Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Tunajidili namba tatu kivingine leo... Sio tatu kama tatu la hasha bali mara tatu.
Tuangalie kwanza jinsi uhai unavyotengenezwa;
Kiapo cha kwanza ni makutano
Kiapo cha pili ni kutungwa mimba
Kiapo cha tatu ni kujifungua mtoto..
Hapo tayari unakuwa umeshaumba roho ya kitu husika.
Waganga wa kienyeji wanapokutuma kufanya kitu... Hukwambia kafanye mara tatu. Wachawi wanapotaka kutengeneza maroho yao baada ya kumaliza kutengeneza matanguli yao hughani mara tatu..
Ukisikia maneno huumba ndio hii. Lakini ni vema kutenganisha uumbaji wa Mungu na huu wa binadamu... Yeye alitamka mara moja tu na ikawa... Hata hiki tunachoita uumbaji wa roho za mapepo kichawi nk.. Si uumbaji hasa bali ni kutengeneza tu jumba linalofit jumba fulani bila kujali kama ni physical ama invisible...
Na katika uumbaji wote wa hizi roho hakuna uumbaji mbaya kama wa viapo kwakuwa hivi mwili wake ni invisible. Je, wewe umejihusisha na viapo!? Mara ngapi? Vinahusiana na nini!? Umetengeneza maroho bila kujijua..
Sasa tunaviua vipi hivi viapo!? Ili roho yake isiwe na nguvu ya kuleta madhara tena!?
Hakuna njia nyingine zaidi ya kurudia mchakato uleule.
Mfano kama mtu alijiapiza kukulaani maybe mzazi.. Ukitafuta suluhu naye akakubali yaishe ni lazima umuulize mara tatu;
Ni kweli umenisamehe?
Kwa roho moja?
Moja kwa moja!?
Huu ni mfano tu lakini ni lazima utafute njia ya kumfanya arudie mara tatu.. Iko hivyo!
Tuangalie kwanza jinsi uhai unavyotengenezwa;
- Makutano ya jinsia mbili tofauti
- Kutungwa mimba
- Kuzaa
Kiapo cha kwanza ni makutano
Kiapo cha pili ni kutungwa mimba
Kiapo cha tatu ni kujifungua mtoto..
Hapo tayari unakuwa umeshaumba roho ya kitu husika.
Waganga wa kienyeji wanapokutuma kufanya kitu... Hukwambia kafanye mara tatu. Wachawi wanapotaka kutengeneza maroho yao baada ya kumaliza kutengeneza matanguli yao hughani mara tatu..
Ukisikia maneno huumba ndio hii. Lakini ni vema kutenganisha uumbaji wa Mungu na huu wa binadamu... Yeye alitamka mara moja tu na ikawa... Hata hiki tunachoita uumbaji wa roho za mapepo kichawi nk.. Si uumbaji hasa bali ni kutengeneza tu jumba linalofit jumba fulani bila kujali kama ni physical ama invisible...
Na katika uumbaji wote wa hizi roho hakuna uumbaji mbaya kama wa viapo kwakuwa hivi mwili wake ni invisible. Je, wewe umejihusisha na viapo!? Mara ngapi? Vinahusiana na nini!? Umetengeneza maroho bila kujijua..
Sasa tunaviua vipi hivi viapo!? Ili roho yake isiwe na nguvu ya kuleta madhara tena!?
Hakuna njia nyingine zaidi ya kurudia mchakato uleule.
Mfano kama mtu alijiapiza kukulaani maybe mzazi.. Ukitafuta suluhu naye akakubali yaishe ni lazima umuulize mara tatu;
Ni kweli umenisamehe?
Kwa roho moja?
Moja kwa moja!?
Huu ni mfano tu lakini ni lazima utafute njia ya kumfanya arudie mara tatu.. Iko hivyo!