Dhambi ya Zinaa, Ngono, Uzinzi na Uasherati

Hayo ni kwa mujibu wa IMANI ya Kikristo
 
Kabsa yaan anasahau kuwa chanzo kingn ukiachana na tamaa cha wanandoa kusalitian na kuchepuka nikuwa huwa hawaridhishwi nawenza.mfn mwanamke kutofrahia tendo kiujumla.akijaribu kwa wengne tyr anasalit maan anakutana navitu hajawah fanyia ikiwepo kuandaliwa vzur kabla ya tendo, kuandaliwa kwnyewe ndo jamaa anadai ni dhambi.sohata waliooa wanadhambi kumbe.#Makubwa#
 
Sometimes hawa wahubiri wana exaggerate mambo..
Kuna mmoja aliwahi kusema hata kunywa kahawa, chai, soda.. ni dhambi. Sasa unajiuliza, enzi za maandiko hivyo vinywaji havikuwepo, na havikuandikwa, na havileweshi, amejuaje kama vina dhambi?!!!
 
Wewe mwenyewe huchomoi hapa, kwa kuwa umewaza ukaandika.
 
Wewe mwenyewe huchomoi hapa, kwa kuwa umewaza ukaandika.

1Yohana1:9-10 inasema:-
9 Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote.
10 Tukisema kwamba hatukutenda dhambi, twamfanya Yeye kuwa mwongo wala neno lake halimo mwetu.
 
Mmmhhh. Kwan lazima kuambatana na sadaka ya Toba. Na sadaka ya Toba ni Nini? Ebu fafanua kidogo hapo.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna dhambi nyingi tunafanya, watu tunachukulia poa. Sio Wakristo wala Waislamu na Wapagani wanazini mno. Mungu aturehemu na kutupa nguvu ya kuachana na dhambi.
 
Mmmhhh. Kwan lazima kuambatana na sadaka ya Toba. Na sadaka ya Toba ni Nini? Ebu fafanua kidogo hapo.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Sadaka ya toba na sadaka ya hatia hakuna tofauti kubwa sana. Tofauti ni aina ya tendo ulilotenda. Mfano unapotembea na mke wa mtu au kuiba mali ya mtu, hayo ni matendo ya hatia na utatakiwa utoe sadaka ya hatia.Soma Walawi19: 21.

Dhambi tunazozifanya kwa kutojua mfano mawazo mabaya,hasira,kijicho,kulaumu n.k tunakiwa kuambatisha sadaka ya toba ili tusamehewe. Pia kuna sadaka ya kukombolewa. Hii ni sadaka ya kumuomba Mungu kufungua vifungo vya kiroho km utasa,kuolewa,kukataliwa na mabalaa mengine.
 

Aaah wapi! Ni wapi imeandikwa ndoto inaelekea dhambi? Hiyo mistari umeweka inaelekea umuhimu wa kushuka na kuliweka neno la Mungu moyoni. Elezea hapa ndoto inavyokuwa dhambi, kumbuka ndoto sio kitu Cha hiari.
 
Jamaa kaokoka juzi ana amsha amsha!
Anataka kuokoa nyoyo za JF,
Wala tunda kimasihara wameonekana wapo wengi humu!
Na ana moto hatari! hadi wakristu wenzake tunashtuka! 'Nini hicho kilichotupiga kwa ghafla!? Jamaa kaja ghafla sana daah!😂😂.

Wazungu nao wanasemaga 'whaat hit me!!?
 
Na mtu asiyesoma Biblia hana roho mtakatifu maana ni kwa kusoma na kufakari neno la Mungu na kuliishi ndo tutamwita Roho Mtakatifu. Pasipo na roho mtk basi pana roho mchafu
Mtu yeyote anayetenda mema ako na roho wa Mungu, haijalishi alishawahi kuiona wala kiushika biblia au hata hajawahi kuiwazia. Mtu anaweza kumjua Mungu kupitia vyanzo vyake vingine saafi kabisa.

Moja kati ya mkanganyiko wa kimantiki walioupata mafarisayo ni pale waliposema ati 'Yesu anatoa pepo na kuponya kwa nguvu za kishetani' Wakati inayakinika kwamba mema hutoka kwa Mungu. Kwa nini ilibidi waseme hivyo? Ni kwa sababu alifanya baadhi ya vitu ambavyo wao waliona sio vyema mfano kuponya siku ya sabato.

Lakini ndugu nikwambie popote penye logical contradiction ujue tu sikuzote ni kwa sababu kuna kimoja ni kweli kingine kimepotoshwa. Japo maandishi yao yalisema usifanye kazi siku ya sabato iliwabidi watumie akili kujua kuwa kuna kitu hakiko sawa lazima. Huu ni wito kwako kuhusisha akili penye utata wowote.
 
Barikiwa mtumishi ila hisi pisi kali mbn zinakuwa nyingi Sana tunawafadisha Sasa ningekuwa muslamu ningeoa wanna yaani mnk Ni wengi Sana na Ni wazuri na wamaume Ni wachache Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…