Dhana ya kurudia kitu mara tatu na uumbaji wa roho

Dhana ya kurudia kitu mara tatu na uumbaji wa roho

Kwaiyo mtoto anaweza kumlaani baba yake au mama yake kama wamemkosea.
Hapana hiyo ni rivasi hakuna kitu kama hicho, yeye ni zao la hao wawili hivyo kiroho hana nguvu hiyo sasa kinachotea ni wao kuadhibiwa na Mungu ama uhalisia lakini ni lazima mtoto awe mnyenyekevu
 
NAMBA 3 INA MAMBO MENGI SANA KAMA HIVI PIA.
  1. Wagonjwa wengi hupewa dawa yenye dozi ya kutwa mara tatu.
  2. Kila mtu anatakiwa kujitambulisha kwa majina matatu.
  3. Waamini fulani wanaamini kuwa Mungu ana nafsi tatu.
  4. Wakati wa mateso ya Yesu, alianguka mara tatu.
  5. Yesu alisulubiwa na watu wengine wawili na hiyo kufanya idadi ya waliosulubiwa kuwa ni watatu.
  6. Imani hii inaendelea kwamba alifufuka siku ya tatu ilivyoandikwa.
  7. Jiko imara lina mawe au maegemeo matatu; angalia hata jiko la mchina na la gesi.
  8. Kabla ya kuanza riadha inahesabiwa moja mpaka tatu.
  9. Katika mashindano wanaong'ara ni mshindi wa kwanza, wapili na watatu.
  10. Waamini wengine kabla ya ibada lazima wajisafishe mara tatu.
  11. Mambo makuu kwa kila kiumbe hai ni kula, kuvaa na kulala
  12. Binadamu huzaliwa ,kuoa au kuolewa na kufa
Ubatizo pia ni mara tatu...
 
NAMBA 3 INA MAMBO MENGI SANA KAMA HIVI PIA.
  1. Wagonjwa wengi hupewa dawa yenye dozi ya kutwa mara tatu.
  2. Kila mtu anatakiwa kujitambulisha kwa majina matatu.
  3. Waamini fulani wanaamini kuwa Mungu ana nafsi tatu.
  4. Wakati wa mateso ya Yesu, alianguka mara tatu.
  5. Yesu alisulubiwa na watu wengine wawili na hiyo kufanya idadi ya waliosulubiwa kuwa ni watatu.
  6. Imani hii inaendelea kwamba alifufuka siku ya tatu ilivyoandikwa.
  7. Jiko imara lina mawe au maegemeo matatu; angalia hata jiko la mchina na la gesi.
  8. Kabla ya kuanza riadha inahesabiwa moja mpaka tatu.
  9. Katika mashindano wanaong'ara ni mshindi wa kwanza, wapili na watatu.
  10. Waamini wengine kabla ya ibada lazima wajisafishe mara tatu.
  11. Mambo makuu kwa kila kiumbe hai ni kula, kuvaa na kulala
  12. Binadamu huzaliwa ,kuoa au kuolewa na kufa
Hapo kwenye 3, 4, 5 & 6 umesahau kuandika kua Hata kabla ya Kusulubiwa alikanwa mara tatu kabla jogoo halijawika
 
Yes laana hairudii mara 3kwakuwa yenyewe kiroho inajizidisha mara tatu lakini ni lazima anayekulaani awe na muunganiko nawe
Inajizidishaje mara 3?
Baba
Mama
Na wewe Mtoto
Kama ni mtu baki je? Uumbaji haudhihakiwi.. Hivyo kuna
Mungu katika utatu mtakatifu



Sijaelewa hapa je mtu kama girlfriend au rafiki ana uwezo wa kukulaani?
 
Sijaelewa hapa je mtu kama girlfriend au rafiki ana uwezo wa kukulaani?
Inategemea umemfanyia ubaya gani... Laana nyingine ni za ulimwengu.. Ukiutesa uumbaji na unayemtesa akaumia sana lakini akasamehe imekula kwako......
Hakuna kitu kibaya kama mtu kusema namwachia Mungu na akamaanisha
 
Inategemea umemfanyia ubaya gani... Laana nyingine ni za ulimwengu.. Ukiutesa uumbaji na unayemtesa akaumia sana lakini akasamehe imekula kwako......
Hakuna kitu kibaya kama mtu kusema namwachia Mungu na akamaanisha
Na vipi laana ya mke na mume kutendeana mabaya kinyume na viapo vyao vya ndoa?
 
Thibitisha km uko kawaida[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hali ya hewa inahamasisha [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1523791841327.jpg
 
Haina nguvu


Lakin wakristo tunaambiwa tusamehe saba mara sabini na tunaambiwa ile tu hali ya kujifeel upo guilty na ukaomba msamaha basi hata mbinguni unasamehewa...ss Mshana mm nkukosee nikiri kosa ukatae kusamehe kwa hyo mm nibaki slave kwako milele ilihali ni ww unaekataa msamaha
 
Back
Top Bottom