Dhana nzima ya Futari na Daku

Dhana nzima ya Futari na Daku

Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea
Utahangaika mpaka akili itakukaaa sawa umesema funga tumeiga nikakwambia wapi mayahudi wamefunga ramadhani badala ya kujibu hoja kwanza unaongeza maswali ili ujifiche sio

Funga ya ramadhani ndani yake kuna usiku bora kuliko miezi elfu moja

Hapo huo usiku mmoja tu
97:3. Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
kila siku utaendelea kushindwa tu kama masaa 27 na umeshindwa kujibu nani alie waambia mfungue saa 12 mkifunga
Yesu alifunga siku 40 bila kunywa wala kula , binadamu na udhaifu wake ana limit ya time ya kaa bila kula wala kunywa , ila wakristo hawana machakula ya usiku unakula mlo mmoja imetoka mpka kesho mda huo unakula tena , hatuna kitu linaitwa futari wala daku



Kuna kufunga kwa jambo maalumu unaliombea

Daniel 10:3 Sikula chakula cha fahari, sikugusa nyama wala divai, na sikujipaka mafuta kwa muda wa majuma hayo yote matatu.

Esta 4:16 “Nenda ukawakusanye pamoja Wayahudi wote waliopo mjini Susa. Fungeni, msile wala msinywe kwa siku tatu, usiku na mchana, ...
 
Utahangaika mpaka akili itakukaaa sawa umesema funga tumeiga nikakwambia wapi mayahudi wamefunga ramadhani badala ya kujibu hoja kwanza unaongeza maswali ili ujifiche sio
Nimeweka rejea funga mliyo iga na haikutoka kwa Allah ni Kwa wayahudi , ya ramadhani najua mlipo iga ila sio mda wake leo

Sasa jibu maswali
Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea
 
Yesu alifunga siku 40 bila kunywa wala kula , binadamu na udhaifu wake ana limit ya time ya kaa bila kula wala kunywa , ila wakristo hawana machakula ya usiku unakula mlo mmoja imetoka mpka kesho mda huo unakula tena , hatuna kitu linaitwa futari wala daku



Kuna kufunga kwa jambo maalumu unaliombea

Daniel 10:3 Sikula chakula cha fahari, sikugusa nyama wala divai, na sikujipaka mafuta kwa muda wa majuma hayo yote matatu.

Esta 4:16 “Nenda ukawakusanye pamoja Wayahudi wote waliopo mjini Susa. Fungeni, msile wala msinywe kwa siku tatu, usiku na mchana, ...
Hahhahah kwa hiyo mkaamua kutuiga ili mule saa 12 kama waislam
Maana yesu hajawapa muda maalum

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimeweka rejea funga mliyo iga na haikutoka kwa Allah ni Kwa wayahudi , ya ramadhani najua mlipo iga ila sio mda wake leo

Sasa jibu maswali
Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea
Rejea nimekupa aya kabisa umeikata comment chizi wewe rudi kwenye comment huko ukutane na rejea


Hahahah eti najua mlipo iiga
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Suleiman alikua anatengenezewa 𝐌𝐀𝐇𝐄𝐊𝐀𝐋𝐔 unatakaaana maana gani nyingine ikiwa hiyo ndio maana yake
Kumbuka Suleiman wa kwenye Koran ni muislamu mwenzako

Nimekuuliza
Synagogue la waislamu ni nini?

Jibu kama swali lilivyoulizwa

Suleiman wa kwenye koran alikuwa muislamu kumbuka hilo wakati unajibu
 
Kumbuka Suleiman wa kwenye Koran ni muislamu mwenzako

Nimekuuliza
Synagogue la waislamu ni nini?

Jibu kama swali lilivyoulizwa

Suleiman wa kwenye koran alikuwa muislamu kumbuka hilo wakati unajibu
Synagog ni 𝐡𝐞𝐤𝐚𝐥𝐮 kuku wewe unataka maana ipi ya synagogi


Siku nyingine hakikisha hukurupuki



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Rejea nimekupa aya kabisa umeikata comment chizi wewe rudi kwenye comment huko ukutane na rejea


Hahahah eti najua mlipo iiga
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimukuuliza dhambi wewe ukajibu Bora mara elfu labda uniambie Bora ni kufutiwa dhambi

Sasa jibu maswali
Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea
 
Synagog ni 𝐡𝐞𝐤𝐚𝐥𝐮 kuku wewe unataka maana ipi ya synagogi


Siku nyingine hakikisha hukurupuki



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Synagogue = sehemu ya ibada

Kumbuka Suleiman wa kwenye Koran ni muislamu mwenzako

Nimekuuliza
Synagogue la waislamu ni nini?

Jibu kama swali lilivyoulizwa

Suleiman wa kwenye koran alikuwa muislamu kumbuka hilo wakati unajibu
 
Synagogue = sehemu ya ibada

Kumbuka Suleiman wa kwenye Koran ni muislamu mwenzako

Nimekuuliza
Synagogue la waislamu ni nini?

Jibu kama swali lilivyoulizwa

Suleiman wa kwenye koran alikuwa muislamu kumbuka hilo wakati unajibu
Hahahaha synagog sehemu ya ibada kwani hekalu ni uwanja wa michezo

Au unamajibu yako mwenzetu maana unapewa lakini hutaki aya tupe maana yako sasa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimukuuliza dhambi wewe ukajibu Bora mara elfu labda uniambie Bora ni kufutiwa dhambi

Sasa jibu maswali
Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea
Ndio bora ni kufutiwa dhambi sasa unajua lakin unauliza acha upimbi basi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom