Diamond aanza kuvaa kikuku mguu wa kushoto

Diamond aanza kuvaa kikuku mguu wa kushoto

Dadake diamond esma wakati anahojiwa wakati wa shughuli ya arobaini ya zama alisema haoni tatizo lolote kuhusu mondi kuvaa kikuku

Haya sasa mnaotokwa na povu sawa, ila dada mtu keshabariki tiyari,,
 
Kwani ESMA unamwonaje mpaka uhisi neno lake ni sheria? Yaani kabariki upumbavu ??
 
Dah eti hii nayo ni habari ya kufungulia uzi..

#Bullshit
#empty set kabisa
 
Msanii kioo cha jamii??? Sio siku hizi ilikuwa enzi hizo [emoji41]
 
Yule ndio uti wa mgongo wa familia hata atembee uchi bado atasifiwa tu
 
Dadake diamond esma wakati anahojiwa wakati wa shughuli ya arobaini ya zama alisema haoni tatizo lolote kuhusu mondi kuvaa kikuku

Haya sasa mnaotokwa na povu sawa, ila dada mtu keshabariki tiyari,,
Basi fureshi.
 
Dadake diamond esma wakati anahojiwa wakati wa shughuli ya arobaini ya zama alisema haoni tatizo lolote kuhusu mondi kuvaa kikuku

Haya sasa mnaotokwa na povu sawa, ila dada mtu keshabariki tiyari,,
~~~>>>Kama aliweza kuvua suruali na kubong'oa stejini atashindwa kuvaa kikuuu?????


Aendeleze tu Ujinga wake.
 
Back
Top Bottom