Dhuluma kubwa katika Tuzo za TFF, nani kutoroga?

kukuelewesha wewe ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
Hahahaha shida mnanielewesha uongo

Kwamba nikubali viporo haviwezi Leta upangaji wa matokeo

Kwamba nikubali simba kuifunga Al ahly bas haiwezi fungwa na dodoma jiji (wakati ruvu tu waliipapasa)

Nikubali kwamba simba anambeba yanga, mbona hawabebi costal, mwadui ama akaichukue Ken gold si inamsumbua yanga
 
Huwezi kufikiri nje ya box, huwezi kufikiri ndani ya box, na mbaya zaidi huelewi hata box mahali lilipo. Unafikiriaje kibinafsi hivyo?

What kama perceptions za wazungu huko ulaya ni tofauti na wewe jinsi unavyo fikiri?

Timu ambayo inacheza mechi frequently inakua imara zaidi kuliko timu ambayo muda mwingi iko kambi kujiandaa na mechi moja.

Na ndio maana hata nyinyi yanga mlipofungwa mlikua mkijitetea kua hiyo ni kutokana hamkufanya pre-season vizuri, huko pre-season si huwa mnacheza mechi na timu pinzani ku gather experience ili kuwaweka fit?

Sasa kwanini mtumie sababu ya kutoshiriki mechi za pre season kama excuse wakati unajua fika kua timu ikiwa inapasha kambini bila kuwa na mechi za kujipima inajiimarisha zaidi?

Nimekupa room utumie kuonesha namna gani viporo vina changia kumfanya simba kumuweka karibu na ubingwa, umeshindwa.

Afu mbona unajichanganya? Nimekuuliza hiyo dodoma jiji alivyoanza ligi na wenzake ni kwamba wenzake walipewa points za bure yuku yeye akiachwa au ni hussling binafsi?

Kama tangu mwanzo dodoma jiji alikua akifungwa na kukosa points, kwanini uone ishu dodoma jiji akifungwa na simba ambayo inashiriki mashindano makubwa na magumu ambayo nyinyi hamjaweza kutoboa round ya kwanza?
 
Twende na mfano mmoja timu X Imesha shuka daraja ila ina mchezo na timu Y ambayo inawania ubingwa

Swali mchezo kama huu ushindani wake utakuwaje
mfano wa 2 timu A Ina mchezo na timu B wakati huo timu A Ina pointi za kuifanya isiwe kwenye kuwania ubingwa wala kushuka daraja ujakutana na timu B Ambayo inawania ubingwa je ushindani wako ukoje wa hiyo mechi

Kifupi timu X na timu A hazita onesha ushindani maana hawana cha kupoteza wala cha kupata na michezo haitakuwa na ushindani
Kumbuka mechi zote hizi ni za viporo ila bado unanambia viporo havina madhara katika upangaji wa matokeo

Daah kweli kazi ipo
 
Twende taratibu, Kwenye huo huo mfano kuna maswali kadhaa naomba unijibu

Ilikuwaje mpaka timu X ikashuka daraja?

Ni kwamba huko nyuma ilikua ikifungwa na timu zingine kabla haijakutana na timu Y au siyo?
 
Twende taratibu, Kwenye huo huo mfano kuna maswali kadhaa naomba unijibu

Ilikuwaje mpaka timu X ikashuka daraja?

Ni kwamba huko nyuma ilikua ikifungwa na timu zingine kabla haijakutana na timu Y au siyo?
Unaleta uswahili unashindwa jibu maswali unauliza swali

Mfano umetoka nilitegemea jibiwa ila hapana naulizwa tena (unaleta janja ya mbuni kufukia kichwa kwenye mchanga

Jibu mfano wangu hapo then uliza swali ntajibu pia
 
Yan hiz tuzo wamejionesha jins gan walivo vilaza wamejianika Bora wasingezitoa
 
Unaleta uswahili unashindwa jibu maswali unauliza swali

Mfano umetoka nilitegemea jibiwa ila hapana naulizwa tena (unaleta janja ya mbuni kufukia kichwa kwenye mchanga

Jibu mfano wangu hapo then uliza swali ntajibu pia
Mbona tumeishia hapo mzee?

Mfano wako ni incomplete katika kuleta maana, mimi nimeuliza huo mfano wako ili uwe sawili niuelewe niweze kujibu hoja zako

Sasa nisipoelewa mfano wako ntawezaje kukupa majibu ya hoja zako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…