Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado kidogo nitaombwa radhi na yule mod aliyefuta uzi wangu uliosema kiba atatoa video ya mwana remix baada ya huyu dogo kutoa video yake mpya maana walikuwa wanategeana maana kaingia choo cha kike kweli aisee, video afadhali lakini audio hovyooo....
I like the video
ngoma ni kali balaa hasa yale mahadhi,kwa kweli anayesema huyu jamaa atakuwa kama mr nice anajidanganya,huyu jamaa ni habari nyingine,best tanzanian artist of all time.
Me too
Hahahaaa utakua mwana JF wa kwanza ikiwa hivyo....
Daimond balaa nilikua nawaambia haters ty
Ukisema video mbovu ,utakua mnafiki
Ulisema audio Kali,utakua mnafiki.
Am out
Me too
Daimond balaa nilikua nawaambia haters ty