Dhambi ya Zinaa, Ngono, Uzinzi na Uasherati

Dhambi ya Zinaa, Ngono, Uzinzi na Uasherati

Tumehubiriwa sana kuhusu dhambi ya zinaa,ngono uzinzi,na uasherati.Wachungaji wengi hawafundishi kwa kina dhambi hii kwa sababu wao wenyewe inawagusa. Matokeo yake Wakristo hupata ufahamu mdogo na wa juu juu na kujiona wako salama na kumbe wamepotea km watu wa mataifa. Ndio maana kuna msemo " Garbage in garbage out". Injili ikihubiriwa vizuri bila kupindisha au kuficha ficha wengi hatuko salama.
Kuzini ni dhambi. Ila ushoga na usagaji ni haki za binadamu.
 
Tumehubiriwa sana kuhusu dhambi ya zinaa,ngono uzinzi,na uasherati.Wachungaji wengi hawafundishi kwa kina dhambi hii kwa sababu wao wenyewe inawagusa. Matokeo yake Wakristo hupata ufahamu mdogo na wa juu juu na kujiona wako salama na kumbe wamepotea km watu wa mataifa. Ndio maana kuna msemo " Garbage in garbage out". Injili ikihubiriwa vizuri bila kupindisha au kuficha ficha wengi hatuko salama.

Dhambi ya zinaa ni dhambi iliyofunga na kuwapoteza watu wengi bila kujali umri,cheo au jinsi.Shetani ameificha dhambi hii kwa kuifanyia "camouflage", kwa namna mbali mbali mfano kutoa tafisiri za uongo na kufanya kampeni za kuhalalisha ngono na kuonekana ni kitu cha kawaida wa
Wacha kujilisha upuuzi mkuu, ngono ni muhimu katika maisha ya binadamu na ndiyo maana hata Mohammed alikuwa anabaka wake za watu enzi zake, unataka kutuambia naye kaenda motoni? Mfalme Daudi alibaka mke wa mtu na mitume kibao walikuwa waesharati nao pia wako motoni?

Unazungumzia masuala ya Walawi, sisi ni watanzania...hao Walawi wanatuhusu nini sisi? Usizungumzie masuala ya Biblia tafadhali, kile kitabu kina madhambi na maovu mengi ambayo kama kweli umesoma Biblia lazima utakuwa umekutana nayo, never believe in that book.
 
Wacha kujilisha upuuzi mkuu, ngono ni muhimu katika maisha ya binadamu na ndiyo maana hata Mohammed alikuwa anabaka wake za watu enzi zake, unataka kutuambia naye kaenda motoni? Mfalme Daudi alibaka mke wa mtu na mitume kibao walikuwa waesharati nao pia wako motoni?

Unazungumzia masuala ya Walawi, sisi ni watanzania...hao Walawi wanatuhusu nini sisi? Usizungumzie masuala ya Biblia tafadhali, kile kitabu kina madhambi na maovu mengi ambayo kama kweli umesoma Biblia lazima utakuwa umekutana nayo, never believe in that book.
Najua mwili unakudanganya.Tambua Mungu anaangalia mwisho wako. Je muda unakata roho unakuwa upande wake au wa shetani?Km hao mitume walifanya dhambi na wakatubu kabla hawajafa basi watakuwa mbinguni kinyume chake ni motoni. Si unajua kisa cha Sauli ambaye licha ya kutesa na kuua watu wengi mwisho aligeuka na kuwa muhubiri mkubwa ambae ndio Paul!
 
Najua mwili unakudanganya.Tambua Mungu anaangalia mwisho wako. Je muda unakata roho unakuwa upande wake au wa shetani?Km hao mitume walifanya dhambi na wakatubu kabla hawajafa basi watakuwa mbinguni kinyume chake ni motoni. Si unajua kisa cha Sauli ambaye licha ya kutesa na kuua watu wengi mwisho aligeuka na kuwa muhubiri mkubwa ambae ndio Paul!
Mkuu usiwe mpuuzi kihivyo...hivi vitabu ni hadithi tu, never take them seriously la sivyo utajikuta alosto. Kwa akili yako, unataka kutuambia tunaweza kuua watu na kubaka au kuwafanya chochote kibaya ila siku ya kufa tukitubu Mungu anatusamehe? Mkuu uwe unafikiria hivi vitabu si vya kuviamini hata kidogo. Wewe Kamgomoli umeshaua watu wangapi mpaka hivi sasa?😀
 
Tumehubiriwa sana kuhusu dhambi ya zinaa,ngono uzinzi,na uasherati.Wachungaji wengi hawafundishi kwa kina dhambi hii kwa sababu wao wenyewe inawagusa. Matokeo yake Wakristo hupata ufahamu mdogo na wa juu juu na kujiona wako salama na kumbe wamepotea km watu wa mataifa. Ndio maana kuna msemo " Garbage in garbage out". Injili ikihubiriwa vizuri bila kupindisha au kuficha ficha wengi hatuko salama.

Dhambi ya zinaa ni dhambi iliyofunga na kuwapoteza watu wengi bila kujali umri,cheo au jinsi.Shetani ameificha dhambi hii kwa kuifanyia "camouflage", kwa namna mbali mbali mfano kutoa tafisiri za uongo na kufanya kampeni za kuhalalisha ngono na kuonekana ni kitu cha kawaida watu kufanya bila utaratibu.

Yafuatayo ni matendo( dhambi za kingono)ambazo km ulifanya/unafanya ukifa bila kutubu adhabu yake ni jehanamu kwenye chumba cha uzinzi,uasherati na ngono.

