Maprofesa na madokta wachumia tumbo!! wamejaa CC MagambaAcha uongo gwanda wewe,tupe data tujiridhishe kwa sababu maprofesa na madokta lukuki wamejaa CCM,mfano angalia safu za mawaziri hapo hujaangalia wanachama wake! Kwa huo ndiyo uongo mnaofundishwa kwenye semina zenu kwa ajili ya kupotosha umma wa watanzania uzuri wake watanzania wanawajua vizuri mnatwanga maji kwenye kinu!
Hawataelewa ndugu wana utapiamlo wa akili!!hebu angalia vizuri hapo
[TABLE="width: 578"]
[TR]
[TD="width: 578, bgcolor: fbfbfd"]Viongozi wa Kitaifa
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Mwenyekitifreeman@chadema.or.tz[/TD]
Mhe. Freeman Aikaeli Mbowe (51)
Kutoka Hai, Kilimanjaro
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 550"]
[TR]
[TD]Makamu Mwenyekiti Bara[/TD]
Mhe. Said Amour Arfi (57)
Kutoka Mpanda, Rukwa
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Makamu Mwenyekiti Zanzibar[/TD]
Mhe. Said Issa Mohammed (37)
Kutoka Pemba
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 550"]
[TR]
[TD]Katibu Mkuu[/TD]
Mhe. Willibrod Peter Slaa (63)
Kutoka Karatu, Arusha
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Naibu Katibu Mkuu - Barazitto@chadema.or.tz[/TD]
Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (36)
Kutoka Mwandiga, Kigoma Kaskazini
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 550"]
[TR]
[TD]Naibu Katibu Mkuu - Zanzibar[/TD]
Mhe. Hamad Mussa Yussuf (34)
Kutoka Kaskazini Pemba
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Maprofesa na madokta wachumia tumbo!! wamejaa CC Magamba
Hawataelewa ndugu wana utapiamlo wa akili!!
Hoja dhaifu sana wangemchagua vipi wakati yeye ndio muasisi wa Chadema kajipange upya mkuu.
Tunataka mtupe safu ya uongozi pale makao makuu kuanzia mwenyekiti mpaka wafanyakazi wa kawaida wa chama pale makao makuu tunataka jina lake,kabila lake,elimu yale ,dini yake na mkoa anaotoka , lini alipigiwa kura au kama aliteuliwa aliteuliwaje? Vinginevyo mnatwanga maji kwenye kinu! Mkificha au kushindwa kujibu hoja , Tunamuomba TUMTEMEKE kokote aliko atusaidie kutupa ukweli katika hili!
Hatushangahi matusi,kutokuwa na busara na hekima ndiyo jadi yenu,jazba,udini,ukabila,undugu ndiyo maana viti maalum vya chadema vimejaa ndugu na jamaa zao , siasa chafu na uropokaji ndiyo kawaida yenu Chadema,watanzania wamewajua kamwe hawawapi madaraka labda muutoe Mzee Mtei kafala!
bob nyanga makani ni mmoja wa waasisi wa chadema, ni msukuma, mwislamu kutoka kutoka shinyanga na katibu mkuu wa kwanza wa chadema.
katibu mkuu ndiye mwenye siri zote chama, ndiyo anakaa na mafaili yote, ni mwajiri wa wafanya kazi wa makao makuu nk.
nimejifunza mambo yafuatayo.
mosi, kama waanzilishi wa chadema wangekuwa na agenda udini wasingemchagua bob makani kwa sababu yeye ni mwislamu. ( binafsi nimejua dini yake wakati wa msiba)
pili kama waasisi wa chadema wangekuwa wanaagenda ya ukanda wasingemchagua bob makani kwa sababu hatoki kanda ya kaskazini.
tatu, kama waasisi wangekuwa na agenda ya ukabila wasingemchagua bob makani kwa sababu si mchaga.
kitendo cha kumchagua msukuma, muislamu, kutoka kanda ya shinyanga katibu mkuu na baadaye kuongezewa cheo na kuwa mkiti ina maanisha kuwa alifanya kazi vizuri na alikuwa anakubalika na wajumbe wote bila kujali dini, ukanda wala ukabila.
wale waliokuwa wanacheza cd ya udini, ukanda na ukabila dhidi ya chadema sasa inabidi watafute cd nyingine ya kucheza dhidi chadema vinginevyo hii ya ukanda, . Ukabila na udini sasa zimechuja. Haiuziki tena.
ni mawazo yangu tu.
CHADEMA ni jitahida za WAKRISTO kutaka kuhodhi madaraka yote nchini! Wamenufaika sana na CCM sasa wameanzisha upinzani pia! CCM na CDM ni baba mmoja mama mmmoja! Ona wanavyokubaliana katika kila issue DHIDI ya Waislamu Tanzania! Kama kuna muislamu CHADEMA ni MURTAD!
Bob Nyanga Makani ni mmoja wa waasisi wa CHADEMA, ni Msukuma, Mwislamu kutoka Kutoka Shinyanga na katibu mkuu wa Kwanza wa CHADEMA.
Katibu mkuu ndiye mwenye siri zote Chama, ndiyo anakaa na mafaili yote, ni mwajiri wa wafanya kazi wa makao makuu nk.
Nimejifunza mambo yafuatayo.
Mosi, Kama waanzilishi wa CHADEMA wangekuwa na agenda udini wasingemchagua Bob Makani kwa sababu yeye ni Mwislamu. ( Binafsi nimejua dini yake wakati wa msiba)
Pili kama waasisi wa CHADEMA wangekuwa wanaagenda ya Ukanda wasingemchagua Bob Makani kwa sababu hatoki kanda ya kaskazini.
