Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Ni jambo la kushangaza wasanii wenzako wanatekwa halafu unasema ukae kimya!!!! Huyu ni mnafiki sana, kufoji vyeti, clouds kuvamiwa, Nay kukamatwa hauoni ni tatizo kwa hiyo umetumia fursa kutafuta pesa kwa kutunga wimbo unauza mia 300/- dahh!!!!! Kweli dai ni kiboko,
Jiunge na wenzako @ #AkinaRomaWakoWapi# paza sauti kukaa kimya kwa msanii mkubwa kama dai ni shida jamii haitokuelewa
 

Hata mimi nimeamua kukaa kimya rasmi

Ukijifanya unajua kuongea, utapotezwa [emoji22][emoji22][emoji22]
 
Unatakiwa ujue kutafsiri ujumbe through wimbo mzima na sio neno moja.....kwa ujumla anakemea mambo yote yanayoendelea Tanzania km taifa tunaenda wapi? tumepoteza upendo na utaifa.tushikamane tuijenge Tanzania.

Mfate mwalimu wako wa kiswahili akufundishe kazi ya sanaa popoma wewe!
 
Hamnaga shida, na yeye tumemsikia na tutamfikia Kama mpiganaji wa kijani -Nape!
 
Utafika muda nae atasema tu ngoja atajwe kwenye orodha
 
Kuna tatizo akimtetea? Kama wewe ulivyo na uhuru wa kutomtetea yeye pia ana uhuru wa kumtetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…