Dhana ya watu wanaofunga GPS tracker kwenye magari kuhusika na wizi wa magari. Je, ni kweli au si kweli?

Dhana ya watu wanaofunga GPS tracker kwenye magari kuhusika na wizi wa magari. Je, ni kweli au si kweli?

Watu wengi huaminishana kwamba eti kwa sababu mtu fulani alikufungia GPS tracker kwenye gari basi mtu huyo anao uwezo wa kujua gari lako lipo wapi na hivyo anaweza kuja kuliiba. Kiukweli mimi nipo against na hii dhana. Naichukulia kama dhana ya mtu aisiyejua jinsi gos tracker zinavyofanya kazi.

Labda tu niseme kitu kimoja, GPS tracker nyingi ninazozifahamu zinatumia laini ya simu.

Na ili mtu aweze kupata location ya gari kuna namna mbili tu

1. Kwa kutumia message commands.

Hii ni njia ambayo unaitumia message laini ya simu ambayo ipo ndani ya GPS tracker na yenyewe inakujibu kulingana na ulichoiuliza.

Ukitumia njia hii ni lazima uset admin/binding number yaani namba ambayo itakuwa inawasiliana na hiyo GPS na kwa maana hiyo ukituma message kwa namba nyingine haitorespond unless uset tena hiyo namba mpya kuwa admin number.

2. Kwa kutumia application za simu.

Njia hii unakuwa na username na password ambazo utazitumia kulog in kwenye tracking app ambayo unakuwa uneinstall kwenye simu yako.

Kiukweli kwa kutumia njia zote mbili ili mtu mwingine yoyote tofauti na wewe aweze kujua location ya gari lako lazima either awe na namba ya simu iliyopo kwenye tracker au awe na username na password unazozitumia wewe kuingia kwenye app.

Pia ni wewe pekee ndio una mandate ya kumpa hizo taarifa au kutompa. Sasa katika mazingira hayo mtu anayekufungia gps tracker anawezaje kujua location ya gari lako? Unless wewe mwenyewe mwenye gari uliamua kumpa hizo taarifa.

Pia kuna exception moja tu, kuna watu akitaka kuuza gari anachonga funguo ya akiba halafu anafunga tracker. Huyu inaweza kuwa ni ngumu kumkwepa kwa kiasi fulani.


USHAURI

Taarifa za laini ya simu yako na username na password ni vizuri ukazikeep private.

Pia siku hizi wizi wa magari umegawanyika makundi mawili, wizi wa gari lenyewe au wizi wa spea za gari.

Kwa wizi wa gari funga GPS tracker moja au zaidi. Lakini kuna option ya pili ambazo iko more advanced hiyo sitaizungumza hapa sababu ni project yangu ya siku za mbeleni.

Kwa wizi wa vifaa vya magari, zipo GPS tracker chip ambazo ni ndogo sana kwa umbo kana kwamba inaweza kufungwa ndani ya Radio, Sidemirrors, Head lights, Tail lights, dashboad, control box n.k. ni ndogo na zinakuwa na Built in battery.



MWISHO

Ninayo GPS tracker moja niliinunua kama sample tu, soma maelezo yake kama uko interested nipigie simu 0621 221 606


1. Fuel Cut off (kukata mafuta hivyo gari kuzima kabla halijafika mbali, ukizima gari haitowaka tena mpaka utakaporestore fuel)

2. Location (inaonesha location kwa accuracy ya juu sana)

3. Geofence (Unaweza kuset gari lako litumike tu ndani ya eneo fulani mfano labda ndani ya Dar, kama mtu akitoka nalo nje ya dar inapiga alarm kwenye simu yako.

4. Unaweza kuset Overspeeding alarm kama mtu anaendesha kwa speed kubwa kuliko uliyoset itapiga alarm.

5. Kuna Shock alarm in case kama mtu amelibamiza gari lako itapiga hiyo alarm

6. Unaweza kuona Routes zote ambazo gari yako imepita kwa siku 180 zilizopita.

7. Ina Built in battery hivyo hata ukizima gari bado inaendelea kuwa active kwa siku kadhaa.

8. Kimuonekano ni ngumu kuitambua kama ni GPS.

9. Utahitaji laini ya simu ili uweze kuitumia.

10. Haina malipo ya kila mwezi.


If interested nipigie 0622 221 606.



Kitu cha mwisho kabisa ambacho nilisahau kukiandika ni kwamba kuiba gari ni kitu rahisi sana.

Steering lock inaweza kuvunjwa kilaini tu pia gari inaweza kuwaka bila funguo.

Kwa gari zenye immobilizer mtu anaweza kuja na funguo kadhaa ambazo zipo blank na akaziprogram (ni kazi isiyozidi dakika 15 tu) mwisho akawasha gari na kuondoka nalo.

Anadisable existing keys na kuprogram new key.
Hapo kwenye application vipi kwa mtu ambae anaweza kusoma na kuona kila kitu kwenye simu yako kwa njia za kidukuzi(hacking).
 
Hapo kwenye application vipi kwa mtu ambae anaweza kusoma na kuona kila kitu kwenye simu yako kwa njia za kidukuzi(hacking).

Mtu mwenye level hiyo ya hacking hawezi kufanya kazi kama hiyo. Ya wizi wa magari.

Usije ukawaiclude hawa wanaohaki messages na calls. Siwazungumzii hawa.
 
Watu wengi huaminishana kwamba eti kwa sababu mtu fulani alikufungia GPS tracker kwenye gari basi mtu huyo anao uwezo wa kujua gari lako lipo wapi na hivyo anaweza kuja kuliiba. Kiukweli mimi nipo against na hii dhana. Naichukulia kama dhana ya mtu aisiyejua jinsi gos tracker zinavyofanya kazi.

Labda tu niseme kitu kimoja, GPS tracker nyingi ninazozifahamu zinatumia laini ya simu.

Na ili mtu aweze kupata location ya gari kuna namna mbili tu

1. Kwa kutumia message commands.

Hii ni njia ambayo unaitumia message laini ya simu ambayo ipo ndani ya GPS tracker na yenyewe inakujibu kulingana na ulichoiuliza.

Ukitumia njia hii ni lazima uset admin/binding number yaani namba ambayo itakuwa inawasiliana na hiyo GPS na kwa maana hiyo ukituma message kwa namba nyingine haitorespond unless uset tena hiyo namba mpya kuwa admin number.

2. Kwa kutumia application za simu.

Njia hii unakuwa na username na password ambazo utazitumia kulog in kwenye tracking app ambayo unakuwa uneinstall kwenye simu yako.

Kiukweli kwa kutumia njia zote mbili ili mtu mwingine yoyote tofauti na wewe aweze kujua location ya gari lako lazima either awe na namba ya simu iliyopo kwenye tracker au awe na username na password unazozitumia wewe kuingia kwenye app.

Pia ni wewe pekee ndio una mandate ya kumpa hizo taarifa au kutompa. Sasa katika mazingira hayo mtu anayekufungia gps tracker anawezaje kujua location ya gari lako? Unless wewe mwenyewe mwenye gari uliamua kumpa hizo taarifa.

Pia kuna exception moja tu, kuna watu akitaka kuuza gari anachonga funguo ya akiba halafu anafunga tracker. Huyu inaweza kuwa ni ngumu kumkwepa kwa kiasi fulani.


USHAURI

Taarifa za laini ya simu yako na username na password ni vizuri ukazikeep private.

Pia siku hizi wizi wa magari umegawanyika makundi mawili, wizi wa gari lenyewe au wizi wa spea za gari.

Kwa wizi wa gari funga GPS tracker moja au zaidi. Lakini kuna option ya pili ambazo iko more advanced hiyo sitaizungumza hapa sababu ni project yangu ya siku za mbeleni.

Kwa wizi wa vifaa vya magari, zipo GPS tracker chip ambazo ni ndogo sana kwa umbo kana kwamba inaweza kufungwa ndani ya Radio, Sidemirrors, Head lights, Tail lights, dashboad, control box n.k. ni ndogo na zinakuwa na Built in battery.



MWISHO

Ninayo GPS tracker moja niliinunua kama sample tu, soma maelezo yake kama uko interested nipigie simu 0621 221 606


1. Fuel Cut off (kukata mafuta hivyo gari kuzima kabla halijafika mbali, ukizima gari haitowaka tena mpaka utakaporestore fuel)

2. Location (inaonesha location kwa accuracy ya juu sana)

3. Geofence (Unaweza kuset gari lako litumike tu ndani ya eneo fulani mfano labda ndani ya Dar, kama mtu akitoka nalo nje ya dar inapiga alarm kwenye simu yako.

4. Unaweza kuset Overspeeding alarm kama mtu anaendesha kwa speed kubwa kuliko uliyoset itapiga alarm.

5. Kuna Shock alarm in case kama mtu amelibamiza gari lako itapiga hiyo alarm

6. Unaweza kuona Routes zote ambazo gari yako imepita kwa siku 180 zilizopita.

7. Ina Built in battery hivyo hata ukizima gari bado inaendelea kuwa active kwa siku kadhaa.

8. Kimuonekano ni ngumu kuitambua kama ni GPS.

9. Utahitaji laini ya simu ili uweze kuitumia.

10. Haina malipo ya kila mwezi.


If interested nipigie 0622 221 606.



Kitu cha mwisho kabisa ambacho nilisahau kukiandika ni kwamba kuiba gari ni kitu rahisi sana.

