Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Mh ndugu kwa hio kila mtu uliemkubali akijaribu kufanya jambo dogo tu litalohusiana na usiyemkubali basi na yeye ataingia katika orodha ya usiowakubali? Kama ni ndio basi kazi ipo.
 
Analyse ww situation bila kuwa biase
 
Nimeusikia kwenye page ya mange.
Mange naye kaamua kumpandilia juu kwa juuu
 
Na kuna sehemu kasema wazi, kaambiwa akae kimya ila anahisi kushindwa maana hata mashabiki wake wanamtaka Dangote anene chochote..

Watu wanaharaka ya kumhukumu mtu utadhani wanaishi kwa kula sumu...
 
Kwa vijana wengi wa kitanzania walivyo na upeo mdogo watamuunga mkono hata aimbe nini mimi ni fan wake ila kwa hapa hajakaa kimya yuko upande wa bashite kabisa
Sikiliza vizuri na kwa utulivu, mimi naona kagusia yote yanayoendelea nchini yakiwemo hata yale usiyoyapenda. Lakini yawezekana labda mtindo wa uwasilishaji wa ujumbe hujaupenda(wa upole) unapenda jinsi ney alivyofanya. Vinginevyo ni wimbo wenye ujumbe mzuri unaowafanya watendaji watulize akili na kufikiri juu ya wayatendayo.
 
Hayo ni mashairi ya Daudi Bashite. Na watakaoushabikia huo wimbo ni Lumumba buku 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…