kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #61
Unahofu nini, sifa mojawapo ya kikosi kipana ni consistence katika kupata matoken come rain come sunKwa nini ionekane kwenye mechi ya AS Vita v Simba pekee na sio kwenye mechi na Simba v JS Soura ambapo pia Kapombe, Nyoni, hawakuhusika na pia Bocco hakumaliza mechi?