki uzeeni kwa kukosa kipato? Kwanini huruma zenu ziwe kwa hawa TU wanaowadai hela zao? Hii ni njia ya kukwepa kuwalipa hela zao kwa kusaidiwa na kifo Chao.
Wapeni hela zao buana wakafe nazo wenyewe. Na kama watazitumia hovyo basi wataishi kama wazee wenzao wengine wakulima, wafugaji, wavuvi, wakwezi na wawindaji wanavuoishi.
Serikali inayokula hela za marehemu imekosa radhi kwa Mwenyezimungu. Sababu wanazotoa kuhalalisha kikokotoo hazitokani na matakwa na maombi ya wastaafu wenyewe. Yaaani kosa la mtumishi ni kukubali kuwekewa fedha yake na wezi.Ukifa yanakoma mara moja
Hii ni dhambi kubwa kubaki na deni la mtu aliyekufa. Kwenye madodoso yako muhimu umeandika umri wa kuishi ni miaka 55 lakini mtumishi mwenye miaka 60 hutaki kumpa hela zake zote, hizo takwimu ni fake basi, not realistic,, mizi mtupu kuanzia ukusanyaji wa takwimu hadi kikokotoo.Hii ni njia ya sirikali kukwepa kuwalipa hela zao kwa kusaidiwa na kifo Chao[emoji3578]
Pesa za wastaafu si ndio zile watu wamepiga kwenye miradi hewa mifuko yote inapumulia mashine watu wamepiga hela.Linaonekana kana jambo la 'Ubunifu Uchwara'
Hata hivyo, serikali inapaswa kupunguza gharama, wanapaswa kujaribu njia kama hiyo, ikiwa wameshindwa kubuni na kupanua wigo wa ukusanyaji wa mapato. Wafunge mikanda.
Sio ujinga ndugu.Tumegeuzwa MABWEGE na wale wakubwa wa kisiasa kule juu.Cha kushangaza hicho kikokotoo chao hakiwahusu wabunge na wale vigogo wao wa juu!.
Hakika hii nchi ina ujinga mwingi sana.
Aliyeanzisha kikokotoo ni nani kwaniMishahara ya watumishi ni midogo saaana kuliko huduma/jasho wanayoitoa kipindi chote Cha ujana yao. Mishahara ya watumishi haiwatoshi kuishi, kuSomesha, na kujenga nyumba. Kima Cha chini cha mfanyakazi ni shilingi 4000 kwa siku nzima wakati kule Marekani ni dollar 8 (TSH 18,400) kwa saa TU. Hii inasababisha mtumishi ashindwe kuishi kwa mshahara lakini akatwe hela kidogo sana kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Wastani wa Umri wa kuishi (life expectancy) wa mtanzania ni miaka 55 tu lakini kikokotoo kinamtaka mstaafu anaestaafu akiwa na miaka 60 apewe 33% TU ya hivyo vijisenti vyake alivyokatwa na kuwekewa kwenye mifuko, kisha fedha nyingine apewe kila mwezi kama mshahara.
Kama ni kweli Wastanni wa Umri wa kuishi ni huu Ina maana aliyekuja na Wazo la kikokotoo hiki alidhamilia kuiba fedha za marehemu. Yaani kwa takwimu hizi za umri wa kustaafu ni kwamba watumishi wengi watakufa miaka michache kabla ya kustaafu na wengine watakufa ndani ya miaka 2 baada ya kustaafu. Maana yake wataziacha fedha zao za mafao na kubakia serikalini na kwenye mifuko au kuliwa na wategemezi ambalo sio kusudi la mfanyakazi.
Hii ni dhambi kubwa sana inayoonekana kwa macho, masikio na moyoni kuliko Ile dhambi ya baada ya kufa ambayo hujui kama IPO au haipo.
Hii Ina maana kuwa wastaafu watakaaoishi hadi miaka 80 ni asilimia ndogo sana kiasi cha kustahili kuhalalisha kikokotoo Cha 33%. Yaani huyu mtumishi ameibiwa mshahara halafu anaibiwa mafao yake pia.
Badala ya kutoa elimu kwa watumishi namna ya kujiandaa na kustaafu na namna ya kutumia mafao yake ya kustaafu mnaona njiia pekee ni kumuwekea hela zake. Hii sio sawa, ni dhuluma mbaya sana.
Lakini pia huwa ninajiuliza, kwani wale wastaafu wengine kutoka kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi na biashara ambao ndio wengi sana huwa wanawekewa hela zao za uzeeni na nani wapi? Kwani hawa hawaadhiliki uzeeni kwa kukosa kipato? Kwanini huruma zenu ziwe kwa hawa tu wanaowadai hela zao? Hii ni njia ya kukwepa kuwalipa hela zao kwa kusaidiwa na kifo chao.