Steering lock inaweza kuvunjwa kilaini tu pia gari inaweza kuwaka bila funguo.

Kwa gari zenye immobilizer mtu anaweza kuja na funguo kadhaa ambazo zipo blank na akaziprogram (ni kazi isiyozidi dakika 15 tu) mwisho akawasha gari na kuondoka nalo.

Anadisable existing keys na kuprogram new key.
Umeongelea unazozijua wewe...

Je zile gari zinakuja mbele pale kale ka LCD kanasoma location route je kanatumia laini na ni laini ya wapi? Hadi ifanye kazi huku maana unaenda chukua gari bandarini inasoma ...


Zipo nyingi labda we unaijua ya kuweka line,,.
 
Umeongelea unazozijua wewe...

Je zile gari zinakuja mbele pale kale ka LCD kanasoma location route je kanatumia laini na ni laini ya wapi? Hadi ifanye kazi huku maana unaenda chukua gari bandarini inasoma ...


Zipo nyingi labda we unaijua ya kuweka line,,.

Upo sahihi, lakini mimi nimeongelea kwa ninachokifahamu. So far mechanism ya zile zinazokuja na gari kutoka japan siijui.


Ila kwa sasa....

Wireless Device yoyote inaweza ikatambulika kirahisi tu. Iwe inatumia laini au haitumii laini.


Thread 'Teknolojia za wizi wa magari. Usiache kupitia hapa kujifunza.' Teknolojia za wizi wa magari. Usiache kupitia hapa kujifunza.
 
Oya achaneni na kuumiza kichwa na mambo ya mifumo ya umeme, tumieni hiyo kitu mtanishukuru sana. Hakuna mwizi wa ku temper na hiyo kitu, umepaki sehem huiamini tia kufuli hiyo kwenye brake au accelerator unakua umesha maliza mchezo. wataambulia kuiba power window na vitu vingine wakitaka. Ila gari huibiwi. Wale wa ist zinazo windwa kila siku hili ndo suluisho, nitafuteni niwape hiyo kitu

View attachment 2120055

View attachment 2120056

View attachment 2120057

View attachment 2120058
Kwamba hiyo kufuli haiwezi kukatwa?

Makufuli ya mageti yanakatwa tu sasa hiyo inashindwa vipi kukatwa?

Watu wana industry grade scisors inataka mpaka nondo, hiyo kufuli cha mtoto.

Njia pekee ni kukata comprehensive insurance.
 
Kwamba hiyo kufuli haiwezi kukatwa?

Makufuli ya mageti yanakatwa tu sasa hiyo inashindwa vipi kukatwa?

Watu wana industry grade scisors inataka mpaka nondo, hiyo kufuli cha mtoto.

Njia pekee ni kukata comprehensive insurance.
Huo muda wa kuanza kukata mwizi anautoa wapi? Hakuna mwizi anae penda disturbance.
hiyo comprehensive insurance unayo iamini hujafikiria bima wakakukataa wakikuambia ulifanya mchongo, mara uhonge kwa accessor, uzungushwe miezi ya kutosha na hela ikitoka hupewi yote. Bado ni ujinga
 
Huo muda wa kuanza kukata mwizi anautoa wapi? Hakuna mwizi anae penda disturbance.
hiyo comprehensive insurance unayo iamini hujafikiria bima wakakukataa wakikuambia ulifanya mchongo, mara uhonge kwa accessor, uzungushwe miezi ya kutosha na hela ikitoka hupewi yote. Bado ni ujinga

Gari inaweza kuaccelerate bila kukanyaga hiyo pedal...

Gari ikishakuwa na acelerator pedal sensor basi. ni,suala tu la kuactuate throttle motor biashara imeisha.

Gari nyingi sana zina electronic throttle.... plus cruise control.

Hilo chuma mtu wala hatahangaika nalo na gari hutoikuta.
 
Watu wengi huaminishana kwamba eti kwa sababu mtu fulani alikufungia GPS tracker kwenye gari basi mtu huyo anao uwezo wa kujua gari lako lipo wapi na hivyo anaweza kuja kuliiba. Kiukweli mimi nipo against na hii dhana. Naichukulia kama dhana ya mtu aisiyejua jinsi gos tracker zinavyofanya kazi.

Labda tu niseme kitu kimoja, GPS tracker nyingi ninazozifahamu zinatumia laini ya simu.

Na ili mtu aweze kupata location ya gari kuna namna mbili tu

1. Kwa kutumia message commands.

Hii ni njia ambayo unaitumia message laini ya simu ambayo ipo ndani ya GPS tracker na yenyewe inakujibu kulingana na ulichoiuliza.

Ukitumia njia hii ni lazima uset admin/binding number yaani namba ambayo itakuwa inawasiliana na hiyo GPS na kwa maana hiyo ukituma message kwa namba nyingine haitorespond unless uset tena hiyo namba mpya kuwa admin number.

2. Kwa kutumia application za simu.

Njia hii unakuwa na username na password ambazo utazitumia kulog in kwenye tracking app ambayo unakuwa uneinstall kwenye simu yako.

Kiukweli kwa kutumia njia zote mbili ili mtu mwingine yoyote tofauti na wewe aweze kujua location ya gari lako lazima either awe na namba ya simu iliyopo kwenye tracker au awe na username na password unazozitumia wewe kuingia kwenye app.

Pia ni wewe pekee ndio una mandate ya kumpa hizo taarifa au kutompa. Sasa katika mazingira hayo mtu anayekufungia gps tracker anawezaje kujua location ya gari lako? Unless wewe mwenyewe mwenye gari uliamua kumpa hizo taarifa.

Pia kuna exception moja tu, kuna watu akitaka kuuza gari anachonga funguo ya akiba halafu anafunga tracker. Huyu inaweza kuwa ni ngumu kumkwepa kwa kiasi fulani.


USHAURI

Taarifa za laini ya simu yako na username na password ni vizuri ukazikeep private.

Pia siku hizi wizi wa magari umegawanyika makundi mawili, wizi wa gari lenyewe au wizi wa spea za gari.

Kwa wizi wa gari funga GPS tracker moja au zaidi. Lakini kuna option ya pili ambazo iko more advanced hiyo sitaizungumza hapa sababu ni project yangu ya siku za mbeleni.

Kwa wizi wa vifaa vya magari, zipo GPS tracker chip ambazo ni ndogo sana kwa umbo kana kwamba inaweza kufungwa ndani ya Radio, Sidemirrors, Head lights, Tail lights, dashboad, control box n.k. ni ndogo na zinakuwa na Built in battery.



MWISHO

Ninayo GPS tracker moja niliinunua kama sample tu, soma maelezo yake kama uko interested nipigie simu 0621 221 606


1. Fuel Cut off (kukata mafuta hivyo gari kuzima kabla halijafika mbali, ukizima gari haitowaka tena mpaka utakaporestore fuel)

2. Location (inaonesha location kwa accuracy ya juu sana)

3. Geofence (Unaweza kuset gari lako litumike tu ndani ya eneo fulani mfano labda ndani ya Dar, kama mtu akitoka nalo nje ya dar inapiga alarm kwenye simu yako.

4. Unaweza kuset Overspeeding alarm kama mtu anaendesha kwa speed kubwa kuliko uliyoset itapiga alarm.

5. Kuna Shock alarm in case kama mtu amelibamiza gari lako itapiga hiyo alarm

6. Unaweza kuona Routes zote ambazo gari yako imepita kwa siku 180 zilizopita.

7. Ina Built in battery hivyo hata ukizima gari bado inaendelea kuwa active kwa siku kadhaa.

8. Kimuonekano ni ngumu kuitambua kama ni GPS.

9. Utahitaji laini ya simu ili uweze kuitumia.

10. Haina malipo ya kila mwezi.


If interested nipigie 0622 221 606.



Kitu cha mwisho kabisa ambacho nilisahau kukiandika ni kwamba kuiba gari ni kitu rahisi sana.

Steering lock inaweza kuvunjwa kilaini tu pia gari inaweza kuwaka bila funguo.

Kwa gari zenye immobilizer mtu anaweza kuja na funguo kadhaa ambazo zipo blank na akaziprogram (ni kazi isiyozidi dakika 15 tu) mwisho akawasha gari na kuondoka nalo.

Anadisable existing keys na kuprogram new key.
Mawazo ya kimaskini haya. Mbona mnanunua gari yard na hakuna malalamiko
 
Gari inaweza kuaccelerate bila kukanyaga hiyo pedal...

Gari ikishakuwa na acelerator pedal sensor basi. ni,suala tu la kuactuate throttle motor biashara imeisha.

Gari nyingi sana zina electronic throttle.... plus cruise control.

Hilo chuma mtu wala hatahangaika nalo na gari hutoikuta.
Akifunga chuma kwenye brake pedal utashift vipi gears? akiondoka atasimamaje hana brake? mwizi wa kuhangaika na hizo throttle, accelerator pedal sensor ni mwizi mwenye muda mrefu wa kupoteza hapo kwenye scene,na ni fundi wa magari ambae ni mwizi.
 
Akifunga chuma kwenye brake pedal utashift vipi gears? akiondoka atasimamaje hana brake? mwizi wa kuhangaika na hizo throttle, accelerator pedal sensor ni mwizi mwenye muda mrefu wa kupoteza hapo kwenye scene,na ni fundi wa magari ambae ni mwizi.
Naomba namba zako mkuu
 
Back
Top Bottom