Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora umeongea wewe maana ningesema mimi, watadai natukanaDaimond,
Ni bora ungemsikiliza mama ako then ukakaa kimya kivyako, ni upumbavu wa hali ya juu kuja kwenye kikao cha wanaume wenzio wanaojadili kitu fulani then ww unakuja unasema mama kanambia nisicheze na nyie eti nyie na wachochezi,
Hivi wote hatuna wazazi? hv huyo mama ake akimwambia awaue watoto wake atafanya hvyo?
Au tuchukulie mama yake huyo kapotea siku nne hatoanzisha # zake?
Kweli adhabu ya kaburi aijuaye maiti,
we've long way to freedom kama wasemaji wetu wenyewe ndo hawa kazi ipo
Umenena yote. Na majority wanacomplain juu ya huu wimbo na hawajasikiliiza kisa tu kimavi kaongea. Diamond wenye akili zetu tumemuelewa sana. Wenye mihemko na chukk zao wataona kaimba upupuNinachosikitika siasa zimetugawa, yaani imekuwa kama uadui, na hii sumu wanaisambaza watu wa upinzani ni sumu mbaya sana, itafika kipindi utashindwa kumsaidia mtu tu kisa itikadi zenu tofauti, sasa kosa la diamond platnumz lipo wapi, hii inchi kila mtu yupo free kuchagua anachokitaka ili mradi asivunje sheria, diamond kawasilisha maoni yake kupitia mziki. Kuwa na itikadi tofauti isiwe tatizo, ila Ninachosikitika sana wanasiasa na mitandao ya kijamii inatugawa vibaya sana, mpaka inafikia Kipindi tunaomba mabaya yatokee kwa nchi yetu, ili kuikomoa serikali, yaani mpaka kwenye kusifia tunakosoa na kwenye kukosoa tunasifia.Watu wanaomponda diamond platnumz ndio hao wanalalamika kila siku inchi haina demokrasia, lkn hawajui diamond platnumz ametumia haki yake ya msingi ya demokrasia kawasilisha mawazo yake kupitia mziki wake. Tanzania kwanza, tusilichukulie hili swala la ROMA kisiasa eti ni la upande fulani. Nammlaani sana kimambi, kwani hii sumu anayoisambaza, haina tofauti na kile kituo cha radio Rwanda kilichorusha habari za kibaguzi, mwisho wake kukawa na mauwaji ya Kimbari. Watanzania tuwe makini sana tusiruhusu mitandao ya jamii na wanasiasa watugawe.
Mange amepigwa za kutosha, ahsante Diamond. Hujakaa kimya
Kuna wasanii sijui wanaakili gani mkuu, nimeshangaa eti mtu kama nash pia anasema hii ni danganya toto? eti akili za abunuasi kweli?bora umeongea wewe maana ningesema mimi, watadai natukana
[emoji6] kwani Mzee kipara ndo nani?Ndio anapotea kimuziki huyo..hayo maneno amwambie Mzee Kipara aliyewapiga mkwara watanzania wasiende kumuona mtanzania mwenzao Lema alipokuwa gerezani
Hamna cha timu kiba!! Hiyo ni very realistic kuwa anamsema Mange. Iko wazi sana hiyo haihitaji shule kung'amuaTeam Kiba!
Povu la nini? Tatizo hajaongea kama wema sepetu au? Diamond is the biggest artist in Tz kwa sasa, hajataka kuweka kambi upande wowote na kuwagawa mashabiki wake.Daimond,
Ni bora ungemsikiliza mama ako then ukakaa kimya kivyako, ni upumbavu wa hali ya juu kuja kwenye kikao cha wanaume wenzio wanaojadili kitu fulani then ww unakuja unasema mama kanambia nisicheze na nyie eti nyie na wachochezi,
Hivi wote hatuna wazazi? hv huyo mama ake akimwambia awaue watoto wake atafanya hvyo?
Au tuchukulie mama yake huyo kapotea siku nne hatoanzisha # zake?
Kweli adhabu ya kaburi aijuaye maiti,
we've long way to freedom kama wasemaji wetu wenyewe ndo hawa kazi ipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Masogange bwana
Hii comment haina dislike box??Wewe ndio unasema juu ya uoga.
Mjifunze kuheshimu maamuzi ya binadamu wengine, sio lazima kila mtu atafute pesa kupitia kiki ya Kiongozi kwa kufata mkumbo wa uongo unaotungwa.
Mnapenda kuamulia watu kama vile, nyie mnaishi kwa kuamuliwa.
Amewapa ukweli na maisha ni yake.
Makonda oyeeeeee