Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
1957 kabla ya kuunda chama cha ASP, Mwalimu Nyerere aliwasihi sana Waarabu Zanzibar wawaruhusu Waafrika kupiga kura, walipokataa aliwaonya kuwa that was the last chance.
Usiku huohuo akaanza vikao Rahaleo Mjini Zanzibar, kuanzisha ASP akiongozana na Mtemvu katibu wa TANU, Karume akakataa Uenyekiti wa ASP akiogopa kuuliwa na alidai ana mke na watoto wadogo, Mwalimu alimuweza alipomwambia chochote kitacho kutokea basi Mimi kama tulivyoshibana niamini wanao hawatopata shida nitawachukua.
Hapo ndio mwanzo wa Mapinduzi. Silaha alizileta mwalimu toka Algeria. (Simulizi za Sheikh Ali Muhsin Bin Barwani YouTube)
Usiku huohuo akaanza vikao Rahaleo Mjini Zanzibar, kuanzisha ASP akiongozana na Mtemvu katibu wa TANU, Karume akakataa Uenyekiti wa ASP akiogopa kuuliwa na alidai ana mke na watoto wadogo, Mwalimu alimuweza alipomwambia chochote kitacho kutokea basi Mimi kama tulivyoshibana niamini wanao hawatopata shida nitawachukua.
Hapo ndio mwanzo wa Mapinduzi. Silaha alizileta mwalimu toka Algeria. (Simulizi za Sheikh Ali Muhsin Bin Barwani YouTube)