Diamond afanya show nzuri kuwahi kufanyika kwenye history ya muziki wa Tanzania

Diamond afanya show nzuri kuwahi kufanyika kwenye history ya muziki wa Tanzania

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
IMG_20230101_070333.jpg


Nasemaje kuna Diamond Platnumz mmoja tu hapa Tanzania na mpinzani wake ni Nassib Abdul.

Mtapiga kelele zote mzimalize ila maji na mafuta hayakai pamoja daima. Muda ukifika hata ufanye nini vitajitenga tu.

Mkesha wa leo Diamond kafanya show ya kihistoria.

Quality ya performance haijawai kufanyika na mtu yoyote tangu Nyerere atuletee uhuru.

Production ulikuwa level za dunia ya kwanza. Stage, sound, presentation, appearance, fans engagement 🔥🔥🔥

Watu wamelipa mil 7 kumuona Diamond na wamepewa thamani ya pesa yao na nyongeza kila mtu ameondoka Ramada akitabasamu.

Diamond = Greatest Of All Times

Wote tumshukuru Mungu kutujalia kumshuhudia Diamond tuna hadith ya kuwasimulia wajukuu zetu. Watu kama awa hawatokei mara nyingi.
 
Wapi video za show?
Mkuu show ilikuwa Ramada kwa kiingilio cha million 7.5

Ila pia ilioneshwa live Wasafi Tv.

Imagine uku Wasafi Tv diamond anaoneshwa.

Uku TVE alikuwa mwamposa live.

Guess what!? Kuna mtu kafunikwa viewers wa tukio lake na Diamond mtoto wa Tandale. Ila huu ni mjadala wa siku nyingine.
 
Ila aisee diamond yupo vizuri na ndio maana anafanikiwa kimziki binafsi sikutegemea kama atapiga show ya class ile yupo full package nawasifie kwa mara ya kwanza Wasafi kwenye show sound ya mziki ilikuwa nzuri sijui sound engineer alikuwa nani? Na kingine kilichonivutia mambo sijui mikono juu alijitahidi isiwepo, ubunifu wa stage na mandhari yaliokuwa yanabadilika that was unique, uingiaji wake wa stage na quality aliyoonesha ya kuimba ilinivutia, team nzima ya band na pamoja na chemistry waliitengeneza was fantastic I was like it. Mwisho kabisa nimpongeze amefanya show Kali
 
View attachment 2465064

Nasemaje kuna Diamond Platnumz mmoja tu hapa Tanzania na mpinzani wake ni Nassib Abdul.

Mtapiga kelele zote mzimalize ila maji na mafuta hayakai pamoja daima. Muda ukifika hata ufanye nini vitajitenga tu.

Mkesha wa leo Diamond kafanya show ya kihistoria.

Quality ya performance haijawai kufanyika na mtu yoyote tangu Nyerere atuletee uhuru.

Production ulikuwa level za dunia ya kwanza. Stage, sound, presentation, appearance, fans engagement 🔥🔥🔥

Watu wamelipa mil 7 kumuona Diamond na wamepewa thamani ya pesa yao na nyongeza kila mtu ameondoka Ramada akitabasamu.

Diamond = Greatest Of All Times

Wote tumshukuru Mungu kutujalia kumshuhudia Diamond tuna hadith ya kuwasimulia wajukuu zetu. Watu kama awa hawatokei mara nyingi.
Alipe Kodi
 
Nilimuona Live kupitia Wasafi TV,aisee dogo ni moto yaani 🔥

Watoto wazuri ni wengiiiii sana,ushoga unatoka wapii mpaka nashangaa?

Mibususu ya kushiba ile yani ni pesa yako tu unapiga na kupiga.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom