Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

umeona eeh? Ccm hoja zao dhaifu sana. Ni kama mtu aliyevaa kaptula kichwani na kuacha utupu nje halafu anamcheka alovaa kaptula kiunoni. Hahaaa, pole Ritz.

Hoja ya chadema ni ipi zaidi ya kurukia hoja za CCM?
 
Mnajidanganya,hapo hakuna ukweli wowote mnaanzisha mada kupotosha umma,mnapewa semina kuingia kwenye mitandao ya jamii kuficha maovu ya chama chenu CDM,mtoa maada tunaomba mtupe safu ya uongozi wote wa Chadema pale makao makuu ,taja majina yao,makabila yao na dini zao alafu pia tunaomba mtuambia hiyo safu ya uongozi wa CDM imepatikanaje je zilipigwa kura na wakina nani wakati gani au walijiteua? Na kwa nini chadema haitaki kufanya uchaguzi wa uongozi wake wa juu kuanzia mwenyekiti wao mnateuana tu? Mtupe majibu hayo vinginevyo ata mjitete vipi kwa semina zenu za uchochoroni hatuwaelewi ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu!
 

Wewe hutufai kabisa humu jamvini,
story zako za kwenye gahawa unatuletea JF,
hebu potea na udini wako hapa.
 

Makamu wawili wa m/kiti wa cdm, naibu katibu mkuu wa cdm yaani akina Said Arfi, Zitto, na makamu m/kiti Z'bar wote ni viongozi wa ngazi ya juu kabisa ya cdm na ni waislam! Prof. Abdalah Safari ni mwislam safi. Au mwislam hadi awe sheikh au imam? Peleka ujinga wako huko!
 
Mkuu mbona hilo linajulikana toka kitambo tu, hawana CD yoyote wanatapatapa tu
Walikuja na yule mama wa Igunga aliyevuliwa kilemba, baadae wakakuta kumbe ni Mkatekista, Wakaumbuka. Mtaji mkubwa wa Magamba ni Ujinga na Umasikini wa Watanzania, kwa hiyo hawatakaa wayamalize matatizo haya.
 
Marehemu Brown Ngwilupipi anatoka Mbeya sio Iringa, umenukuu wapi hii taarifa yako yote inaweza kuonekana ya uongo kama huzingatii kuondoa makosa madogodogo kama haya

Habari za utokako mama,ulipotea sana tangu tulivyoasisi M4c sijakuona kabisa jamvini.
 
Sasa hivi Nape ameanza na CD ya uchangishaji wa pesa tunapokuwa mikutanoni. Eti kwa nini wananchi wa hali ya chini wanachangishwa na CHADEMA mikutanoni. Hili nalo bado la kifala.
 

Mjinga wewe unaelishwa sumu kwenye semina zenu uchochoroji kwa ajili ya kuingia kwenye mitandao ya jamii kwa ajili ya kuwadanganya watanzania na kuficha maovu na upuuzi uliomo Chadema!
 
Hoja dhaifu sana wangemchagua vipi wakati yeye ndio muasisi wa Chadema kajipange upya mkuu.

Viongozi wa kwanza baada ya chama kuasisiwa. Hapo utagundua CHADEMA hakuna udini, ukabila wala ukanda. wacha wenge weweeeeee!!!!!!

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TH="class: text1 style5, width: 20"]1.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2, width: 234"]Ndg. Edwin Isaac Mbiliewi Mtei[/TD]
[TD="class: subHead1, width: 220"]Mwenyekiti - Arusha[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text1 style5"]2.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Ali Suleiman Ahmed[/TD]
[TD="class: subHead1"]Makamu mwenyekiti (visiwani) - zanziba[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text1 style5"]3.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Brown Ngwilulupi[/TD]
[TD="class: subHead1"]Makamu Mwenyekiti (bara)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text1 style5"]4.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Bob Nyanga Makani[/TD]
[TD="class: subHead1"]Katibu Mkuu - Shinyanga[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text1 style5"]5.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Mustafa. S. Simba[/TD]
[TD="class: subHead1"]Naibu Katibu Mkuu (visiwani) - Pwani[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text1 style5"]6.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Eric Rashid Mchatta[/TD]
[TD="class: subHead1"]Naibu Katibu Mkuu (bara) - Mara[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text1 style5"]7.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Eric Rashid Mchatta[/TD]
[TD="class: subHead1"]Katibu Mwenezi

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 

hebu angalia vizuri hapo
[TABLE="width: 578"]
[TR]
[TD="width: 578, bgcolor: fbfbfd"]
Viongozi wa Kitaifa

