professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekutaka tu uweke nukuu kwamba neno Bora ni kufutiwa dhambiKha acha uzwa zwa wewe funga ya ashuaraa bora kufikia huo usiku mmoja?
Kama ndivyo weka nukuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni usiku mmoja bora kijana kuliko miezi 1000 yani hapo Ashuraa anasubiri sanaNimekutaka tu uweke nukuu kwamba neno Bora ni kufutiwa dhambi
Relax
Sinaga haraka mpaka nikiweke kwenye trap, kama nilivyokifanya kwa Suleimani na synagogueNi usiku mmoja bora kijana kuliko miezi 1000 yani hapo Ashuraa anasubiri sana
Hahhaha Kwa suleiman nishakupiga Ko kijana rudia uzi ujishuhudieSinaga haraka mpaka nikiweke kwenye trap, kama nilivyokifanya kwa Suleimani na synagogue
Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Tutafika tu kwanza jibu swali languNakuuliza wewe je ashuaraa ina usiku ulio bora kuliko ramadhani?
Muislamu ku dabate nae ni ku m trap , Yani uhakikishe anajibu swali kwanza la swali ulilo muulizaHahhaha Kwa suleiman nishakupiga Ko kijana rudia uzi ujishuhudie
Mimi nimemaliza kijana kama hujui kutofautisha ubora wa miezi 1000 na ukubwa wake hayaTutafika tu kwanza jibu swali langu
Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Hahahhahaha nishakupiga KO kitamboMuislamu ku dabate nae ni ku m trap , Yani uhakikishe anajibu swali kwanza la swali ulilo muuliza
Ndio maana nimekuweka kwenye 18 ukajibi mwenyewe
Jibu tu ndio au hapanaMimi nimemaliza kijana kama hujui kutofautisha ubora wa miezi 1000 na ukubwa wake haya
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimemaliza hilo kijanaJibu tu ndio au hapana
Swali
Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Na Mimi Nimemaliza
Twambie je usiku wa Ashuaraa unaweza kufikia usiku wa RamadhaniNa Mimi Nimemaliza
Huwezi kujibu hili swali maana ulishakoroga apo juu
Ukitaka kujibu utarudi ujibu
Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana
Wewe una dini yako na mimi nina dini yangu. Wewe endelea kupita na majani ya 'mitende' au sijui kujipaka majivu (or whatever).... ndivyo imani yako inavyokuelekeza labda ndiyo mlango wa mbingu utafunguliwa kivyako...Hivi tabu yote ya nini? Unatafuta nini? Bada? Kwani lazima ujitese? Ili iweje? Kuingia mbinguni? Who knows kama kuna Mungu? IMANI, IMANI IMANI
Na Mimi Nimemaliza
Huwezi kujibu hili swali maana ulishakoroga apo juu
Ukitaka kujibu utarudi ujibu
Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana
🤣😂😂🤣 Sasa ndio umejibu NiniAbu Hurairah narrated that:
The Messenger of Allah [SAW] said: "Whoever stands (in the voluntary night prayer of) Ramadan out of faith and in the hope of reward, his previous sins will be forgiven. And whoever spends the night of Lailat Al-Qadr in prayer out of faith and in the hope of reward, his previous sins will be forgiven."
Grade sahihi
Wewe bado sana nitakupopoa mpaka utahama humu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahahha imepenya hiyo mpaka ndani[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787] Sasa ndio umejibu Nini
Swali lipo ukitaka kujibu jibu
Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana
Me kwa uelewa wangu waislam hamfungi wala Nini isipokua mnabadili mda wa kula tu ..baada ya kula Milo mi 3 mchana , nyie mnaila usiku tena kwa uroho sana kama mchwa wenye hasira uku wengine tukiwa tumelala...na ua mnapata misaada ya chakula kingi na kizuri sana wakat wa kubadili mda wa kula alaf mnatuhadaa et mmefunga ushenzi kabisa na uroho tuKuna post moja nimeiyona ingawa ilikuwa inazungumzia kwaresma lakini mwandishi wa post hiyo alikuwa na lengo la kukashifu dhana nzima ya Futari na Daku.
Kwake yeye Kwa mujibu wa Imani yao wanakula chakula chochote kile tofauti na watu wa Imani nyingine ambayo pasina kuficha na Imani hii ni Uislamu.
