Dhamiri yamlazimisha Rais Magufuli kukiri uharibifu katika uchaguzi wa Oktoba 2020

Same Blah blah blah since genesis of multipartism in Tz, common phrases now. You're wasting your time.
Lakini wewe huo upumbavu wako utaisha lini? Kiingereza chenyewe hakieleweki. Vile unajihesabu katika wajuzi wa hiyo lugha. Ondoa hapa huo upumbavu wenu wa .....i cannot reach you!
 
Reactions: BAK
Anasema madiwani wa Dar es Salaam hawakuchaguliwa na watu. Walichaguliwa na nani?

Nilichoelewa: Madiwani wa city council hawana direct electorate. Ukitaka kujenga hoja vizuri jiepushe na hila katika hoja yako. Yaani jiepushe na spinning. Hapo ndipo naona BAK/Mwamakula amejikwaa.
 
Kongole kwa ufafanuzi mzuri
 
Uko sahihi kabisa!
 
Nilichokigundua, jamaa sio kigeugeu. Kuna baadhi ya vitu anafanya bila hiari yake, yani anajikuta tu vimeshamtoka.

Kuna kitu hakipo sawa kuhusu huyu jamaa yetu, japo sijui ni kitu gani.
Unataka uniambie kwamba kichwa chake kinachanganya mafile
 
yaani hapo mmepata neno lakuongea wapinzani uchwara yaani katika aliyoongea yoote ya muhimu hamjayaona mmeona hilo tu yaani mtu ukikosa akili unakuwa na shida sana mwacheni apige kazi hata hiyo stand hamtoi hata asante jpm mtakalia majungu tu
Ficha mbali huu ujinga, huenda utakufaa huko mbeleni!
 
hizo ni dharau kwa watz!!! kwa hiyo Kama sio watu ni ,ni viumbe gani walimchagua!!
 
Ukiona magufuli ana act kama kukiri kosa basi huo ni muda wa kuwa makin kuliko maelezo.. sio muda atawapiga kanzu.sawa wapinzan? Anawatia chenga kuja kushtuka mmepigwa tobo goli la 3 chaliii...msisema sikusema
hawawezi kukuelewa mkuu hawa.huwa wanaelewa baada ya kuona matokeo siku zote.
 
Na unafiki pia wa kujiona yeye mporaji alichaguliwa lakini madiwani hawakuchaguliwa katika uchaguzi ule ule uliosimamiwa na Tume FAKE.
Kama ni utawala wa mabavu, Basi mbowe ni phd, na kale ka utaratibu ka tiaraei ka 10% posho za wabunge,na kale ka mfumo ka kiti Cha u chairman ni ka ukoo wake,n.k

Na Kama ni unafiki ,Basi tundu lisu ni PhD holder tena with honor.( 1.).rais aliyepita alimzonga Mara dhaifu,Mara fisadi,Mara hakusanyi mapato,awamu hii ka change gia tena,Bora rais aliye pita.( 2.).utawala ule tundu alipga kelele madini yanazolewa hovyo na wazungu,umekuja utawala wa Sasa, likawekwa azimio la kubadilisha sheria za mikataba ya madini,tundu aka chenji gia,ooh tukibadilisha sheria za mikataba ,tutashitakiwa. watu Kama Hawa akina lisu,na mbowe ,ndo mnapiga miluzi humu wapewe nchi!!!???
 
Tumfuate
 
Tatizo huyu bwana ni kigeugeu yaani mbele za camera huwa anaropoka kuwaumiza waliojitoa kufuata alichokitaka/maagizo yake alafu kwenye audience anawaanika. NYUMA YA PAZIA HUWA NI YEYE AMBAE ANAAGIZA VYOTE HIVYO
Ngumu Sana kuishi na mtu wa aina hii
 
Nilichoelewa: Madiwani wa city council hawana direct electorate. Ukitaka kujenga hoja vizuri jiepushe na hila katika hoja yako. Yaani jiepushe na spinning. Hapo ndipo naona BAK/Mwamakula amejikwaa.
Wewe jibu swali. Kama hawakuchaguliwa na watu wamechaguliwa na nani? kama hukumsikia akisema hivyo nyamaza wajibu wenye akili
 
Ngumu Sana kuishi na mtu wa aina hii
Kweli kabisa ndo maana wanajaribu hata kujipendekeza ila waaapi jamaa hata haeleweki.Maprof nayo yanajipendekeza mpaka unaogopa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…