Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #21
Hapana hiyo ni rivasi hakuna kitu kama hicho, yeye ni zao la hao wawili hivyo kiroho hana nguvu hiyo sasa kinachotea ni wao kuadhibiwa na Mungu ama uhalisia lakini ni lazima mtoto awe mnyenyekevuKwaiyo mtoto anaweza kumlaani baba yake au mama yake kama wamemkosea.