Diamond aambulia patupu kwenye tuzo za NEA Awards

Diamond aambulia patupu kwenye tuzo za NEA Awards

Duuuh kumbe kwel mimi ig kani block

Atakuwa anakufahamu inawezekana we ni ex shemeji ake. Maana kuna watu huwa wanacomment matusi mazitooooooo na hawajablokiwa. Alivoona weye unaenda kucoment kaona mchawi huyu kaja kuwanga😂😂😂😂😂
 
Atakuwa anakufahamu inawezekana we ni ex shemeji ake. Maana kuna watu huwa wanacomment matusi mazitooooooo na hawajablokiwa. Alivoona weye unaenda kucoment kaona mchawi huyu kaja kuwanga😂😂😂😂😂

Heheheeee kunifahamu ananifahamu ila sio kwa kuniblock huko yeye na zari.
Sio ex wake
 
Heheheeee kunifahamu ananifahamu ila sio kwa kuniblock huko yeye na zari.
Sio ex wake

Kweli tena mi nakwambia. Anaona huyu shem nishamwachia dadaake halafu bado anakuja kuniwangia huku na mitusi yake????? Hahahaaaa hadi zari kakublock. Una nyota ya kula block.😂😂😂😂😂.
 
Simpigii kura tena diamond tangu atutukane watu wa kaskazini na nyimbo zake nishazifuta
 
Mnaongea kama mpo kwenye taarabu Eddy Kenzo anawashabiki wa kutosha mitandaoni ndio maana hata BET alifanya vizuri Diamond hakushinda coz kura hazikutosha si kwa sababu ya mambo ya siasa....kiba na Diamond wanapigia kampeni CCM kutafuta kipato kwao mziki ni biashara wakifa njaa hakuna wa kuwasaidia kwako ni kampeni kwao ni kazi jaribu kuwa muelewa hata UKAWA wakiwaita watakwenda chamsingi ni pesa tu.

Kupigia kampen CCM sio shida. Shida inakuja pale anapoenda tofaut na mashabiki wake. Mm nilikuwa shabiki wake mkubwa sana, post zake nlikuwa nazilipost kila siku, nlikiwa siachi kuingia ktk mitandao yake ya kijamii na kujua leo kapost nn, nlikuwa mpiga kura mkubwa ktk kila tuzo aliyowania... ila baada ya yeye kupost ishu za CCM na kumpost LOWASSA kuwa hafai kuwa rais sababu ni mgonjwa, nilianza kumchukia taratibu na kuacha kabisaaaa kumfatilia ktk mitandao yake. Nimetokea kumchukia2 ghafla yan.
Kwa maon yangu, yeye angekuwa akippst2 labda ile "CHAGUA CCM" CM"CHAGUA MAGUFULI" au "KARIBU VIWANJA VYA JANGWANI, NITAKUWEPO NA TEAM YANGU YA WCB TUKITUMBUIZA KTK KAMPENI ZA CCM"
lkn sio unapost hadi maswala ya ugonjwa wa mtu. Na mwaka huu nahis maadui wake wataongezeka zaidi tofauti na kipindi cha nyuma
 
Bibie na we ulikatwa nini? Naona wote mmekimbilia UKAWA. Kumbe kukatwa na kubaki wanaweza akina sepetunga peke yao.

hhhaahhhaaa....aaahh wapi hawana ubavu wa kunikata..
mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuipigia CCM ni 2005 sitothubutu labda asimame haba angu huko CCM never...!!
 
hhhaahhhaaa....aaahh wapi hawana ubavu wa kunikata..
mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuipigia CCM ni 2005 sitothubutu labda asimame haba angu huko CCM never...!!

Pamoja kamanda
 
Kupigia kampen CCM sio shida. Shida inakuja pale anapoenda tofaut na mashabiki wake. Mm nilikuwa shabiki wake mkubwa sana, post zake nlikuwa nazilipost kila siku, nlikiwa siachi kuingia ktk mitandao yake ya kijamii na kujua leo kapost nn, nlikuwa mpiga kura mkubwa ktk kila tuzo aliyowania... ila baada ya yeye kupost ishu za CCM na kumpost LOWASSA kuwa hafai kuwa rais sababu ni mgonjwa, nilianza kumchukia taratibu na kuacha kabisaaaa kumfatilia ktk mitandao yake. Nimetokea kumchukia2 ghafla yan.
Kwa maon yangu, yeye angekuwa akippst2 labda ile "CHAGUA CCM" CM"CHAGUA MAGUFULI" au "KARIBU VIWANJA VYA JANGWANI, NITAKUWEPO NA TEAM YANGU YA WCB TUKITUMBUIZA KTK KAMPENI ZA CCM"
lkn sio unapost hadi maswala ya ugonjwa wa mtu. Na mwaka huu nahis maadui wake wataongezeka zaidi tofauti na kipindi cha nyuma

Kweli Mkuu
 
Ukiwa celebrity mwenye fans wengi wa itikadi tofauti, ni sawa kushiriki kutoa burudani mikutano tofauti, ni sawa kuwa na itikadi, lakini si sawa kuponda upande fulani, si sawa kuponda upande unaopingana nao.
Hiyo ni sawa na kujinyonga kimuziki.
Diamond aige mfano wa wasanii wakubwa wa kimataifa, maana pengine nae angefanikiwa zaidi kama asingewakwaza mashabiki wake
 
Yaan ndugu humu jf sasa hivi GT hawapo wameingia wavamizi kila kitu kwao siasa.Dai na Kiba muziki ni kazi yao hata ACT wakiwataka wataimba mradi mshiko

Wapo wachache wanaofanya hivyo.. Na hawa wakimaliza show kwenye kampeni huchukua mkwanja na kubaki kimya..!
 
Back
Top Bottom