Dhamiri yamlazimisha Rais Magufuli kukiri uharibifu katika uchaguzi wa Oktoba 2020

Dhamiri yamlazimisha Rais Magufuli kukiri uharibifu katika uchaguzi wa Oktoba 2020

Tume huru ni hitaji muhimu la Taifa. Kampeni ya kuidai ni muhimu.

Maandamano yanaweza kuwa sehemu ya kampeni hiyo.

Maaskofu waliovaa majoho wanaweza, na wanapaswa, kuwa sehemu ya maandamano hayo.

Lkn maandamano hayawezi, na hayapaswi, kuwa hatua ya kwanza.

Hatua ya kwani ni, na inapaswa kuwa, kujibu swali lifuatalo na kuhakikisha waandamanaji watarajiwa wanaelewa jawabu kwa swali:

TUME HURU INAYOTAKIWA TANZANIA NI KITU GANI NA SIO KITU GANI?

Nadharia kabla ya utekelezaji ni muhimu sana kwa kuwa itatuwezesha kufanya tathmini baada ya kutenda.
Hapo umesahau kuwataja mashekhe au wao siyo jamii ya watanzania wanao hitaji hiyo tume huru ya uchaguzi?
 
Unafiki wa jiwe Mkuu kujiona yeye alishinda uchaguzi ambao alipora ushindi wakati huo huo kuona madiwani hawakuchaguliwa na Watanzania.
Siyo unafiki sema ni ufinyu wa elimu ya uraia ambayo ingeplekea watu kujitambua
 
Ni Mwenyeji wa Mbeya Mkuu.
Daaaaa hapo ajiandae kuwafahamu wale woote wakaazi wa Kasumulo,aende tena kule Tunduma awajue kabisa wazee wa kule maana lazima ataulizwa utaifa wake
 
Unafiki wa jiwe Mkuu kujiona yeye alishinda uchaguzi ambao alipora ushindi wakati huo huo kuona madiwani hawakuchaguliwa na Watanzania.
Ndiyo maana tunasema kuwa Mungu hamfichi mnafiki,sasa wameanza kujitaja walivyo tutenda kwenye uchaguzi
 
Kimsingi haya maagizo ya kuvuruga uchaguzi ni yake kwa 100%, lakini anajikuta kwenye wakati mgumu maana anaona kabisa amekipotezea chama chake mvuto, na kwenye box la kura hawapati matokeo aliyotegemea, na watu hawataki kupiga kura tena, na sababu hasa ni yeye.
Eti amekipotezea chama chake mvuto, nyie majamaa bhana [emoji23], hivi kuna kipindi ccm ilikuwa na nguvu kushinda sasa?
 
Si ni hivi majuzi alidandiwa mbona hasemi walimwambia nini?
 
Eti amekipotezea chama chake mvuto, nyie majamaa bhana [emoji23], hivi kuna kipindi ccm ilikuwa na nguvu kushinda sasa?

Ccm haina nguvu yoyote sasa, bali mwenyekiti wake kupitia kofia ya urais ana kiburi cha madaraka. Ccm ina nguvu huku inashinda uchaguzi kwa kuingiza mabox fake ya kura vituoni? Rejea sasa hivi wapiga kura wengi wamepuuza box la Kura, maana kuna uhayawani mwingi wa wazi, na sababu hasa ni matumizi mabaya ya madaraka ya urais ya mwenyekiti wa ccm. Kama ccm hii ni imara, basi tukubaliane Iddy Amini huko Uganda alikuwa rais imara.
 
Ccm haina nguvu yoyote sasa, bali mwenyekiti wake kupitia kofia ya urais ana kiburi cha madaraka. Ccm ina nguvu huku inashinda uchaguzi kwa kuingiza mabox fake ya kura vituoni? Rejea sasa hivi wapiga kura wengi wamepuuza box la Kura, maana kuna uhayawani mwingi wa wazi, na sababu hasa ni matumizi mabaya ya madaraka ya urais ya mwenyekiti wa ccm. Kama ccm hii ni imara, basi tukubaliane Iddy Amini huko Uganda alikuwa rais imara.
Same Blah blah blah since genesis of multipartism in Tz, common phrases now. You're wasting your time.
 
Dhuluma mbaya sana hata vitabu vya dini vimesema, na bado kuna siku atatuambia akina Saanane aliwafanyaje...damu ya mtu haiendagi bure lazima kuweweseka kutaendelea tujipe muda!.
 
Tatizo la mleta mada na Mwamakula wana uelewa mdogo mno wa alichosema Raisi .Raisi alichosema kifupi ni kuwa meya wa Jiji la Dar es salaam ni meya hewa na hakuna diwani hata mmoja anayechaguliwa udiwani chini ya jiji la Dar es salaam hayupo!! wote huchaguliwa udiwani kwenye manispaa ya Ilala ,Temeke, kinondoni,Ubungo sasa hao wanaoenda kumchagua meya wa jiji ni madiwani ambao hawakuchaguliwa na wananchi kuwa madiwani wa jiji sababu hakuna uchaguzi wa madiwani wa jiji upo wa madiwani wa manispaa.

Kwa muktadha huo ina maana hakuna diwani wa jiji wala meya wa jiji hao hawakuchaguliwa na wananchi na wala tume ya uchaguzi haijawahi simamia uchaguzi wa diwani yeyote wa jiji sababu hakuna diwani wa aina hiyo

Ndio maana Raisi akasema atavunja hicho kinachoitwa jiji la Dar sababu meya na madiwani wake hawakupigiwa kura na wananchi kuwa madiwani wa jiji ni kakikundi ka kihuni tu pale hakapo kisheria hata tume hawawajui madiwani wanaoitwa madiwani wa jiji na hawajawahi simamia uchaguzi wao

Alichoongea Raisi kwa upeo mdogo wa Mwamakula sio rahisi kuelewa
 
The way you are wasting yours.
No, I'm not here all the time, na wala sio mnufaika wa ccm, wala siasa bongo, ila ww sasa mzee, every topic abt siasa, uko una complain, I'm telling you, unapoteza muda wako, alternative ya ccm Tz, mbado sana.
 
Kule waliko haribu kama Mtwara baada ya kuwapoka korosho zao, walipitisha madiwani na wabunge bila kupingwa.
yaani hapo mmepata neno lakuongea wapinzani uchwara yaani katika aliyoongea yoote ya muhimu hamjayaona mmeona hilo tu yaani mtu ukikosa akili unakuwa na shida sana mwacheni apige kazi hata hiyo stand hamtoi hata asante jpm mtakalia majungu tu
 
Back
Top Bottom