Dhana nzima ya Futari na Daku

Huyu anampaka chemchem za juu!.[emoji23][emoji23][emoji23]
Yoshua 15:19
Huyo mwanamke akasema, Nipe baraka; kwa kuwa umeniweka katika nchi ya kusini, unipe na chemchemi za maji pia. Ndipo akampa chemchemi za maji ya juu,na chemchemi za maji ya chini.
 
Hapa nilipo kila siku jua linazama mlimani.
Kama unabisha nakuwekia picha hapa.
 
KWA USHAHIDI KABISA,NYINYI MUANGALIZI WENU NA MCHUNGAJI WENU NI SHETANI.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AYUBU 2

1Tena ilitukia siku moja hao wana wa Mungu walipokwenda kujiweka mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao, ili kujiweka mbele za BWANA.2BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi? Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Natoka katika kuzungukazunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo. 3 BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hakuna hata mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ijapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
 
Kifupi tu. Mwezi Ramadhan ni mwezi wa kubadili majira ya milo. Kwa kawaida ahsubuhi tunakunywa chai au supu. Mchana tunakandamiza ugali/ ndizi au wali. Jioni tunapiga wali. Sasa kwenye mfungo wa Ramadhani tunafanya kilekile. Ila tunabadili muda. Inakuwa hivi. Futari/ futuru ndio chai. Hii tunakula 12-12:30 jioni. Kisha tunaendelea kula kula vitu vidogo vidogo kama matunda. Ndizi, papai nk. Saa 5 usiku watu wanakula tena mlo kamili. Hapo watakula ugali, au wali an hata ndizi na juice na maziwa. Huo ndio mchana. Ikifika saa 8 kwenda mpaka saa kumi ndio daku. Msosi wa jioni huo. Kwa hiyo kilichobadilija hapo ni muda wa kula. Majaribu ni kuvumilia kuona wangine wakila na kunywa wakati wa mchana.
 
Prove kwamba hayupo.
 
Mimi ni muislamu na sikubaliani na wanayofanya zanzibar ya kuzuia watu kuuza migahawa mchana wa ramadhani maana hakuna dalili yoyote kidini katika kwamba nabii muhammad (radhi za Allah ziwe juu yake) aliwahi kufanya hayo.

Huo ni ukimbukeni wa watu wachache tu maana funga ni ya kwaki wewe na Allah ( the almighty) na hata wakizuia watu kuuza kuna ambao wanajifungia na kula ndani.
 
Ni sawa kula mbele ya aliyefunga maana funga ni ya kwake yeye na Allah( subhanna huwataala) mbona mimi nikiwa na swaum nakaa na rafiki zangu na wengi huwa wanakula kawaida tu na wala sitamani wala nini maana nimefunga .
 
Hawa jamaa basi tu wanakaza fuvu lakini hawana dini kwa kweli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 

ACHA UPOTOSHAJI!!!
Naomba nikupe Elimu kuhusu jiwe jeusi kwa kifupi sana;
Alkaaba ilijengwa na Ibrahim na mwanae Ismail kwa maelekezo ya Mungu ili wanadamu wapate pa kuelekea wakati wanafanya Ibada. Jiwe alilotumia Ibrahim (kama ngazi) kusimama ili ajenge sehemu ya juu ya Alkaaba lipo hadi leo hapo pembeni ya alkaaba (kwa nje) na lina alama ya Unyayo wake (usiniulize aliwezaje kubonyeza jiwe kwa miguu yake)
Kuhusu jiwe jeusi; Baada ya Ibrahim kukamilisha ujenzi wa alkaaba, alisema aweke alama hata huko baadae kama alkaaba itajengwa upya watu wajue eneo halisi ilipo jengwa; Ili kuweka alama ndio akatafuta jiwe la tofauti na yaliyokuwepo eneo hilo akapata jiwe la tofauti akaliweka (ndilo watu huita jiwe jeusi)
Kwa maelezo hayo; hilo jiwe liliwekwa kama alama ya kuonesha alkaaba ilipojengwa na sio vinginevyo...

Kwa kifupi sana hayo ndio maelezo yake wala hakuna mtu anaye abudu jiwe jeusi; ni UPOTOSHAJI !!!
Usikubali kudanganywa na wasio na Elimu huko mtaani au wanaopotosha uislam kwa manufaa yao binafsi...
 
Hapa nilipo kila siku jua linazama mlimani.
Kama unabisha nakuwekia picha hapa.
Ivi Kwanini mnabishia mtume pedophile Muhammad

I was sitting behind the Messenger of Allah (ﷺ) who was riding a donkey while the sun was setting. He asked: Do you know where this sets ? I replied: Allah and his Apostle know best. He said: It sets in a spring of warm water (Hamiyah) Sunan Abi Dawud 4002
 
Embu kataa Aya maandiko ya wabusu jiwe

  • Sanamu jiwe unalolisujudi kila siku lisome kazi zake, kALIGUSE jiwe likusamehe dhambi 😂😂😂
  • Jiwe jeusi lina fyonza dhambiza waislamu
    • Ibn Abbas alisisitiza kwamba: Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu. Jami` at-Tirmidhi 877
  • Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho
    • Imesimuliwa kwamba Ibn 'Abbaas alisema: Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allaah, Allaah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Jami` at-Tirmidhi 961
  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919
 
Mleta uzi una busara sana, wote mngekua hivi humu jamvini kusingekua na misuguano ya kidini.
 
Aise karibu kwangu bro napenda wageni kipindi hiki.
Kuhusu kupotea vigoma ni kwamba technology imechukua mkondo wake watu wanatumia alarm zamani alarm hazikuwepo
 
sababu kubwa kisayansi kwanini watu wapendelea kula mihogo,viazi,magimbi na uji ni sababu vina starch kubwa hivyo ni kurudisha nguvu mwilini iliyopotea maana sukari ndio mafuta ya mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…