professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Utahangaika mpaka akili itakukaaa sawa umesema funga tumeiga nikakwambia wapi mayahudi wamefunga ramadhani badala ya kujibu hoja kwanza unaongeza maswali ili ujifiche sioKati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea
Yesu alifunga siku 40 bila kunywa wala kula , binadamu na udhaifu wake ana limit ya time ya kaa bila kula wala kunywa , ila wakristo hawana machakula ya usiku unakula mlo mmoja imetoka mpka kesho mda huo unakula tena , hatuna kitu linaitwa futari wala dakukila siku utaendelea kushindwa tu kama masaa 27 na umeshindwa kujibu nani alie waambia mfungue saa 12 mkifunga
Nimeweka rejea funga mliyo iga na haikutoka kwa Allah ni Kwa wayahudi , ya ramadhani najua mlipo iga ila sio mda wake leoUtahangaika mpaka akili itakukaaa sawa umesema funga tumeiga nikakwambia wapi mayahudi wamefunga ramadhani badala ya kujibu hoja kwanza unaongeza maswali ili ujifiche sio
Hahhahah kwa hiyo mkaamua kutuiga ili mule saa 12 kama waislamYesu alifunga siku 40 bila kunywa wala kula , binadamu na udhaifu wake ana limit ya time ya kaa bila kula wala kunywa , ila wakristo hawana machakula ya usiku unakula mlo mmoja imetoka mpka kesho mda huo unakula tena , hatuna kitu linaitwa futari wala daku
Kuna kufunga kwa jambo maalumu unaliombea
Daniel 10:3 Sikula chakula cha fahari, sikugusa nyama wala divai, na sikujipaka mafuta kwa muda wa majuma hayo yote matatu.
Esta 4:16 “Nenda ukawakusanye pamoja Wayahudi wote waliopo mjini Susa. Fungeni, msile wala msinywe kwa siku tatu, usiku na mchana, ...
Rejea nimekupa aya kabisa umeikata comment chizi wewe rudi kwenye comment huko ukutane na rejeaNimeweka rejea funga mliyo iga na haikutoka kwa Allah ni Kwa wayahudi , ya ramadhani najua mlipo iga ila sio mda wake leo
Sasa jibu maswali
Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea
Kumbuka Suleiman wa kwenye Koran ni muislamu mwenzakoSuleiman alikua anatengenezewa 𝐌𝐀𝐇𝐄𝐊𝐀𝐋𝐔 unatakaaana maana gani nyingine ikiwa hiyo ndio maana yake
Synagog ni 𝐡𝐞𝐤𝐚𝐥𝐮 kuku wewe unataka maana ipi ya synagogiKumbuka Suleiman wa kwenye Koran ni muislamu mwenzako
Nimekuuliza
Synagogue la waislamu ni nini?
Jibu kama swali lilivyoulizwa
Suleiman wa kwenye koran alikuwa muislamu kumbuka hilo wakati unajibu
Nimukuuliza dhambi wewe ukajibu Bora mara elfu labda uniambie Bora ni kufutiwa dhambiRejea nimekupa aya kabisa umeikata comment chizi wewe rudi kwenye comment huko ukutane na rejea
Hahahah eti najua mlipo iiga
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Synagogue = sehemu ya ibadaSynagog ni 𝐡𝐞𝐤𝐚𝐥𝐮 kuku wewe unataka maana ipi ya synagogi
Siku nyingine hakikisha hukurupuki
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahaha synagog sehemu ya ibada kwani hekalu ni uwanja wa michezoSynagogue = sehemu ya ibada
Kumbuka Suleiman wa kwenye Koran ni muislamu mwenzako
Nimekuuliza
Synagogue la waislamu ni nini?
Jibu kama swali lilivyoulizwa
Suleiman wa kwenye koran alikuwa muislamu kumbuka hilo wakati unajibu
Ndio bora ni kufutiwa dhambi sasa unajua lakin unauliza acha upimbi basiNimukuuliza dhambi wewe ukajibu Bora mara elfu labda uniambie Bora ni kufutiwa dhambi
Sasa jibu maswali
Kati ya ile funga aliyoiga kwa wayahudi na funga ya ramadhani ipi ukifunga unasemehewa dhambi za mda mrefu? Weka na rejea
Sehemu ya ibada ya waislamu inaitwaje ?Hahahaha synagog sehemu ya ibada kwani hekalu ni uwanja wa michezo
Au unamajibu yako mwenzetu maana unapewa lakini hutaki aya tupe maana yako sasa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahhahahaha MsikitiSehemu ya ibada ya waislamu inaitwaje ?
Weka nukuu kwamba Bora ni kufutiwa dhambiNdio bora ni kufutiwa dhambi sasa unajua lakin unauliza acha upimbi basi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimemaliza usirudie tena
Hivi thaman ya usiku mmoja tu wa ramadhani ni bora kuliko hata siku ya Ashuaraa f unaona jambo dogo hiloWeka nukuu kwamba Bora ni kufutiwa dhambi
Maana nitakulipua mda si mrefu
Hahhahahha hahahah unaona hata aibu Aya inasema synogogi wewe unasema msikitiNimemaliza usirudie tena
Weka nukuu kwamba Bora ni kufutiwa dhambiHivi thaman ya usiku mmoja tu wa ramadhani ni bora kuliko hata siku ya Ashuaraa f unaona jambo dogo hilo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimeshamaliza hiloHahhahahha hahahah unaona hata aibu Aya inasema synogogi wewe unasema msikiti
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kha acha uzwa zwa wewe funga ya ashuaraa bora kufikia huo usiku mmoja?Weka nukuu kwamba Bora ni kufutiwa dhambi