Tatu, Kama waasisi wangekuwa na agenda ya ukabila wasingemchagua Bob Makani kwa sababu si Mchaga.
Kitendo cha kumchagua Msukuma, Muislamu, kutoka kanda ya Shinyanga katibu mkuu na baadaye kuongezewa cheo na kuwa Mkiti ina maanisha kuwa alifanya kazi vizuri na alikuwa anakubalika na wajumbe wote bila kujali dini, ukanda wala ukabila.
Wale waliokuwa wanacheza CD ya udini, ukanda na ukabila dhidi ya CHADEMA sasa inabidi watafute CD nyingine ya kucheza dhidi CHADEMA vinginevyo hii ya Ukanda, . ukabila na udini sasa zimechuja. Haiuziki tena.
Ni mawazo yangu tu.
Bob Nyanga Makani ni mmoja wa waasisi wa CHADEMA, ni Msukuma, Mwislamu kutoka Kutoka Shinyanga na katibu mkuu wa Kwanza wa CHADEMA.
Katibu mkuu ndiye mwenye siri zote Chama, ndiyo anakaa na mafaili yote, ni mwajiri wa wafanya kazi wa makao makuu nk.
Nimejifunza mambo yafuatayo.
Mosi, Kama waanzilishi wa CHADEMA wangekuwa na agenda udini wasingemchagua Bob Makani kwa sababu yeye ni Mwislamu. ( Binafsi nimejua dini yake wakati wa msiba)
Pili kama waasisi wa CHADEMA wangekuwa wanaagenda ya Ukanda wasingemchagua Bob Makani kwa sababu hatoki kanda ya kaskazini.
Tatu, Kama waasisi wangekuwa na agenda ya ukabila wasingemchagua Bob Makani kwa sababu si Mchaga.
Kitendo cha kumchagua Msukuma, Muislamu, kutoka kanda ya Shinyanga katibu mkuu na baadaye kuongezewa cheo na kuwa Mkiti ina maanisha kuwa alifanya kazi vizuri na alikuwa anakubalika na wajumbe wote bila kujali dini, ukanda wala ukabila.
Wale waliokuwa wanacheza CD ya udini, ukanda na ukabila dhidi ya CHADEMA sasa inabidi watafute CD nyingine ya kucheza dhidi CHADEMA vinginevyo hii ya Ukanda, . ukabila na udini sasa zimechuja. Haiuziki tena.
Ni mawazo yangu tu.
CHADEMA ni jitahida za WAKRISTO kutaka kuhodhi madaraka yote nchini! Wamenufaika sana na CCM sasa wameanzisha upinzani pia! CCM na CDM ni baba mmoja mama mmmoja! Ona wanavyokubaliana katika kila issue DHIDI ya Waislamu Tanzania! Kama kuna muislamu CHADEMA ni MURTAD!
..CHADEMA ni jitahida za WAKRISTO kutaka kuhodhi madaraka yote nchini! Wamenufaika sana na CCM sasa wameanzisha upinzani pia! CCM na CDM ni baba mmoja mama mmmoja! Ona wanavyokubaliana katika kila issue DHIDI ya Waislamu Tanzania! Kama kuna muislamu CHADEMA ni MURTAD!
CHADEMA ni jitahida za WAKRISTO kutaka kuhodhi madaraka yote nchini! Wamenufaika sana na CCM sasa wameanzisha upinzani pia! CCM na CDM ni baba mmoja mama mmmoja! Ona wanavyokubaliana katika kila issue DHIDI ya Waislamu Tanzania! Kama kuna muislamu CHADEMA ni MURTAD!
..kukanusha ukabila na udini uliopo chadema lazima uwe kichaa! suala la udini na ukabila liko wazi kabisa!
Bob Nyanga Makani ni mmoja wa waasisi wa CHADEMA, ni Msukuma, Mwislamu kutoka Kutoka Shinyanga na katibu mkuu wa Kwanza wa CHADEMA.
Katibu mkuu ndiye mwenye siri zote Chama, ndiyo anakaa na mafaili yote, ni mwajiri wa wafanya kazi wa makao makuu nk.
Nimejifunza mambo yafuatayo.
Mosi, Kama waanzilishi wa CHADEMA wangekuwa na agenda udini wasingemchagua Bob Makani kwa sababu yeye ni Mwislamu. ( Binafsi nimejua dini yake wakati wa msiba)
Pili kama waasisi wa CHADEMA wangekuwa wanaagenda ya Ukanda wasingemchagua Bob Makani kwa sababu hatoki kanda ya kaskazini.
Tatu, Kama waasisi wangekuwa na agenda ya ukabila wasingemchagua Bob Makani kwa sababu si Mchaga.
Kitendo cha kumchagua Msukuma, Muislamu, kutoka kanda ya Shinyanga katibu mkuu na baadaye kuongezewa cheo na kuwa Mkiti ina maanisha kuwa alifanya kazi vizuri na alikuwa anakubalika na wajumbe wote bila kujali dini, ukanda wala ukabila.
Wale waliokuwa wanacheza CD ya udini, ukanda na ukabila dhidi ya CHADEMA sasa inabidi watafute CD nyingine ya kucheza dhidi CHADEMA vinginevyo hii ya Ukanda, . ukabila na udini sasa zimechuja. Haiuziki tena.
Ni mawazo yangu tu.
Hawana cd nyingine tena ya kurusha, waangalie plan b kama kawaida yao.