1. Kufanya ngono kabla ya ndoa.Hata km mlikuja kuoana baadae km hamjatubu dhambi mliyoifanya adhabu yenu ipo pale pale na mtahukumiwa wote 2 baada ya kifo. Mpango wa Mungu si watu kufanya tendo kabla ya ndoa.Hivyo mnapofunga ndoa baadae, je mlitubu kosa lenu mbele ya mtumishi wa Mungu na kutoa sadaka ya hatia?

2. Kufanya ngono nje ya ndoa. Kwasasa hili nalo ni janga.

3. Kuzaa kabla ya ndoa. Hata km mlikuja kuoana baadae km hamkutubu kupitia maombi ya utakaso, dhambi hiyo ipo pale pale.Ndoa yenu haihalalishi zinaa mliyoifanya hapo kabla.

4. Kuoa au kuolewa ukaachika/ kuacha na kuoa/ kuolewa tena.

5. Kuwa na wapenzi/wake wengi.

6. Kufanya mapenzi katika ndoto. Watu wengi wameweza kuishinda zinaa ya mwili ya kawaida. Lakini Shetani amewafata na kuzini nao katika ndoto na hata kufunga ndoa za kijini na jini mahaba. Kiroho hii ni zinaa km zinaa zingine. Tuwe macho hasa kufanya maombi kabla ya kulala.

7. Kumtamani mwanamke kwa kumtazama

8.Kuwaza waza kufanya ngono( Kuwaka tamaa ovyo)

9. Kuongea maneno ya kushabikia ngono.Matendo 4:23 Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima".

10. Kujichua (Masterbation)

11. Mapenzi ya jinsia moja. Walawi 20:10-21

12. Kufanya mapenzi kinyume na maumbile hata km ni kwa mkeo. Walawi 20:10-21

13. Kufanya mapenzi na mnyama. Walawi 20:15-16

14. Kufanya ngono na ndugu yako. Walawi 20:17-21

15. Kuangalia picha za ngono.Hata km umeacha je umetubu? Lazima ufanye maombi ya toba yaliyoambatana na sadaka ya hatia.

16. Wanaotumia kondom hata km wameoana bado ni dhambi.

17. Kufanya mapenzi kwa njia ya mdomo.

18. Kuchezea utupu wako au wa mtu mwingine kwa vidole. Ni chukizo mbele za Mungu.

19. Wanaotumia vidonge au vijiti vya kuzuia mimba

20. Kutoa mimba.

NB:Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.



Kila tendo tunalolifanya linarekodiwa katika ulimwengu wa roho( Kuzimu na mbinguni). Ukifa kuzimu wanatoa hesabu ya matendo yako. Km ulifanya dhambi na ukatubu rekodi ya mbinguni itaonyesha na utawekwa huru na kwenda kwenye umilele wa mbinguni. Kinyume chake ni kwenda kwenye umilele wa Jehanamu.

Km umefanya zambi hizo au moja ya dhambi hizo inabidi utubu na kufanya maombi ya kukombolewa ukiambatanisha na sadaka ya hatia.

Neno la Mungu linasema:-
"Basi, tubia uovu wako huu, ukamwombe Bwana, ili kama yamkini, usamehewe fikira hii ya moyo wako".Matendo 8:22.

Mungu awabariki na atusamehe makosa yetu. Nawatakia Jumapili njema yenye baraka tele.
Hivi na wale ambao uchumba umeidhinishwa, kubarikiwa na kutangazwa mbele ya kanisa, hawaruhusiwi kugonganisha vikojoleo hadi wafunge ndoa
 
Tumehubiriwa sana kuhusu dhambi ya zinaa,ngono uzinzi,na uasherati.Wachungaji wengi hawafundishi kwa kina dhambi hii kwa sababu wao wenyewe inawagusa. Matokeo yake Wakristo hupata ufahamu mdogo na wa juu juu na kujiona wako salama na kumbe wamepotea km watu wa mataifa. Ndio m
Kwahiyo KATERERO ni dhambi? Wazungu ndio waasisi wa dhambi, hawaijui katerero.
 
Naomba ufafanuzi namba 16
Sijui km utaelewa lakini ngoja nijitahidi. Iko hv.Mpango wa Mungu ni tendo la ndoa kufanyika kwa lengo la uzazi na kuondoa tamaa ya mwili lakini kwa utaratibu aliouweka.Biblia inasema tuwe na kiasi kwa kila jambo yaani hata km umeoa Mungu anataka tufanye tendo kwa utaratibu wake sio vurugu/ovyo ovyo km wanyama. Ndio maana japo chakula unakitafta wewe kwa guvu zako lakini Mungu amekataza ulafi.
Warumi 13:13
"Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu".

Sasa kondom ni mpango wa shetani kuidhinisha ufanyaji wa ngono ovyo ovyo km wanyama. Kwani mtu akitumia kondom anajiona atakwepa aibu ya mimba na magonjwa ya zinaa. Vilevile kondom ni mpango wa shetani kuangamiza watoto kwani " manii"nyingi huishia kutupwa jalalani badala ya kutumika kupata watoto. Siku ya mwisho Mungu atakuhoji kwa hizo mbegu ulizozitumia vibaya.

Kuna vitu lazima uwe makini navyo sana hata km havijatajwa moja kwa moja katika Biblia mfano:-
1. Kuvuta sigara
2.Kucheza kamari( Betting)
3.Kuangalia picha za utupu.
4. Kusikiliza Mziki wa kidunia( secular music) .Hizi ndo dhambi ambazo tunafanya pasipo kujua na kufanya bila kujua haiondoi kosa
 
Aposto kuna ushuhuda mwingine hapa [emoji23]
 
Back
Top Bottom