umeona eeh? Ccm hoja zao dhaifu sana. Ni kama mtu aliyevaa kaptula kichwani na kuacha utupu nje halafu anamcheka alovaa kaptula kiunoni. Hahaaa, pole Ritz.
CHADEMA ni jitahida za WAKRISTO kutaka kuhodhi madaraka yote nchini! Wamenufaika sana na CCM sasa wameanzisha upinzani pia! CCM na CDM ni baba mmoja mama mmmoja! Ona wanavyokubaliana katika kila issue DHIDI ya Waislamu Tanzania! Kama kuna muislamu CHADEMA ni MURTAD!
CHADEMA ni jitahida za WAKRISTO kutaka kuhodhi madaraka yote nchini! Wamenufaika sana na CCM sasa wameanzisha upinzani pia! CCM na CDM ni baba mmoja mama mmmoja! Ona wanavyokubaliana katika kila issue DHIDI ya Waislamu Tanzania! Kama kuna muislamu CHADEMA ni MURTAD!
Walikuja na yule mama wa Igunga aliyevuliwa kilemba, baadae wakakuta kumbe ni Mkatekista, Wakaumbuka. Mtaji mkubwa wa Magamba ni Ujinga na Umasikini wa Watanzania, kwa hiyo hawatakaa wayamalize matatizo haya.Mkuu mbona hilo linajulikana toka kitambo tu, hawana CD yoyote wanatapatapa tu
Marehemu Brown Ngwilupipi anatoka Mbeya sio Iringa, umenukuu wapi hii taarifa yako yote inaweza kuonekana ya uongo kama huzingatii kuondoa makosa madogodogo kama haya
Sasa hivi Nape ameanza na CD ya uchangishaji wa pesa tunapokuwa mikutanoni. Eti kwa nini wananchi wa hali ya chini wanachangishwa na CHADEMA mikutanoni. Hili nalo bado la kifala.Bob Nyanga Makani ni mmoja wa waasisi wa CHADEMA, ni Msukuma, Mwislamu kutoka Kutoka Shinyanga na katibu mkuu wa Kwanza wa CHADEMA.
Katibu mkuu ndiye mwenye siri zote Chama, ndiyo anakaa na mafaili yote, ni mwajiri wa wafanya kazi wa makao makuu nk.
Nimejifunza mambo yafuatayo.
Mosi, Kama waanzilishi wa CHADEMA wangekuwa na agenda udini wasingemchagua Bob Makani kwa sababu yeye ni Mwislamu. ( Binafsi nimejua dini yake wakati wa msiba)
Pili kama waasisi wa CHADEMA wangekuwa wanaagenda ya Ukanda wasingemchagua Bob Makani kwa sababu hatoki kanda ya kaskazini.
Tatu, Kama waasisi wangekuwa na agenda ya ukabila wasingemchagua Bob Makani kwa sababu si Mchaga.
Kitendo cha kumchagua Msukuma, Muislamu, kutoka kanda ya Shinyanga katibu mkuu na baadaye kuongezewa cheo na kuwa Mkiti ina maanisha kuwa alifanya kazi vizuri na alikuwa anakubalika na wajumbe wote bila kujali dini, ukanda wala ukabila.
Wale waliokuwa wanacheza CD ya udini, ukanda na ukabila dhidi ya CHADEMA sasa inabidi watafute CD nyingine ya kucheza dhidi CHADEMA vinginevyo hii ya Ukanda, . ukabila na udini sasa zimechuja. Haiuziki tena.
Ni mawazo yangu tu.
Makamu wawili wa m/kiti wa cdm, naibu katibu mkuu wa cdm yaani akina Said Arfi, Zitto, na makamu m/kiti Z'bar wote ni viongozi wa ngazi ya juu kabisa ya cdm na ni waislam! Prof. Abdalah Safari ni mwislam safi. Au mwislam hadi awe sheikh au imam? Peleka ujinga wako huko!
Hoja dhaifu sana wangemchagua vipi wakati yeye ndio muasisi wa Chadema kajipange upya mkuu.
CHADEMA ni jitahida za WAKRISTO kutaka kuhodhi madaraka yote nchini! Wamenufaika sana na CCM sasa wameanzisha upinzani pia! CCM na CDM ni baba mmoja mama mmmoja! Ona wanavyokubaliana katika kila issue DHIDI ya Waislamu Tanzania! Kama kuna muislamu CHADEMA ni MURTAD!
Hoja dhaifu sana wangemchagua vipi wakati yeye ndio muasisi wa Chadema kajipange upya mkuu.
Sasa hivi Nape ameanza na CD ya uchangishaji wa pesa tunapokuwa mikutanoni. Eti kwa nini wananchi wa hali ya chini wanachangishwa na CHADEMA mikutanoni. Hili nalo bado la kifala.
Ni kweli mkuu Chadema hawakupenda kupoteza muda mrefu kwaajili ya kubishana na kitu kilicho wazi wamesubiri CCM yote ipo pale wakasema badala ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari hata huku jamvini imeisha nguvu kabisa anayeishabikia ni kichaa zombi tuuNilichojifunza kumbe CDM wanapokuwa na majibu wanahifadhi huku wakisubiri muda muafaka, mimi nadhani wameyatoa muda mufaka maana chama tayari kimekubalika na sasa ndiyo wanafanya kwa vitendo kukanusha ukanda udini na ukabila.Hongera kamanda Mbowe kwa kuweka hadharani orodha fupi lakini ya watu makini.Hongera Mukama wa ccm kwa kukurupuka na NITOKE VIPI YAKO ya upotoshaji
Ni kweli mkuu Chadema hawakupenda kupoteza muda mrefu kwaajili ya kubishana na kitu kilicho wazi wamesubiri CCM yote ipo pale wakasema badala ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari hata huku jamvini imeisha nguvu kabisa anayeishabikia ni kichaa zombi tuu
Nadhani ccm inadhani bado ipo na watu wa kale wa kudanganywa pengine kwa sababu wengi walikuwa hawana elimu walidanganyika kwa urahisi ila kwa sasa wanaitaji wafanye kazi kweli kweli sio kuja na hoja nyepesi nyepesi kama ukabila, udini n.k wakadhani watu awaoni au awafuatilii mambo kwa ukaribi. Na kwanini kabla ya cdm ijawatishio kwao walikuwa awaongei hayo? Wajuwe kwanza cdm ndio chama chenye wasomi wengi zaidi. Wabishe................
Utapiamlo wa akili mbaya sana yaani ukiwa na hasira kila mtu ni adui yako!. Ndugu yangu huridhiki na lolote!! Hata JMK kuwa Rais wako! na mwenyekiti wa CCM unahisi anaendesha mfumo Kristo! Hata Shein anayeongoza Zanzibar anaongozwa na mfumo Kristo! Hata Makamu wa Rais anaongozwa na mfumo Kristo.CHADEMA ni jitahida za WAKRISTO kutaka kuhodhi madaraka yote nchini! Wamenufaika sana na CCM sasa wameanzisha upinzani pia! CCM na CDM ni baba mmoja mama mmmoja! Ona wanavyokubaliana katika kila issue DHIDI ya Waislamu Tanzania! Kama kuna muislamu CHADEMA ni MURTAD!