el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
Mwanamuziki nguli wa miondoko ya Afro pop ukanda wa afrika mashariki Nasib Abdul Juma ama "Diamond" amewafurahisha mashabiki wa muziki mzuri baada ya kutangaza kuachia ngoma yake katika media za tz zote hapo kesho kuanzia saa nne huku vituo vya kimataifa vikipata nafasi ya kuuonyesha exclusive kuanzia leo hii ...
Wimbo huo utakuwa ukiitwa "nitampata wapi" ' wafuatiaji wa maswala ya Burudani wameshangazwa na Dimond kuamua kutoa ngoma kwa haraka wakati mdogomdogo ikiwa bado ipo kwenye nafasi za juu katika chati na kumbi za starehe mjini hata hivyo inatabiriwa Diamond atajivunjia rekodi yake ya kutwa tuzo saba aliyoiweka mnamo mwaka 2014 kutokana na mafanikio makubwa zaidi aliyoyapata ambayo hayajawahi kufikiaa na msanii yeyote katika historia ya muziki wa Bongofleva.
Video ya wimbo "Nitampata Wapi"
Wimbo huo utakuwa ukiitwa "nitampata wapi" ' wafuatiaji wa maswala ya Burudani wameshangazwa na Dimond kuamua kutoa ngoma kwa haraka wakati mdogomdogo ikiwa bado ipo kwenye nafasi za juu katika chati na kumbi za starehe mjini hata hivyo inatabiriwa Diamond atajivunjia rekodi yake ya kutwa tuzo saba aliyoiweka mnamo mwaka 2014 kutokana na mafanikio makubwa zaidi aliyoyapata ambayo hayajawahi kufikiaa na msanii yeyote katika historia ya muziki wa Bongofleva.
Video ya wimbo wa Diamond (ntampata wapi) ishakamilika na kabla haijaanza kuoneshwa rasmi katika vituo vya nyumbani,tayari vituo vya nje vimeanza kuionyesha na kuitambilisha, jana ilichezwa Trace tv na leo imetambulishwa kwenye kituo cha mtv base,lakini pia imechezwa kwenye tv za Nigeria ikiwemo sound city tv.
Ni utaratibu wa Diamond kuachia video na audio kwa pamoja ,ambapo kesho ndio vitaachiwa rasmi hapa nyumbani...
kwa wasiofahamu nyimbo ya ntampata wapi ni moja ya nyimbo kibao za Diamond anazorekodi kila siku aingiapo studio na nyimbo hii alianza kuitease instagram miez michache iliyopita.
Video ya wimbo "Nitampata Wapi"
Last edited by a moderator: