Dhana ya utaifa imefeli Afrika, nchi nyingi zigawanywe upya kuwa kingdoms za kikabila, viongozi wapo loyal zaidi kwa makabila yao kuzidi utaifa

Tanzania tuna makabila zaidi ya 100

Unataka tuwe na nchi 100?

Bora mze wako angevaa ndom tu
Mkuu huu ni mjadala tunachangia point tuu. Hatafutwi mshindi hapa. So no need of using harsh and, or uncivilized words or language.
It's just a debate. Chill out.
 
umegonga kwenye mshono,....ubaguzi ni UPUMBAVU wa hali ya juu sana alionao mwanadamu,....
 
Reactions: Tsh
wachaga, wanyaki na wahaya hii tabia bado wanayo......
na sasa naona huyu chifu ameanza kuwapendelea mchamba wima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…