Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Jaman achen ushabk wa kijnga hapa mnampoteza huyu msanii wenu..
Huu wimbo ni wa kawaida sana..
Alpotoka na anapoenda n tofaut kabisa..
I prefer to listern BEST NASO - KHADIJA than this..
Escrow imefikia wapi?
Wimbo umepooza kweli hauna tofauti na nyingine at least video kajitahidi
Huyu dogo ni nouma ANAJUA kuimba.Mwanamuziki nguli wa miondoko ya Afro pop ukanda wa afrika mashariki Nasib Abdul Juma ama "Diamond" amewafurahisha mashabiki wa muziki mzuri baada ya kutangaza kuachia ngoma yake katika media za tz zote hapo kesho kuanzia saa nne huku vituo vya kimataifa vikipata nafasi ya kuuonyesha exclusive kuanzia leo hii ...
Wimbo huo utakuwa ukiitwa "nitampata wapi" ' wafuatiaji wa maswala ya Burudani wameshangazwa na Dimond kuamua kutoa ngoma kwa haraka wakati mdogomdogo ikiwa bado ipo kwenye nafasi za juu katika chati na kumbi za starehe mjini hata hivyo inatabiriwa Diamond atajivunjia rekodi yake ya kutwa tuzo saba aliyoiweka mnamo mwaka 2014 kutokana na mafanikio makubwa zaidi aliyoyapata ambayo hayajawahi kufikiaa na msanii yeyote katika historia ya muziki wa Bongofleva.
Video ya wimbo "Nitampata Wapi"
Me too
Msiupoupenda mademu zenu lazima waupende na wameshaukariri wanaimba tu
hakuna cku diamond altoa nymbo cku ya kwanza then mkaisifia but baada ya muda inakuwa nation anthem.hata my number one ilkuwa hvyohvyo but baadae ndo imemsababshia anajulkana africa so subrn kuwa nominies kwenye tuzo mbalmbal
ushauri wangu!afanye remix fasta ya hii ngoma!...kwa hii audio anayoimba kama ananong'oneza!..sijui!
Jamaa kabugi,ila tukiongea tutaonekana TEAM KIBA
Ukisema video mbovu ,utakua mnafiki
Ulisema audio Kali,utakua mnafiki.
Am out
hakuna cku diamond altoa nymbo cku ya kwanza then mkaisifia but baada ya muda inakuwa nation anthem.hata my number one ilkuwa hvyohvyo but baadae ndo imemsababshia anajulkana africa so subrn kuwa nominies kwenye tuzo mbalmbal
UKWELI MTUPU...nyimbo za diamond mwanzo huwa mbaya lakini baada ya mwezi unakuwa wimbo BORA hata kwa wasioupenda
ushauri wangu!afanye remix fasta ya hii ngoma!...kwa hii audio anayoimba kama ananong'oneza!..sijui!
Mmmh mm mshabiki wa diamond lakini kwa hii kaharibuu