Dhana nzima ya Futari na Daku

Dhana nzima ya Futari na Daku

Hapo Allah anasamehe dhambi zote zilizo fanywa na zitakazo fanywa unataka kusema nini Dogo
Kajifunze ku dabate na kujibu maswali , ona unavyo weweseka

Unamsingizia mpaka Allah anasemehe dhambi zitakazo fanywa Yani kakupa leseni ya dhambi 😂😂😂

Relax kwanza
 
Kajifunze ku dabate na kujibu maswali , ona unavyo weweseka

Unamsingizia mpaka Allah anasemehe dhambi zitakazo fanywa Yani kakupa leseni ya dhambi [emoji23][emoji23][emoji23]

Relax kwanza
Mimi Nimemaliza
Naona umetafuta kwenye typing error tu baada ya kitu kizito kutua
Narrated Abu Huraira:

The Prophet (ï·º) said, "Whoever fasted the month of Ramadan out of sincere Faith (i.e. belief) and hoping for a reward from Allah, then all his past sins will be forgiven, and whoever stood for the prayers in the night of Qadr out of sincere Faith and hoping for a reward from Allah, then all his previous sins will be forgiven



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Najua Uislam umekemea sana masuala ya Uasharati, kupunja kwenye mizani, kupindisha sheria nk
natamani kuona mada kama hizo ili zielimishe
Ukifuatilia unaona mada nyingi tu ni za kungonoka, hata sijui Mungu anatuonaje?
 
Von Dee sijui umefanya utundu gani,kuna maneno umeyatengeneza as if Mimi ndio niliyo sema na umeniquote
 
Me kwa uelewa wangu waislam hamfungi wala Nini isipokua mnabadili mda wa kula tu ..baada ya kula Milo mi 3 mchana , nyie mnaila usiku tena kwa uroho sana kama mchwa wenye hasira uku wengine tukiwa tumelala...na ua mnapata misaada ya chakula kingi na kizuri sana wakat wa kubadili mda wa kula alaf mnatuhadaa et mmefunga ushenzi kabisa na uroho tu
Kwahiyo unavyoelewa wewe funga ya waislamu ni Kula na kunywa Tu?
 
Kwahiyo unavyoelewa wewe funga ya waislamu ni Kula na kunywa Tu?
Embu eleza Kuna zaidi ya kula na kunywa , tena kula vizuri ? Nina ndugu kabisa wanaenda kukopa ili mwezi huo wale vizuri


Wakianza kufunga picha za ma bufe zinasambaa
 
Daku inaambata na Vigoma siku hizi ukifika mwezi wa Ramadhan vile Vigoma vya Kula Kula Daku Mpemba na kinyago anaecheza Vigoma hakuna tena, sijui nani alieua vile Vigoma vya Daku siku hizi hakuna watu wanawaza kula tu na kula kwenyewe wanakula kiuchoyo zamani ukifika mda wa futari unachagua Baraza la kwenda kula na hufukuzwi na kingine utakuta umeletewa nyumbani ule,

Yaan zamani mwezi wa Ramadhani waislamu walikua wakalimu sana nazungumzia waislamu wote sio wahisani Ila siku hizi sijui njaa imezidi Ramadhan waislamu wanakula wenyewe ule utaratibu wa kula kibarazani umekufa hakuna kukaribisha mtu na hakuna kumpelekea mtu (jirani) chakula,
Sio mambo ya bajeti kweli
 
Wewe hutaki tule tunywe vizuri
Ndio umethibitisha Uislamu mfungo ni kula Sana na kula vyakula vizuri na hii onapelekea mnaingia kukopa

Wewe itakuwa tayari umeshajaza fomu za mkopo upige menyu heavy kipindi Cha mfungo

Hii nimeona mwenyewe nina ndugu waislamu wanakopa kabisa wale mlo mzuri
 
Ndio umethibitisha Uislamu mfungo ni kula Sana na kula vyakula vizuri na hii onapelekea mnaingia kukopa

Wewe itakuwa tayari umeshajaza fomu za mkopo upige menyu heavy kipindi Cha mfungo

Hii nimeona mwenyewe nina ndugu waislamu wanakopa kabisa wale mlo mzuri
Sawa ukiona inauma sana chomoa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Embu eleza Kuna zaidi ya kula na kunywa , tena kula vizuri ? Nina ndugu kabisa wanaenda kukopa ili mwezi huo wale vizuri


Wakianza kufunga picha za ma bufe zinasambaa
Nimekutag kwenye post nyingine kasome majibu yako
 
Back
Top Bottom