Wapeni hela zao buana wakafe nazo wenyewe. Na kama watazitumia hovyo basi wataishi kama wazee wenzao wengine wakulima, wafugaji, wavuvi, wakwezi na wawindaji wanavyoishi.
Kingetumika kwa Wabunge ndio wangewatetea wastaafu.Mishahara ya watumishi ni midogo saaana kuliko huduma/jasho wanayoitoa kipindi chote Cha ujana yao. Mishahara ya watumishi haiwatoshi kuishi, kuSomesha, na kujenga nyumba. Kima Cha chini cha mfanyakazi ni shilingi 4000 kwa siku nzima wakati kule Marekani ni dollar 8 (TSH 18,400) kwa saa TU. Hii inasababisha mtumishi ashindwe kuishi kwa mshahara lakini akatwe hela kidogo sana kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Wastani wa Umri wa kuishi (life expectancy) wa mtanzania ni miaka 55 tu lakini kikokotoo kinamtaka mstaafu anaestaafu akiwa na miaka 60 apewe 33% TU ya hivyo vijisenti vyake alivyokatwa na kuwekewa kwenye mifuko, kisha fedha nyingine apewe kila mwezi kama mshahara.
Kama ni kweli Wastanni wa Umri wa kuishi ni huu Ina maana aliyekuja na Wazo la kikokotoo hiki alidhamilia kuiba fedha za marehemu. Yaani kwa takwimu hizi za umri wa kustaafu ni kwamba watumishi wengi watakufa miaka michache kabla ya kustaafu na wengine watakufa ndani ya miaka 2 baada ya kustaafu. Maana yake wataziacha fedha zao za mafao na kubakia serikalini na kwenye mifuko au kuliwa na wategemezi ambalo sio kusudi la mfanyakazi.
Hii ni dhambi kubwa sana inayoonekana kwa macho, masikio na moyoni kuliko Ile dhambi ya baada ya kufa ambayo hujui kama IPO au haipo.
Hii Ina maana kuwa wastaafu watakaaoishi hadi miaka 80 ni asilimia ndogo sana kiasi cha kustahili kuhalalisha kikokotoo Cha 33%. Yaani huyu mtumishi ameibiwa mshahara halafu anaibiwa mafao yake pia.
Badala ya kutoa elimu kwa watumishi namna ya kujiandaa na kustaafu na namna ya kutumia mafao yake ya kustaafu mnaona njiia pekee ni kumuwekea hela zake. Hii sio sawa, ni dhuluma mbaya sana.
Lakini pia huwa ninajiuliza, kwani wale wastaafu wengine kutoka kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi na biashara ambao ndio wengi sana huwa wanawekewa hela zao za uzeeni na nani wapi? Kwani hawa hawaadhiliki uzeeni kwa kukosa kipato? Kwanini huruma zenu ziwe kwa hawa tu wanaowadai hela zao? Hii ni njia ya kukwepa kuwalipa hela zao kwa kusaidiwa na kifo chao.
Wapeni hela zao buana wakafe nazo wenyewe. Na kama watazitumia hovyo basi wataishi kama wazee wenzao wengine wakulima, wafugaji, wavuvi, wakwezi na wawindaji wanavyoishi.
Narudia kuwausia wajukuu zanguMishahara ya watumishi ni midogo saaana kuliko huduma/jasho wanayoitoa kipindi chote Cha ujana yao. Mishahara ya watumishi haiwatoshi kuishi, kuSomesha, na kujenga nyumba. Kima Cha chini cha mfanyakazi ni shilingi 4000 kwa siku nzima wakati kule Marekani ni dollar 8 (TSH 18,400) kwa saa TU. Hii inasababisha mtumishi ashindwe kuishi kwa mshahara lakini akatwe hela kidogo sana kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Wastani wa Umri wa kuishi (life expectancy) wa mtanzania ni miaka 55 tu lakini kikokotoo kinamtaka mstaafu anaestaafu akiwa na miaka 60 apewe 33% TU ya hivyo vijisenti vyake alivyokatwa na kuwekewa kwenye mifuko, kisha fedha nyingine apewe kila mwezi kama mshahara.
Kama ni kweli Wastanni wa Umri wa kuishi ni huu Ina maana aliyekuja na Wazo la kikokotoo hiki alidhamilia kuiba fedha za marehemu. Yaani kwa takwimu hizi za umri wa kustaafu ni kwamba watumishi wengi watakufa miaka michache kabla ya kustaafu na wengine watakufa ndani ya miaka 2 baada ya kustaafu. Maana yake wataziacha fedha zao za mafao na kubakia serikalini na kwenye mifuko au kuliwa na wategemezi ambalo sio kusudi la mfanyakazi.
Hii ni dhambi kubwa sana inayoonekana kwa macho, masikio na moyoni kuliko Ile dhambi ya baada ya kufa ambayo hujui kama IPO au haipo.
