I think umeenda mbali Kama Ni kweli Diamond anatimiza majukumu yake yote Kama babaUngekua umewahi kukaa na Zari hata kwa nusu saa ndio ungeelewa ni mtu wa aina gani,
again that woman ni ATTENTION SEEKER,
Halafu wabongo ndio mnampa kiburi huyu eti ana mafanikio kibao kwanini sasa kutwa yupo kwenye social media kugombana na wenye shida?
Mwanaume kutuma helaa kwa mwanamke ambar anajua Hata kumpa penzi hawezi na analiwa na mwana mwingine huwa roho inauma sanaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I think umeenda mbali Kama Ni kweli Diamond anatimiza majukumu yake yote Kama baba
Basi atakuwa anaonewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu najivunza hapaHuyo mwanamke kwanza anapesa hawezi shindwa kulea watoto lasivyo hilo jina la bossslady alifute pia akumbuke anaishi kwenye nyumba ya nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol, sitashangaa kwa comment yako hahaha eti Hater kwa Zari lol mimi hali yangu napambana nayo ndio maana sijawahi kulia lia kwenye mitandao sasa yeye kila kitu anacho why analia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wew ushawahi kukaa nae??? Kama unaona Zari hana mafanikio wewe ni Hater mkuu... Pambana na hali tu ilaa jua yule mwanamke Jeuri anayo sababu pesa anayoo....
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] wanaume wengi hapo ndo wanajikuta wanasusa Hadi watotoMwanaume kutuma helaa kwa mwanamke ambar anajua Hata kumpa penzi hawezi na analiwa na mwana mwingine huwa roho inauma sanaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu sanaaa...Ngumu mnoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani wana huwa wanasusa jumla maana ukimuita aje kuchukua hela ulee nyampu anabanaa... alafu kuna mwana anamlaa fresh tu aisee inauma sana.. Hapo ndo huwa unapotezea jumlaa ukiona Jamaa anatoa pesa jua habaniwii mchongo[emoji3][emoji3][emoji3] wanaume wengi hapo ndo wanajikuta wanasusa Hadi watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kacomment tu aliekuwa analia ni Mabetto mpaka kampeleka mond mahakamani.. Zari kapewa watoto wawili na bado kakausha kimyaa.. Pesa ya mondi inatafunwa na vimada wengineLol, sitashangaa kwa comment yako hahaha eti Hater kwa Zari lol mimi hali yangu napambana nayo ndio maana sijawahi kulia lia kwenye mitandao sasa yeye kila kitu anacho why analia?
I think you take it too personal mbona Ni mada ya kawaida tu hiLol, sitashangaa kwa comment yako hahaha eti Hater kwa Zari lol mimi hali yangu napambana nayo ndio maana sijawahi kulia lia kwenye mitandao sasa yeye kila kitu anacho why analia?
Kikawida baba ndo mwenyew majukumu ya kutoa matunzo ya familia kama mama Hana kazi ya kufanya , wakati hili ni jukumu ni lawote ila baba ndo mwenye nguvu zaidiKuna kitu najivunza hapa
Mkuu hivi majukumu ya baba kwa mtoto hasa Ni Nini?
-Kutoka pesa
-Uwepo wa affection na bonding Kati ya baba na watoto
-kutoa makazi
Ni Nini hasa Cha muhimu kwa watoto especially Hawa chini ya miaka 7
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata njiwa dume pamoja na kwamba hana utashi hulea makinda wake akishirikiana na njiwa jike...iweje binadam mwenye akili na utashi aache kufanya hivyo?Sasa aleee nini tena hapo wakati mama anakila kitu kama hela mama anazo nini tena anataka au kulea huko mpaka wote wawepo hapo kuwabeba migongoni
Sent using Jamii Forums mobile app
I agreeIshu za mahusiano ya wawili na malezi ya watoto wao vema kuwaachia wenyewe
Jr[emoji769]
Ungekua umewahi kukaa na Zari hata kwa nusu saa ndio ungeelewa ni mtu wa aina gani,
again that woman ni ATTENTION SEEKER,
Halafu wabongo ndio mnampa kiburi huyu eti ana mafanikio kibao kwanini sasa kutwa yupo kwenye social media kugombana na wenye shida?
Nadhani wewe ndio uliyeichukulia personal sababu hata kichwa cha habari yako kimelenga kwenye kumshutumu Diamond moja kwa moja kua katelekeza watoto, ukizama ndani ndio eti sababu Zari kamjibu shabiki wake vile,I think you take it too personal mbona Ni mada ya kawaida tu hi
Unajua hata Janet Jackson na pesa zake bado alimkomalia yule jamaa wa kiarabu atoe malezi
Na malezi kwa mtoto sio pesa Apo ndo wengi tunakosea
Sent using Jamii Forums mobile app
That's the pointNzuri zaidi, unakuta sisi tunaomponda Diamond kwa hizo mambo tuna yetu ya zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wew ushawahi kukaa nae??? Kama unaona Zari hana mafanikio wewe ni Hater mkuu... Pambana na hali tu ilaa jua yule mwanamke Jeuri anayo sababu pesa anayoo....
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole yake basi aache kulia kama kaamua kulea mwenyewe.Hapo kacomment tu aliekuwa analia ni Mabetto mpaka kampeleka mond mahakamani.. Zari kapewa watoto wawili na bado kakausha kimyaa.. Pesa ya mondi inatafunwa na vimada wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mitandaoni inabdi alie kuonesha Utapeli wa Mondi ..Pole yake basi aache kulia kama kaamua kulea mwenyewe.
Na kamtapeli hasa maana watoto wawili wa fasta fasta kisha kalala mbele,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mitandaoni inabdi alie kuonesha Utapeli wa Mondi ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umesoma vizuri hicho kichwa Cha habari?.Nadhani wewe ndio uliyeichukulia personal sababu hata kichwa cha habari yako kimelenga kwenye kumshutumu Diamond moja kwa moja kua katelekeza watoto, ukizama ndani ndio eti sababu Zari kamjibu shabiki wake vile,
Zari kama inamuuma yeye kulea watoto peke yake ampeleke mahakamani Mzazi mwenzio japo inawezekana alimaanisha kulea kwa maana ya kuishi nao na sio kama pesa zote anatoa yeye Mond hachangii hata shilingi,
Hua nawashangaa mnapoleta mada mezani halafu mnataka watu wachangie kwa mitazamo yenu, bro huujui msemo usemao 'akili ni nywele na kila mtu ana zake'