Diamond afanya show nzuri kuwahi kufanyika kwenye history ya muziki wa Tanzania

Diamond afanya show nzuri kuwahi kufanyika kwenye history ya muziki wa Tanzania

Huyu dogo kapambana sana Big up kwake maana wanamziki walikua wanachukuliwa kirahisi sana mpaka yeye alipogoma na Clouds wakaleta zengwe zisipigwe nyimbo zake kisa madili ya zengwe...Dogo yupo juu na anafanya vizuri niliwahi enda Nchi fulani nikakuta jamaa wapo store wanapiga nyimbo zake hawaelewi ila wanaimba kama Watanzania wanavyoimba nyimbo za DRC..
 
View attachment 2465064

Nasemaje kuna Diamond Platnumz mmoja tu hapa Tanzania na mpinzani wake ni Nassib Abdul.

Mtapiga kelele zote mzimalize ila maji na mafuta hayakai pamoja daima. Muda ukifika hata ufanye nini vitajitenga tu.

Mkesha wa leo Diamond kafanya show ya kihistoria.

Quality ya performance haijawai kufanyika na mtu yoyote tangu Nyerere atuletee uhuru.

Production ulikuwa level za dunia ya kwanza. Stage, sound, presentation, appearance, fans engagement [emoji91][emoji91][emoji91]

Watu wamelipa mil 7 kumuona Diamond na wamepewa thamani ya pesa yao na nyongeza kila mtu ameondoka Ramada akitabasamu.

Diamond = Greatest Of All Times

Wote tumshukuru Mungu kutujalia kumshuhudia Diamond tuna hadith ya kuwasimulia wajukuu zetu. Watu kama awa hawatokei mara nyingi.
Ndiyo kwanza bado tupo January lakini Diamond platnumz tayari ameshatoa video bora ya mwaka 2024, kitu gani umekipenda kutoka kwenye hii video ya "yatapita".?
 
Back
Top Bottom