Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

kwanza kabisa ni seme. kwa niaba ya familia yngu tunashukuru kupatikana kwa roma...ila nina maono ambato yanaweza kuwa kweli au si kweli..
Nyimbo mpya ya diamond imetoka jana 7/04/2017... lakin just imagine ..roma kakamatwa tarehe 6/06/017.. na kwente mistari yake anasema "juzi anasikia na roma amekamatwa "..means nyimbo ameitunga siku ya jana tarehe hyo hyo 07/04/017.. je ita possble kufikiria mistari,kuiandika na kuirecord na kuipeleke kwenye mitandao na redion ndani ya siku moja...??? binafsi siamin kwenye hlo ata ungekuwa na intellegencia kiasi gan sio kufanya vyote hvyo kwa siku..
what i thnk there is possbility ya diamond kujua kuna mchezo utatokea kwa roma xo.. akatunga nyimbo mapema tu kwa ajili ya tukio hlo...
lakin hayo ni maoni yangu yanaweza yasiwe kweli au ya kawa kweli... asanteni...

inawezekana hata kuandika siku hiyo hiyo

ana studio yake, wataalamu wake, kila kitu chake!!

acha ushamba
 
kwani watekwaji wamesha nena ya moyoni..?
 
Tarehe 5 ndio Roma alitoweka!Nways kwa wanamuziki hata masaa 2 yanatosha!Nyimbo ya Mwasiti ft chid benz- hao,Chidi aliingia studio akamkuta mwasiti anarecord!Basi Mwasiti alipomuona akamuomba amshirikishe,jamaa akakaa pembeni akaandika mistari na akaingiza vocal pale pale!Ngoma ikatoka!
 
Huyu dogo alizani bashite ana akili kashamaliza kila kitu
 
bashite mwenzako analipwa na kulindwa na baba ake sasa uyu kashindwa kuelewa mchezo
 
kwanza kabisa ni seme. kwa niaba ya familia yngu tunashukuru kupatikana kwa roma...ila nina maono ambato yanaweza kuwa kweli au si kweli..
Nyimbo mpya ya diamond imetoka jana 7/04/2017... lakin just imagine ..roma kakamatwa tarehe 6/06/017.. na kwente mistari yake anasema "juzi anasikia na roma amekamatwa "..means nyimbo ameitunga siku ya jana tarehe hyo hyo 07/04/017.. je ita possble kufikiria mistari,kuiandika na kuirecord na kuipeleke kwenye mitandao na redion ndani ya siku moja...??? binafsi siamin kwenye hlo ata ungekuwa na intellegencia kiasi gan sio kufanya vyote hvyo kwa siku..
what i thnk there is possbility ya diamond kujua kuna mchezo utatokea kwa roma xo.. akatunga nyimbo mapema tu kwa ajili ya tukio hlo...
lakin hayo ni maoni yangu yanaweza yasiwe kweli au ya kawa kweli... asanteni...
Samahani mkuu we ni jinsia gani!? Ni ke au me!?
 
Diamond asingeweza kuimba zaidi ya alivyoimba. Kajitahidi sana kuwa neutral, tena ukitulia utagundua kua kasigina matukio yaliyotokea hivi karibu. Ni watu smart ndio wataweza kumwelewa diamond alivyotumia 'situational irony' kunyamaza kimya. Huyo dogo hajaenda shule lkn kabarikiwa utajiri wa ubongo.

Sikiliza vizuri huo muziki mara kadhaa, sikiliza tena na tena.

Si uko nao siku zote?
Ama ulezi unafanya uogope?
Na media wanalalama kiongozi atoke
Nchi inaingia matope...

Huyu dogo ana akili kubwa kuliko uwezo wetu wa kutafsiri...

Upuuzi mtupu kama kama nchi kuingia matope ilikwisha ingizwa matope siku nyingi na bashite
 
Diamond asingeweza kuimba zaidi ya alivyoimba. Kajitahidi sana kuwa neutral, tena ukitulia utagundua kua kasigina matukio yaliyotokea hivi karibu. Ni watu smart ndio wataweza kumwelewa diamond alivyotumia 'situational irony' kunyamaza kimya. Huyo dogo hajaenda shule lkn kabarikiwa utajiri wa ubongo.

Sikiliza vizuri huo muziki mara kadhaa, sikiliza tena na tena.

Si uko nao siku zote?
Ama ulezi unafanya uogope?
Na media wanalalama kiongozi atoke
Nchi inaingia matope...

Huyu dogo ana akili kubwa kuliko uwezo wetu wa kutafsiri...
nimeusikiliza vizuri sana...hakuna cha situational irony wala nn zaid unafiki...kuna msemo wenzetu husema ...neutrality is hypocrisy...hakuna namna ambaayo utakuwa neutral bila kuwa mnafiki...kisa cha kuwambia watu wafanye kazi waachane na vyeti ni kipi wakati kuna watu wamefukuzwa kazi kwa sababu hyo hyo ....
 
Pumbavu kabisa huyu, eti anadai wanamuuliza vp Simba mbona hangurumi. Simba gani huyu? Simba choko au? Simba gani na sauti ile na matendo ya kinafki. Hiyo nickname aachane nayo kabisa. Hopefully Darassa atamtolea uvivu once again fala kabisa huyu
 
Back
Top Bottom