Diamond aambulia patupu kwenye tuzo za NEA Awards

Diamond aambulia patupu kwenye tuzo za NEA Awards

DSCF6753.JPG
 
Mond,hiyo ndo hatua ya kwanza kabisa kwelekea kifo chake kimziki.Watanzania walio wengi wanataka mabadiliko yeye bado kashupaza li shingo lake huko ugambani ameona sasa kaishia kusindikiza.
 
Duu kweli taifa linaelekea pabaya ungesema hata southafrika au niger kidogi USA unaota ww au kapimwe akili #next planet kule
Acha ujinga wako ww hatuwezi wafikia hadi mwisho wa maisha yetu unafika

Natamani kukuelewa kwa hiyo?kwa vile USA ni next level msanii anauhuru wa kusupport chama cha siasa akipendacho, lakini kwa vile sisi ni no level msanii haruhusiwi kuchagua chama akipendacho na akakisupport? UNAHITAJI TIBA WALAH.
 
Usijitoe upofu jamaa yako alienda kwenye event ya tuzo kubwa za Nigeria Entrainment Awards (NEA) huku kajipigilia suti ya kufa mtu ila mwisho wa siku aibu ikamfika, au unajifanya umesahau? Hahahaha

Basi wengi waliondoka na aibu,coz waliokuwa kwenye category ni wengi lakini waliopata tuzo ni wachache tu ze rest aliondoka na aibu au ni dai tu ndio aliondoka na aibu??
 
kwani hawakumwombea kura kwa wananchi wakati wa kampeni alizopiga show
 
Na bado. Nasema hatokaa aje apate tuzo tena kama zile alikuwa anapata. Ndo atajua maana ya kutukana ukawa. Tumempuuza!
 
Nilikua shabiki yake.....Afrima nilikua na vote hadi siku ile alipojifanya kutukana mgombea wa UKAWA...Apigiwe na CCM wenzake
 
Natamani kukuelewa kwa hiyo?kwa vile USA ni next level msanii anauhuru wa kusupport chama cha siasa akipendacho, lakini kwa vile sisi ni no level msanii haruhusiwi kuchagua chama akipendacho na akakisupport? UNAHITAJI TIBA WALAH.

Ku support sio kosa....kosa ni kuanza kutukana wengine as if yeye ni mwanasiasa....Angekuwa mwanasiasa kama Prof J ...Ingeeleweka

Ati yeye ni mwanamuziki anamtukana mgombea wa UKAWA...Eti ikulu hawaendi wagonjwa...ooohh Sijui UKAWA ni chama cha kabila moja.....Apigiwe kura na Ma CCM wenzake
 
Kumbuka mpaka sasa DIAMOND anatuzo KTMA =16 +Kimataifa 13 +za heshima 2 na keshatambuliwa kama ni nembo ya taifa.NADHANI HII REKODI NDIO INAYOWAUMIZA SANA, na mutanyooka sana mwaka huu kwa7bu bado tuzo 5 ambazo yupo ktk kategori kibao hazijatangazwa na zipo tayari alizoshinda.

Oooooohh well and nice...Very great Success...Lakini kwa alichokifanya ....kutukana watu wa UKAWA...Its a Curse
 
Ku support sio kosa....kosa ni kuanza kutukana wengine as if yeye ni mwanasiasa....Angekuwa mwanasiasa kama Prof J ...Ingeeleweka

Ati yeye ni mwanamuziki anamtukana mgombea wa UKAWA...Eti ikulu hawaendi wagonjwa...ooohh Sijui UKAWA ni chama cha kabila moja.....Apigiwe kura na Ma CCM wenzake

Kweli apigwe tu, tumechoka sasa.
 
Wakuu! Mbali na team ya Diamond kuendesha propaganda na uongo wa kila namna katika mchakato wa upigaji kura wa tuzo za Nigeria Entrainment Awards (NEA), kuwa eti Mashabiki wa Diamond wamepiga votes nyingi kwa Diamond hadi system ya kuvote ikaharibika na kufungwa. Watu wengi makini walibaini uongo huo na kuupinga ila ndugu zetu hawa walituona sisi kama heates kumbe tulikuwa tunasimamia ukweli.

Gilba hizo na uongo huo wa mchana ambao lengo lake ulikuwa ni kuwahadaa watanzania kuwa Diamond is unshakable.

Hatimaye uongo huo juzi umefika mwisho baada ya matokeo ya tuzo hizo kutoka ambapo msanii Eddy kenzo wa Uganda kubeba tuzo hiyo ya best male in East Africa, huku Diamond akiambulia patupu na aibu tele.

My take:
Zama za gilba na uongo taratibu zinaenda kufika kikomo, tusubiri October 10 #Afrimma.

Binadamu na 'roho' zenu,mna nguvu za kimungu mnaamua nani apate nini na nani akose nini?
 
CCM muokoeni Diamond anaangamia huku.....jamaa hakujua kuwa mashabiki wake tunatoka vyama na itikadi tofauti.....na bado ataisoma mwaka huu....NYIMBO ZAKE TUTASIKILIZA ILA KURA ATAPIGIWA NA WANACCM WENZAKE
 
Back
Top Bottom