Dhana nzima ya Futari na Daku

Bwana Ertugrul Bey kifua chako kimejaa uungwana na ndimi zako zimejaa ulumi wenye kutoa miski na kauli zako ni pee mithili ya theluji idondokayo ikapendezesha kifua cha ardhi.
 
Tulia nikunyooshe wewe unajua utukufu wa jiwe
Mwanzo
Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Relax punguza kujieleza sana
Sijaisoma.
 
Mwanzo
Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usifanishe na jiwe linasamehe dhambi kuwa seriously

  • Sanamu jiwe unalolisujudi kila siku lisome kazi zake, kALIGUSE jiwe likusamehe dhambi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
  • Jiwe jeusi lina fyonza dhambiza waislamu
    • Ibn Abbas alisisitiza kwamba: Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu. Jami` at-Tirmidhi 877
  • Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho
    • Imesimuliwa kwamba Ibn 'Abbaas alisema: Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allaah, Allaah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Jami` at-Tirmidhi 961
  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919
 
Tulia kwanza ikuuingie vizuri

Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tulia kwanza ikuuingie vizuri

Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimekwambia kuwa makini

  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919
 
Mfano wako sio sahihi, kwa sababu unachanganya mambo ya dini na sayansi.
Pia napinga kuwa brainwash watoto katika dini wakiwa wadogo, waachwe wakuwe kama watoto wengine waamue wenyewe mambo ya dini wakiwa watu wazima.
 
Kwani wewe hujui kama ni tukufu
Mwanzo
Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naomba andiko linalosema mwezi mtukufu unaheshimiwa kwa watu kutokula ,kupika au kuuza chakula hadharani hata kwa wasiohusika hayo mengine umejibu vizuri.
 
Kwani wewe hujui kama ni tukufu
Mwanzo
Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anaesamehe dhambi ni Mungu
πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ Ila waislamu wanasamehewa na jiwe tena sio kusamehe tu linafuta kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919
 
Anaesamehe dhambi ni Mungu
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Ila waislamu wanasamehewa na jiwe tena sio kusamehe tu linafuta kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]



[/LIST]
Jichekeshe ukimaliza sasa utwambie yesu yupi alie waambia mufungulie saa 12

Alafu umesahau kama majivu ndio sadaka ya msamaha kwenu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sayansi haijawahi kufeli, sema kuna issue ambazo hazijapata ufumbuzi wa kisayansi. Bado haujafanyika utafiti wa kutosha kuhusu say cancer cause yake ni nini and how cancer system 'regulates" tself!
Panapokua na ugunduzi wa kisayansi hapo mnakua na sayansi,ikifeli hapo sayansi yenu inakua imefeli,na hili hutokea kila siku
 
Panapokua na ugunduzi wa kisayansi hapo mnakua na sayansi,ikifeli hapo sayansi yenu inakua imefeli,na hili hutokea kila siku
No, not at all. Even negative results are equally worthy of publication as are positive results. Aliyekwambia hivyo is thinking from IMANI YA DINI angle of the happening of things on earth!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…