Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba hatari ya ulimwengu wa giza ni 6 na 13.
Wee CO wetu alikuwa mnoko sana sikuwahi kujongo mafunzo...hapa ni mwanzo mwisho! kesho jicho nyanya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] angalia usije tu kusinzia
Kama aishivyo Mwenyezi Mungu ndugu Mshana hakuna muda wa hatari na muda mzuri muhimu ni kujifunza tu kuhesabu siku zetu kwa maana ya kuwa na mahusiano mema na watu kwa maana tumefumbwa kujua dakika moja mbele yetu kitachotukia! Tunaambiwa katika maandiko matakatifu tujifunze kuhesabu siku zetu ili tupate moyo wa rehema!Hahahaaa ndio kunapambazuka sasa... Mida ya hatari imeshapita
Aaamen ila kuna wakati wa kupita BONDE la uvuli wa mauti kama mtunga Zaburi alivyosema..... Nijapopita kati ya BONDE la uvuli wa mauti... SITAOGOPA mabaya kwakuwa gongo lako na fimbo yako vyanifariji.....Kama aishivyo Mwenyezi Mungu ndugu Mshana hakuna muda wa hatari na muda mzuri muhimu ni kujifunza tu kuhesabu siku zetu kwa maana ya kuwa na mahusiano mema na watu kwa maana tumefumbwa kujua dakika moja mbele yetu kitachotukia! Tunaambiwa katika maandiko matakatifu tujifunze kuhesabu siku zetu ili tupate moyo wa rehema!
Biblical verses was just there...toka enzi, ila inventors walikuwa na maana tofauti na fasiri za kileo...sina hakika kama wewe nawe ni msomaji wa neno ila pitia Isaya 4: 1 kisha ukija uanzishe notion uone!Aaamen ila kuna wakati wa kupita BONDE la uvuli wa mauti kama mtunga Zaburi alivyosema..... Nijapopita kati ya BONDE la uvuli wa mauti... SITAOGOPA mabaya kwakuwa gongo lako na fimbo yako vyanifariji.....
From what I know ni kwamba Biblia ni neno linaloishi halizeeki na halina nyakati.... It is always there to stayBiblical verses was just there...toka enzi, ila inventors walikuwa na maana tofauti na fasiri za kileo...sina hakika kama wewe nawe ni msomaji wa neno ila pitia Isaya 4: 1 kisha ukija uanzishe notion uone!
Poti leo umemzungumzia Aliye Juu, barikiwa!From what I know ni kwamba Biblia ni neno linaloishi halizeeki na halina nyakati.... It is always there to stay
Tunajidili namba tatu kivingine leo... Sio tatu kama tatu la hasha bali mara tatu
Tuangalie kwanza jinsi uhai unavyotengenezwa
.Makutano ya jinsia mbili tofauti
. kutungwa mimba
. kuzaa
Mfano huu ndio unaotumika kwingine kote kutengeneza roho ama kuumba.....
Kwenye kiapo cha ndoa unaapa mara tatu, kiapo cha urais pia na viapo vingine mbalimbali....
Kiapo cha kwanza ni makutano
Kiapo cha pili ni kutungwa mimba
Kiapo cha tatu ni kujifungua mtoto...
Hapo tayari unakuwa umeshaumba roho ya kitu husika
Waganga wa kienyeji wanapokutuma kufanya kitu... Hukwambia kafanye mara tatu
Wachawi wanapotaka kutengeneza maroho yao baada ya kumaliza kutengeneza matanguli yao hughani mara tatu... Ukisikia maneno huumba ndio hii
Lakini ni vema kutenganisha uumbaji wa Mungu na huu wa binadamu... Yeye alitamka mara moja tu na ikawa... Hata hiki tunachoita uumbaji wa roho za mapepo kichawi nk.. Si uumbaji hasa bali ni kutengeneza tu jumba linalofit jumba fulani bila kujali kama ni physical ama invisible...
Na katika uumbaji wote wa hizi roho hakuna uumbaji mbaya kama wa viapo kwakuwa hivi mwili wake ni invisible
Je wewe umejihusisha na viapo!? Mara ngapi? Vinahusiana na nini!? Umetengeneza maroho bila kujijua
Sasa tunaviua vipi hivi viapo!? Ili roho yake isiwe na nguvu ya kuleta madhara tena!?
Hakuna njia nyingine zaidi ya kurudia mchakato uleule
Mfano kama mtu alijiapiza kukulaani maybe mzazi.. Ukitafuta suluhu naye akakubali yaishe ni lazima umuulize mara tatu
Ni kweli umenisamehe?
Kwa roho moja?
Moja kwa moja!?
Huu ni mfano tu lakini ni lazima utafute njia ya kumfanya arudie mara tatu.....
Iko hivyo
nategemea kwenye list ijayo ya watu hatari ya Cyprian Musiba atakuwemo[emoji23]Hahaha, Mshana jr ana nguvu sana kuliko tunavyofikiri.
Moja ni mvumilivu punde anapomwagiwa povu..huwa hajibu povu kwa povu, hii ni nguvu kubwa mno kuliko zote.
Pili anafahamu mambo mengi makubwa ya upande wa giza, sio kwa kusimuliwa bali ameshiriki.
Anaufahamu juu ya Mungu aliye hai pia.
Kwa ujumla ni mtu HATARI akiamua kutumia silaha hizo 3 nilizoorodhesha
Mshana Jr
Tusubirie mwezi mpevu lazima Musiba ataropoka tena[emoji23]nategemea kwenye list ijayo ya watu hatari ya Cyprian Musiba atakuwemo[emoji23]