Dhana ya kurudia kitu mara tatu na uumbaji wa roho

Dhana ya kurudia kitu mara tatu na uumbaji wa roho

Tatu ni namba kubwa sana ktk ulimwengu wa roho.Tatu humwakilisha Mungu.Waisrael waliongozwa na vitu vitatu ili wasipotee Musa,wingu na sanduku la agano.
Namba nyingine za Mungu ni 7,10,12,24 na 40.
Namba hatari ya ulimwengu wa giza ni 6 na 13.
Namba ni utimilifu wa jambo fulani.
 
Hahahaaa ndio kunapambazuka sasa... Mida ya hatari imeshapita
Kama aishivyo Mwenyezi Mungu ndugu Mshana hakuna muda wa hatari na muda mzuri muhimu ni kujifunza tu kuhesabu siku zetu kwa maana ya kuwa na mahusiano mema na watu kwa maana tumefumbwa kujua dakika moja mbele yetu kitachotukia! Tunaambiwa katika maandiko matakatifu tujifunze kuhesabu siku zetu ili tupate moyo wa rehema!
 
Kama aishivyo Mwenyezi Mungu ndugu Mshana hakuna muda wa hatari na muda mzuri muhimu ni kujifunza tu kuhesabu siku zetu kwa maana ya kuwa na mahusiano mema na watu kwa maana tumefumbwa kujua dakika moja mbele yetu kitachotukia! Tunaambiwa katika maandiko matakatifu tujifunze kuhesabu siku zetu ili tupate moyo wa rehema!
Aaamen ila kuna wakati wa kupita BONDE la uvuli wa mauti kama mtunga Zaburi alivyosema..... Nijapopita kati ya BONDE la uvuli wa mauti... SITAOGOPA mabaya kwakuwa gongo lako na fimbo yako vyanifariji.....
 
Aaamen ila kuna wakati wa kupita BONDE la uvuli wa mauti kama mtunga Zaburi alivyosema..... Nijapopita kati ya BONDE la uvuli wa mauti... SITAOGOPA mabaya kwakuwa gongo lako na fimbo yako vyanifariji.....
Biblical verses was just there...toka enzi, ila inventors walikuwa na maana tofauti na fasiri za kileo...sina hakika kama wewe nawe ni msomaji wa neno ila pitia Isaya 4: 1 kisha ukija uanzishe notion uone!
 
Biblical verses was just there...toka enzi, ila inventors walikuwa na maana tofauti na fasiri za kileo...sina hakika kama wewe nawe ni msomaji wa neno ila pitia Isaya 4: 1 kisha ukija uanzishe notion uone!
From what I know ni kwamba Biblia ni neno linaloishi halizeeki na halina nyakati.... It is always there to stay
 
Tunajidili namba tatu kivingine leo... Sio tatu kama tatu la hasha bali mara tatu
Tuangalie kwanza jinsi uhai unavyotengenezwa
.Makutano ya jinsia mbili tofauti
. kutungwa mimba
. kuzaa
Mfano huu ndio unaotumika kwingine kote kutengeneza roho ama kuumba.....
Kwenye kiapo cha ndoa unaapa mara tatu, kiapo cha urais pia na viapo vingine mbalimbali....
Kiapo cha kwanza ni makutano
Kiapo cha pili ni kutungwa mimba
Kiapo cha tatu ni kujifungua mtoto...
Hapo tayari unakuwa umeshaumba roho ya kitu husika
Waganga wa kienyeji wanapokutuma kufanya kitu... Hukwambia kafanye mara tatu
Wachawi wanapotaka kutengeneza maroho yao baada ya kumaliza kutengeneza matanguli yao hughani mara tatu... Ukisikia maneno huumba ndio hii
Lakini ni vema kutenganisha uumbaji wa Mungu na huu wa binadamu... Yeye alitamka mara moja tu na ikawa... Hata hiki tunachoita uumbaji wa roho za mapepo kichawi nk.. Si uumbaji hasa bali ni kutengeneza tu jumba linalofit jumba fulani bila kujali kama ni physical ama invisible...
Na katika uumbaji wote wa hizi roho hakuna uumbaji mbaya kama wa viapo kwakuwa hivi mwili wake ni invisible
Je wewe umejihusisha na viapo!? Mara ngapi? Vinahusiana na nini!? Umetengeneza maroho bila kujijua
Sasa tunaviua vipi hivi viapo!? Ili roho yake isiwe na nguvu ya kuleta madhara tena!?
Hakuna njia nyingine zaidi ya kurudia mchakato uleule
Mfano kama mtu alijiapiza kukulaani maybe mzazi.. Ukitafuta suluhu naye akakubali yaishe ni lazima umuulize mara tatu
Ni kweli umenisamehe?
Kwa roho moja?
Moja kwa moja!?
Huu ni mfano tu lakini ni lazima utafute njia ya kumfanya arudie mara tatu.....
Iko hivyo

Habari mkuu,

Nakubaliana na wewe mzee. Kimazoea kitatu-tatu ndo mmaanisho kwa wengi. Mungu wa kweli aliye mmoja tu ye hutamka mara moja na hua, habaatishi.

Najaribu changia. MARA 3. TIMES 3, X 3...hiyo tatu hiyo. Kwanini 3? wanajua! Dunia imejamaaa vitu na mambo ya kushangaza sana. Ukifuatilia kidogo tu utagundua namba zimeshikilia kila aina ya vitu na matukio yanayotokea leo. Namba zimejaaa usupernatural na usuperstitions ndani yake.

Kwanini Nikola tesla alilazimika kuizunguka nyumba mara 3 ndo aingie ndani? Akiingia nyumba ya kulala wageni basi ni lazima afikie chumba ambacho kinagawanyika kwa 3. Kwanini?

Kwanini goli 1 point 3?

Tesla na wenzake kibao wangekua watanzania wakazi wa Shinyanga au mbeya, wengeshachomwaga moto siku nyingi.

“If you knew the magnificence of the three, six and nine, you would have a key to the universe.”
– Nikola Tesla
 
Are witches born or made? n.b made naaamaanisha kurithishwa.
 
Hahaha, Mshana jr ana nguvu sana kuliko tunavyofikiri.
Moja ni mvumilivu punde anapomwagiwa povu..huwa hajibu povu kwa povu, hii ni nguvu kubwa mno kuliko zote.
Pili anafahamu mambo mengi makubwa ya upande wa giza, sio kwa kusimuliwa bali ameshiriki.
Anaufahamu juu ya Mungu aliye hai pia.

Kwa ujumla ni mtu HATARI akiamua kutumia silaha hizo 3 nilizoorodhesha
Mshana Jr
nategemea kwenye list ijayo ya watu hatari ya Cyprian Musiba atakuwemo[emoji23]
 
Back
Top Bottom