Diamond aanza kuvaa kikuku mguu wa kushoto

Diamond aanza kuvaa kikuku mguu wa kushoto

Nini maana ya kuvaa kikuku?? Ni jinsia gani ina urembo huu wa kuvaa kikuku?
Huyo jamaanilikuwa namkubali sana ila stage hii alofikia sasa ni hatari inawezekana kuna mengi nyuma ya macanikio yake ya kimuziki.
Nawasiwasi na kiuno chake pia
 
Jamaa mmoja gym alikua ananiambia tajiri lazima afanye starehe zote hadi kufir.wa (ana hela kimtindo) nikamuuliza wewe tayari? Akajibu tayari, na ilikua yeye na mshkaji wake walisikia kua ukitumia cocaine unachelewa kumwaga.

Wakaamua kujaribu kwa kufanyana kizamu zamu. Nikamuuliza hiyo ishu ni kweli? Akajibu hapana, walikojoleana fasta tu.

Jamaa namuangalia kwa jicho la tofauti sana.
Pesa shetani
 
Jamaa mmoja gym alikua ananiambia tajiri lazima afanye starehe zote hadi kufir.wa (ana hela kimtindo) nikamuuliza wewe tayari? Akajibu tayari, na ilikua yeye na mshkaji wake walisikia kua ukitumia cocaine unachelewa kumwaga.

Wakaamua kujaribu kwa kufanyana kizamu zamu. Nikamuuliza hiyo ishu ni kweli? Akajibu hapana, walikojoleana fasta tu.

Jamaa namuangalia kwa jicho la tofauti sana.
Du kwa hiyo mond tayari [emoji12]
 
kwani tamaduni za kabila lao zinaruhusu kuvaa vikuku kwa ME?
 
Hivi kwa watakao ingia peponi mziki na pombe huko c vtakua ruhusa tu..!!? ina maana watasikiza miziki walioimba akina nani!!? Since waimbaji wenyewe wamechomwa kwa mziki unaoburudisha wasiochomwa!!
 
Hivi kwa watakao ingia peponi mziki na pombe huko c vtakua ruhusa tu..!!? ina maana watasikiza miziki walioimba akina nani!!? Since waimbaji wenyewe wamechomwa kwa mziki unaoburudisha wasiochomwa!!
bony mwaitege
 
Back
Top Bottom