[TABLE="width: 460"]
[/TABLE]

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]
Mwenyekiti
Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe (51)
Kutoka Hai, Kilimanjaro
freeman@chadema.or.tz
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 550"]
[TR]
[TD]
Makamu Mwenyekiti Bara
Mhe. Said Amour Arfi (57)
Kutoka Mpanda, Rukwa
[/TD]
[TD="width: 15%"]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
Mhe. Said Issa Mohammed (37)
Kutoka Pemba

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 550"]
[TR]
[TD]
Katibu Mkuu
Mhe. Willibrod Peter Slaa (63)
Kutoka Karatu, Arusha
[/TD]
[TD="width: 15%"]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]
Naibu Katibu Mkuu - Bara
Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (36)
Kutoka Mwandiga, Kigoma Kaskazini
zitto@chadema.or.tz
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 550"]
[TR]
[TD]
Naibu Katibu Mkuu - Zanzibar
Mhe. Hamad Mussa Yussuf (34)
Kutoka Kaskazini Pemba
[/TD]
[TD="width: 15%"]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Hawana cd nyingine tena ya kurusha, waangalie plan b kama kawaida yao.
 
Nadhani ccm inadhani bado ipo na watu wa kale wa kudanganywa pengine kwa sababu wengi walikuwa hawana elimu walidanganyika kwa urahisi ila kwa sasa wanaitaji wafanye kazi kweli kweli sio kuja na hoja nyepesi nyepesi kama ukabila, udini n.k wakadhani watu awaoni au awafuatilii mambo kwa ukaribi. Na kwanini kabla ya cdm ijawatishio kwao walikuwa awaongei hayo? Wajuwe kwanza cdm ndio chama chenye wasomi wengi zaidi. Wabishe................
 
Hoja dhaifu sana wangemchagua vipi wakati yeye ndio muasisi wa Chadema kajipange upya mkuu.

Ni lini alikiuza chama kwa wachaga, Hivi kabla hamjaanza propaganda zenu za UDINI mlifanya baseline survey kujua CDM ina wanachama wangapi na sasa mmefnya reserach kujua ina wangapi ili kuases impact mkuu?
 
Sasa hivi Nape ameanza na CD ya uchangishaji wa pesa tunapokuwa mikutanoni. Eti kwa nini wananchi wa hali ya chini wanachangishwa na CHADEMA mikutanoni. Hili nalo bado la kifala.

Hatushangahi wanachama wa chadema na viongozi wenu kuwa na lugha chafu,matusi,jazba ,kutokuwa na busara na hekima ndiyo jadi yenu tunamshukuru mungu watanzania wanawaelewa ndiyo maana hawawapi madaraka ya kushika nchi!
 
Ni kweli mkuu Chadema hawakupenda kupoteza muda mrefu kwaajili ya kubishana na kitu kilicho wazi wamesubiri CCM yote ipo pale wakasema badala ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari hata huku jamvini imeisha nguvu kabisa anayeishabikia ni kichaa zombi tuu
 
Udini ni pango la wanasiasa muflisi ambalo hutumia kujinufaisha!
 

Ni timing ya aina yake.Japo ni katika tukio lisilotarajiwa la kufiwa na mpendwa wetu
 

Acha uongo gwanda wewe,tupe data tujiridhishe kwa sababu maprofesa na madokta lukuki wamejaa CCM,mfano angalia safu za mawaziri hapo hujaangalia wanachama wake! Kwa huo ndiyo uongo mnaofundishwa kwenye semina zenu kwa ajili ya kupotosha umma wa watanzania uzuri wake watanzania wanawajua vizuri mnatwanga maji kwenye kinu!
 
Utapiamlo wa akili mbaya sana yaani ukiwa na hasira kila mtu ni adui yako!. Ndugu yangu huridhiki na lolote!! Hata JMK kuwa Rais wako! na mwenyekiti wa CCM unahisi anaendesha mfumo Kristo! Hata Shein anayeongoza Zanzibar anaongozwa na mfumo Kristo! Hata Makamu wa Rais anaongozwa na mfumo Kristo.
Sawa mfumo ni tofauti na watu lakini watu ndio hutengeneza mifumo. Unataka nini sasa wewe ndugu sema! Tuwaue wakristo wote ili waislamu wapate huduma zote muhimu hasa baada kujua idadi yao?
Tufanye jitahada za makusudi kuhakikisha waislamu wengi wanasoma na wakristo hawasomi ili kubalance!!
Tubadilishe Hadidu za rejea za Ajira ili kuhakikisha sifa moja wapo "DINI GANI?"!!
Inaudhi sana kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…