Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan kuna tufauti kati ya ndoto taarifa na ndoto maanoNdoto taarifa ama ndoto maono
Sawa mkuu naomba niwe mwanafunzi wak[emoji120] [emoji120] [emoji120]
@joely sandu. NakujichoSawa mkuu naomba niwe mwanafunzi wak
Kuna kitu kinanishinda katka kufanya meditation kichwa kinakuwa kinachemka mkuu nifanyje
Eeeh baba@joely sandu. Nakujicho
NAMBA 3 INA MAMBO MENGI SANA KAMA HIVI PIA.
- Wagonjwa wengi hupewa dawa yenye dozi ya kutwa mara tatu.
- Kila mtu anatakiwa kujitambulisha kwa majina matatu.
- Waamini fulani wanaamini kuwa Mungu ana nafsi tatu.
- Wakati wa mateso ya Yesu, alianguka mara tatu.
- Yesu alisulubiwa na watu wengine wawili na hiyo kufanya idadi ya waliosulubiwa kuwa ni watatu.
- Imani hii inaendelea kwamba alifufuka siku ya tatu ilivyoandikwa.
- Jiko imara lina mawe au maegemeo matatu; angalia hata jiko la mchina na la gesi.
- Kabla ya kuanza riadha inahesabiwa moja mpaka tatu.
- Katika mashindano wanaong'ara ni mshindi wa kwanza, wapili na watatu.
- Waamini wengine kabla ya ibada lazima wajisafishe mara tatu.
- Mambo makuu kwa kila kiumbe hai ni kula, kuvaa na kulala
- Binadamu huzaliwa ,kuoa au kuolewa na kufa
Nimejaribu kumfatilia [HASHTAG]#mshana j.r[/HASHTAG] nimegundua yeye ni hivyo vyote ulivyo taja ila bado naendelea na uchunguziHuwa nasoma nyuzi zako na kuzitafakari vyema sana,
Nataka nikuulize swali flani, Hivi we Mshana Jr :,
-mchawi
-mganga wa kienyeji
-muhenga
-jini
-mchungaji/shehe
-alien
-msukule
Ni hayo tu
Inategemea na kiasili chakokuzaliwa
kuishi
na kufa
ni mambo ya namba 3katika kuzaliwa ukixaliwa mwezi 3 or 6 kuna uhusiano wa namba hapo katika roho? na je ukifa kati ya miezi hiyo kuna uashira wowote utakuwa wa Allah au motoni?
Inategemea na kiasili chako
Mkuu Mshana huna group ya whatsap 😊[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yapo mawili lakini ni ya biashara Pwani Investment AgencyMkuu Mshana huna group ya whatsap [emoji4]