Hii Ina maana kuwa wastaafu watakaaoishi hadi miaka 80 ni asilimia ndogo sana kiasi cha kustahili kuhalalisha kikokotoo Cha 33%. Yaani huyu mtumishi ameibiwa mshahara halafu anaibiwa mafao yake pia.
Badala ya kutoa elimu kwa watumishi namna ya kujiandaa na kustaafu na namna ya kutumia mafao yake ya kustaafu mnaona njiia pekee ni kumuwekea hela zake. Hii sio sawa, ni dhuluma mbaya sana.
Lakini pia huwa ninajiuliza, kwani wale wastaafu wengine kutoka kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi na biashara ambao ndio wengi sana huwa wanawekewa hela zao za uzeeni na nani wapi? Kwani hawa hawaadhiliki uzeeni kwa kukosa kipato? Kwanini huruma zenu ziwe kwa hawa tu wanaowadai hela zao? Hii ni njia ya kukwepa kuwalipa hela zao kwa kusaidiwa na kifo chao.
Wapeni hela zao buana wakafe nazo wenyewe. Na kama watazitumia hovyo basi wataishi kama wazee wenzao wengine wakulima, wafugaji, wavuvi, wakwezi na wawindaji wanavyoishi.
Kwanza ututake radhi wakulima, wafugaji, wavuvi, wakwezi na wawindaji. Nasi tunastahili kuishi vizuri kama wazee wengine wowote walioitumikia nchi hii. Sisi kwa kuwa wakulima, wafugaji, wavuvi, wakwezi au wawindaji tunastahili sehemu ya keki ya nchi hii.Mishahara ya watumishi ni midogo saaana kuliko huduma/jasho wanayoitoa kipindi chote Cha ujana yao. Mishahara ya watumishi haiwatoshi kuishi, kuSomesha, na kujenga nyumba. Kima Cha chini cha mfanyakazi ni shilingi 4000 kwa siku nzima wakati kule Marekani ni dollar 8 (TSH 18,400) kwa saa TU. Hii inasababisha mtumishi ashindwe kuishi kwa mshahara lakini akatwe hela kidogo sana kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Wastani wa Umri wa kuishi (life expectancy) wa mtanzania ni miaka 55 tu lakini kikokotoo kinamtaka mstaafu anaestaafu akiwa na miaka 60 apewe 33% TU ya hivyo vijisenti vyake alivyokatwa na kuwekewa kwenye mifuko, kisha fedha nyingine apewe kila mwezi kama mshahara.
Kama ni kweli Wastanni wa Umri wa kuishi ni huu Ina maana aliyekuja na Wazo la kikokotoo hiki alidhamilia kuiba fedha za marehemu. Yaani kwa takwimu hizi za umri wa kustaafu ni kwamba watumishi wengi watakufa miaka michache kabla ya kustaafu na wengine watakufa ndani ya miaka 2 baada ya kustaafu. Maana yake wataziacha fedha zao za mafao na kubakia serikalini na kwenye mifuko au kuliwa na wategemezi ambalo sio kusudi la mfanyakazi.
Hii ni dhambi kubwa sana inayoonekana kwa macho, masikio na moyoni kuliko Ile dhambi ya baada ya kufa ambayo hujui kama IPO au haipo.
Hii Ina maana kuwa wastaafu watakaaoishi hadi miaka 80 ni asilimia ndogo sana kiasi cha kustahili kuhalalisha kikokotoo Cha 33%. Yaani huyu mtumishi ameibiwa mshahara halafu anaibiwa mafao yake pia.
Badala ya kutoa elimu kwa watumishi namna ya kujiandaa na kustaafu na namna ya kutumia mafao yake ya kustaafu mnaona njiia pekee ni kumuwekea hela zake. Hii sio sawa, ni dhuluma mbaya sana.
Lakini pia huwa ninajiuliza, kwani wale wastaafu wengine kutoka kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi na biashara ambao ndio wengi sana huwa wanawekewa hela zao za uzeeni na nani wapi? Kwani hawa hawaadhiliki uzeeni kwa kukosa kipato? Kwanini huruma zenu ziwe kwa hawa tu wanaowadai hela zao? Hii ni njia ya kukwepa kuwalipa hela zao kwa kusaidiwa na kifo chao.
Wapeni hela zao buana wakafe nazo wenyewe. Na kama watazitumia hovyo basi wataishi kama wazee wenzao wengine wakulima, wafugaji, wavuvi, wakwezi na wawindaji wanavyoishi.
Hawa plan yao ni wastaafu wafie mbali wao wabaki wakitafuna jasho la wafuCha kushangaza hicho kikokotoo chao hakiwahusu wabunge na wale vigogo wao wa juu!.
Hakika hii nchi ina ujinga mwingi sana.