Kwa uelewa wa mwandishi anachoelewa yeye kuhusu Futari cha kwanza kinachomjia kichwani kwake ni uji, viazi au mihogo na tambi, kwake yeye hiyo ndio Futari.
Na Daku ni chakula ambacho kinaliwa usiku sana kama ugali, wali na ndizi na kadhalika, kwahiyo kana kwamba anaona fahari kwamba wao hawana mambo hayo kwahiyo mambo yao yapo super.
Ningependa nimpe elimu juu ya mambo haya ili ukungu umtoke katika ubongo wake na apate kujua usahihi wa dhana ya Futari na Daku ili kesho na kesho kutwa asirudie tena kuongea huo upuuzi.
Futari imetokana na neno kufuturu kwa Kiswahili chepesi ni mlo wa kwanza baada ya kufunga swaumu, kwahiyo kile chakula cha kwanza kukila baada ya kufungua ndio huitwa Futari, na yaweza kuwa tende au maji, ukipata kimoja kati ya hicho hapo tunasema umefuturu, na chakula kingine ni ziada tu kwa maana kinahesabika kama chakula kingine tu.
Tofauti na watu wa Imani nyingine, Futari au kufuturu ni ibada na ina utaratibu wake, miongoni mwa mambo muhimu ya kufanya kwa mwenye kufunga ni kutakiwa kufuturu mapema au haraka mara baada tu ya kuingia Magharibi baada ya jua kuzama.
Hapo hutakiwa kupata tende au maji kwani hivyo ndio vitu ambavyo ni Sunna kutoka kwa Mtume wetu, lakini hata hivyo hakuna aweza kufuturu Kwa biskuti, matunda, karanga au na chochote kile ambacho anaweza kuipata Kwa wakati huo, hapo ndio tunasema kufuturu.
Kwahiyo funga ya muislamu au mwezi wa Ramadhani unaweza kufungwa hata bila ya uwepo wa uji, au viazi, ndizi, magimbi na kadhalika, hivyo ni vyakula tu ambavyo vimezoeleka lakini sio kwamba bila hivyo haipatikani funga, mtu anaweza kufuturu kwa chai na mkate au chapati na hiyo ndo ikawa Futari yake.
Daku ni chakula ambacho huliwa usiku Sana na inashauriwa kuanzia saa nane, tisa mpaka saa kumi usiku, lakini hii nayo ni ibada pia, kwa maana ni bora zaidi kuchelewa kula Daku kama ambavyo ni bora zaidi kuwahi kufuturu, na unapata thawabu kwa kufanya haya.
Daku ni chakula kilicho barikiwa na ndio maana waislamu wanasisitizwa sana mwezi wa Ramadhani wajitahidi Kula Daku, lakini ifahamike kwamba Daku inaweza kuwa glasi moja ya maji au maziwa, au chai na andazi au chapati, ili mradi tu upate chochote kidogo cha kula usiku huo, na hiyo ndio Daku.
Kwa mfano unaweza kula wali wako au ugali saa tano usiku halafu usiku ukaamka kunywa chai tupu au juisi au maziwa ndio ikawa Daku yako, hapo unapata baraka.
Na haya mambo ya kudhani Futari ni viazi, mihogo, ndizi, magimbi na uji au chai huwa tatiza hata baadhi ya waislamu kwa kusema hawana hela ya Futari na hivyo kushindwa kufunga swaumu, huo ni uelewa mbaya sana na ni kukosa maarifa kabisa.
Tupende kujifunza na kupata elimu ili tufanye mambo sahihi kwa wakati sahihi kabisa.
Natumaini wale ambao walikuwa na uelewa mbaya kuhusu Futari na Daku walau kwa uchache watakuwa wamepata maarifa na kutoa ukungu katika vichwa vyao.
Ni hayo tu!
johnthebaptist
Numbisa
Wewe Cheka ila jibu swali langu , hiyo Hadith haijajibu hili swaliHahahahha imepenya hiyo mpaka ndani
Tuambie yesu alifundisha vipi namna ya kufungaMe kwa uelewa wangu waislam hamfungi wala Nini isipokua mnabadili mda wa kula tu ..baada ya kula Milo mi 3 mchana , nyie mnaila usiku tena kwa uroho sana kama mchwa wenye hasira uku wengine tukiwa tumelala...na ua mnapata misaada ya chakula kingi na kizuri sana wakat wa kubadili mda wa kula alaf mnatuhadaa et mmefunga ushenzi kabisa na uroho tu